Ushawahi kuwa single ndani ya mahusiano?

Ushawahi kuwa single ndani ya mahusiano?

Ukiona hivo kuna mwamba anabembelezwa na anakula mzigo kiulaini ila wewe unahangaika kama vp na ww tafuta pemben punguzia maumivu alafu siku akikupa unatifua show moja kabambe
 
mwanamke anaempenda kweli mwanaume wake anatoa tunda mda wowote hata kama hajiskii, hata akiamshwa saa nane za usiku, atalalamika umemuharibia ndoto yake nzuri ila atakupa tu umle umuache aendelee na ndoto zake.
Aah wapi, ukiwa kwenye ndoa ni wajibu kutoa ila kwenye mahusiano unatakiwa utoe kwa starehe bila kujiumiza
 
Wakukulana wako wengi si akanunue, Mimi mtu hajanioa asinipangie kwa kweli
Nilishawahi kuwa na Mtu hajaniona lakini ananipangia ratiba kwamba Kila wiki Tulane Mara mbili yaan jmos na jpili, then analazimisha kabisa utasema kashaoa😃
 
We Singasinga acha Fuji, ameshakushtukia unamtumia tu bila Kuwa na mpango endelevu! Mtangazie ndoa uone Kama hajahamia kwako! Uwe serious Kama una ugwadu namna hiyo!
Hapo ndipo wanaume wanakwama, ngoja Mimi niwambie wanaume, unapokuwa na mwanamke na amekubali kuwa mpenzi wako, hebu timiza majukumu yako ya kiume uone Kama utanyimwa papuchi.

Mwanaume hakujali ,hakupigii simu, yeye anapokuwa na shida ya papuchi ndio anakuwa mwema na simu ndiyo unaiona, kwa mwanamke mwenye akili lazma ashtuke kwamba anatumiwa.
 
😂😂
Inatokeaga vumilia tu..ukishindwa tafuta wa kukupa unachohitaji..Raha jipe mwenyewe maisha yenyewe mafupi haya..😎
 
Nilishawahi kuwa na Mtu hajaniona lakini ananipangia ratiba kwamba Kila wiki Tulane Mara mbili yaan jmos na jpili, then analazimisha kabisa utasema kashaoa[emoji2]
Kwa kweli mtu hajanioa nimpe papuchi yangu aiharibu tu bure Yani yeye ni kugegeda tu chakufia Nini jamani, papuchi yangu ya thamani kumpa mpa tu mhuni
 
Wewe koma screenshot niliposema najichua kujipa raha mwenyewe kwangu Mimi sio ngono au masturbation zenu mnazofikiri watu wote hufanya, mie huo uchafu siujui kabisa, Nina Mambo mengi ya msingi hufanya ya kufuraisha kuliko hyo mnayoita kujichua

Kujipa raha mwenyewe naweza, naweza kutumia chochote na sio mtu, umesema mwenyewe hapo au ulimaanisha nini ?. Alafu mbona kwa maandish yako unaonekana una hasira sana ? Tatizo nini ? Ndio tuseme upo serious sana au ?
IMG_5143.jpg

Hapo ulimaanisha nini ? kwamba unaweza kumreplace mtu na chochote.

Punguza hasira huwa hazisaidii,
 
Kujipa raha mwenyewe naweza, naweza kutumia chochote na sio mtu, umesema mwenyewe hapo au ulimaanisha nini ?. Alafu mbona kwa maandish yako unaonekana una hasira sana ? Tatizo nini ? Ndio tuseme upo serious sana au ? View attachment 1515520
Hapo ulimaanisha nini ? kwamba unaweza kumreplace mtu na chochote.

Punguza hasira huwa hazisaidii,
Wewe ndo hujaelewa unafikiri kujipa raha lazima ufanye masturbation tu hyo Mimi hata siijui, na raha kujipa mwenyewe huwa nikufsnya Mambo niyapendayo like watching documentaries, kusoma vitabu, kusafiri sehemu mbalimbali, hata kushiriki kazi za kijamii huko kwangu ndio kujipa raha mwenyewe nakufanya Mambo yanayoufuraisha moyo wangu.
Pole kwa kuwaza vibaya mkuu wengine hatuko hivo, jifunze kuwa positive kujipa raha sio lazima ujichue ujiharibu uume bure[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kujipa raha mwenyewe naweza, naweza kutumia chochote na sio mtu, umesema mwenyewe hapo au ulimaanisha nini ?. Alafu mbona kwa maandish yako unaonekana una hasira sana ? Tatizo nini ? Ndio tuseme upo serious sana au ? View attachment 1515520
Hapo ulimaanisha nini ? kwamba unaweza kumreplace mtu na chochote.

Punguza hasira huwa hazisaidii,
Mbona hakuna panapoonyesha anajichua!
Naona umemtafsiri vibaya.
 
Unapiga puli sio ? au sijaelewa vizuri. Nimesoma ulivyoandika nimegundua kitu wewe kama sio mid twenties basi ni early twenties na ni mwanafunzi, sasa mi kakako nakupa ushauri, usitukane mamba kabla hujavuka mto, umri ukienda enda kidogo utakuja kuelewa.. Kwa namna ulivyoandika inaonekana una attitude fulan ivi mwanaume mwenye anamsimamo na mwanaume kweli huwez kuwa nae. UKO VERY CONTROLLING, wanaume hawapendag hiyo kitu...

Mimi ni Mwanamke ila jinsi. Nilivyomsoma na anachoandika kama kinatoka kwenye nafsi yake bs hataweza kuja kuishi na mwanaume yoyote timamu
 
Sasa si Uishi mwenyewe kua sista[emoji23]
Kiukweli sipendi kupangiwa vitu maishani napenda kuishi nitakavyo na ku stay kwenye my lane usinisumbue tusisumbuane, maybe that's my weakness
 
Huna bahati kaoge Baharini saa 6 usiku...... mostly mwanamke akiwa interested namimi ndo natongoza ...na tunda NI siku hiyo hiyo au kesho yake.....

Unakwamawapi mkuu nikupe msaada (immediate evac) 😂😂😂😂
 
Kaa chini zungumza nae akwambie yapi yanamkera juu yako, pengine anapendezwa na wewe kama rafiki kuliko kama mpenzi,
Akikataa kuzungumza basi sio wako huyo, piga chini.
Yeah! hata mimi ninahisi hivo japo anajikosha kwa kuniita majina ya kimapenzi kama mume wangu etc
 
Back
Top Bottom