Ushawahi kuwa single ndani ya mahusiano?

Ushawahi kuwa single ndani ya mahusiano?

mim mwenyewe nimeona hapo anajisifia anajichua.. inasikitisha sana kwa mwanamke kuanika aibu kama hii hadharani.
Ni wapi nimesifia kujichua kwanza Hilo neno hulisoma JF usinilishe maneno please, Mimi na Mambo mengi hupenda kufanya ya msingi kuliko uzinzi sijui na kujichua zaidi ya kusoma humu.
 
Mimi stoi kiungo changu Nina mamlaka nacho mtu asinipangie uzinzi eti in the name of love that's never kwangu walah sio uchoyo maandiko yenyewe yamekataza uzinzi why nizini hovyo, ka ni upendo na ni ukose tu,
Kwanza hicho kitendo nitafanya nikitaka tu kuzaa basi na sio huo uzinzi
Unachosema uko kwenye mahusiano lakini hutombwi??[emoji848][emoji848]
 
Unapiga puli sio ? au sijaelewa vizuri. Nimesoma ulivyoandika nimegundua kitu wewe kama sio mid twenties basi ni early twenties na ni mwanafunzi, sasa mi kakako nakupa ushauri, usitukane mamba kabla hujavuka mto, umri ukienda enda kidogo utakuja kuelewa.. Kwa namna ulivyoandika inaonekana una attitude fulan ivi mwanaume mwenye anamsimamo na mwanaume kweli huwez kuwa nae. UKO VERY CONTROLLING, wanaume hawapendag hiyo kitu...
mkuu hawa ndio wale wanawake ambao kisaikolojia walishawai kutendwa ivyo bas anavyoyazungumza aya just kujifariji na kujiona ni kama Joice kiria strong woman. au wale Tomboy wasio na hisia za kike lakin wana organ za kike. wapo wengi saiz mtaani Ace c0mmunity.
 
Nimeshangaa sana aisee aisee bora abstain kabisa kuliko kupiga puli, pul inamadhara sana
Acheni kunilisha maneno wanaume humu mkishindwa Mambo huanza kugeuza Mara single mothers Sasa mumeanza puli, puli si ya wanaume huko, rudini kwenye hoja acheni utoto
 
mkuu hawa ndio wale wanawake ambao kisaikolojia walishawai kutendwa ivyo bas anavyoyazungumza aya just kujifariji na kujiona ni kama Joice kiria strong woman. au wale Tomboy wasio na hisia za kike lakin wana organ za kike. wapo wengi saiz mtaani Ace c0mmunity.
Leo najifariji sio single mother Tena, rudini kwenye hoja usinifaninishe na Joyce kiria ni watu wawili tofauti kanizidi umri mrefu sana, hafu ya kuumizwa haipo mbona nyie mnalalamika Sana kwani mumeumizwa,
Mimi sio Tom boy Wala whatever you call ukoo wenu mzima hakuna anayemikuta kuanzia akili Hadi uzuri wa asili mkuu. Yani ukoo wenu mzima hamna ka Mimi[emoji23][emoji23]
 
Mimi stoi kiungo changu Nina mamlaka nacho mtu asinipangie uzinzi eti in the name of love that's never kwangu walah sio uchoyo maandiko yenyewe yamekataza uzinzi why nizini hovyo, ka ni upendo na ni ukose tu,
Kwanza hicho kitendo nitafanya nikitaka tu kuzaa basi na sio huo uzinzi
Hapa unapinga uzinzi.maana yake hutombwi,km unatombwa wewe ni mzizi.Unapata wapi ujasiri wa kupinga?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mbona mwapenda kunilisha maneno hivo!?
"Mimi stoi kiungo changu Nina mamlaka nacho mtu asinipangie uzinzi eti in the name of love that's never kwangu walah sio uchoyo maandiko yenyewe yamekataza uzinzi why nizini hovyo, ka ni upendo na ni ukose tu,
Kwanza hicho kitendo nitafanya nikitaka tu kuzaa basi na sio huo uzinzi" Cariha


Kwahiyo wewe unazini.Lakini huzini hovyo?

Kwamaana hiyo unatombwa kwa manati?

Na hupendi kusumbuliwa mtu kutaka K mara nying nyingi?
 
We Singasinga acha Fuji, ameshakushtukia unamtumia tu bila Kuwa na mpango endelevu! Mtangazie ndoa uone Kama hajahamia kwako! Uwe serious Kama una ugwadu namna hiyo!
Yote tulishajadili ila inaonekana hajawa muwazi na mkweli so kaamua kunipush kwa style hyo.
 
"Mimi stoi kiungo changu Nina mamlaka nacho mtu asinipangie uzinzi eti in the name of love that's never kwangu walah sio uchoyo maandiko yenyewe yamekataza uzinzi why nizini hovyo, ka ni upendo na ni ukose tu,
Kwanza hicho kitendo nitafanya nikitaka tu kuzaa basi na sio huo uzinzi" Cariha


Kwahiyo wewe unazini.Lakini huzini hovyo?

Kwamaana hiyo unatombwa kwa manati?

Na hupendi kusumbuliwa mtu kutaka K mara nying nyingi?
Nimeshasema sifanyi jamani kabisa eeeh
 
Au anapima upepo! Au anakuhurumia hatari unayotaka kujiingiza atii!
Atajijua mwenyewe me ndo nshatoka hivo
Hata sai kuna sms zake kama5 ila nimekauka kama sizioni na trust me sitawahi mjibu
Nlichopata kwake kinatosha uzuri sijamuachia demage yeyote
 
Mimi stoi kiungo changu Nina mamlaka nacho mtu asinipangie uzinzi eti in the name of love that's never kwangu walah sio uchoyo maandiko yenyewe yamekataza uzinzi why nizini hovyo, ka ni upendo na ni ukose tu,
Kwanza hicho kitendo nitafanya nikitaka tu kuzaa basi na sio huo uzinzi
Inaonekana wewe bado ni mtoto bado.Masuala ya ndoa huyaelewi.Ukiolewa tambua kuwa mmekuwa mwili mmoja na haki ya mwanaume lazima umtimizie na yeye akutimizie haja zako! Inshort mtimiziane!
 
Inaonekana wewe bado ni mtoto bado.Masuala ya ndoa huyaelewi.Ukiolewa tambua kuwa mmekuwa mwili mmoja na haki ya mwanaume lazima umtimizie na yeye akutimizie haja zako! Inshort mtimiziane!
Mwili gani mmoja na kwanini unilazimishe kufanya Jambo nisilo lipenda mie
 
Back
Top Bottom