black hawk87
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 678
- 1,244
Kuna tatizo hapa [emoji817]%[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]Mwili gani mmoja na kwanini unilazimishe kufanya Jambo nisilo lipenda mie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tatizo hapa [emoji817]%[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]Mwili gani mmoja na kwanini unilazimishe kufanya Jambo nisilo lipenda mie
Miezi miwili ni michache mkuu..
Huwa tunakaaga mwaka.
Mwisho wa yote pole sana..muda ukifika utalamba mpka uchoke.
Mbn fresh tuNa kuhudumiwa mahitaji yako huwa ni hvyo hvyo?
Anaitikia tu ila siku husika anapatikana muda ukiwa umeenda kifupi inakua haiwezekani kuja.
Mbn fresh tu
Kwahiyo umetulia mwenyewe kusubiria nitoe siri ya kambi😅😅😅Ujajibu nilichouliza, nmeuliza hvyo maana kuna wengine wanakunyima penzi lakini bado anataka kuhudumiwa kama mpenzi [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Kwahiyo umetulia mwenyewe kusubiria nitoe siri ya kambi[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji16] we ficha tu ila kuna baadhi ya wanawake Mungu anawaona, mtu anakunyima tendo lakini anataka umgaramie. Na waliokufa wakaoza hata hawashtuki wanagharamia
[emoji23][emoji23][emoji16] unakua unavuta subra atanipa tu
Acheni kunilisha maneno wanaume humu mkishindwa Mambo huanza kugeuza Mara single mothers Sasa mumeanza puli, puli si ya wanaume huko, rudini kwenye hoja acheni utoto
Wewe koma screenshot niliposema najichua kujipa raha mwenyewe kwangu Mimi sio ngono au masturbation zenu mnazofikiri watu wote hufanya, mie huo uchafu siujui kabisa, Nina Mambo mengi ya msingi hufanya ya kufuraisha kuliko hyo mnayoita kujichuajaman kasema anajichua mwenyewe sasa si tusemeje ? aisee una safari ndefu sana mkuu
According to you and not me.Kuna tatizo hapa [emoji817]%[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]
nimesoma kila nukta ya comnt unahtaji wataalam wa saikolojia otherwise uwe una comnt kwa sababu tu muda uendeAccording to you and not me.
Na kwambia kila mtu na mtazamo wake hatuwezi fanana kamwe hapo hamna Cha mtaalamu wa saikolojia Wala Nini, ni vile jamaa ilikujaribuni kuwa mtu akiwaza tofauti na wengi watu wamu judge in different ways.nimesoma kila nukta ya comnt unahtaji wataalam wa saikolojia otherwise uwe una comnt kwa sababu tu muda uende
kitaalamu unaweza jiona uko sawa ila sisi tunaosoma kile utumacho tunajua uko katika condition gani, nakupa ushauri wa bure kuna muda utafika utakuja kujiua mwenyewe kuwa makini
wakat sahihi utaongeaNa kwambia kila mtu na mtazamo wake hatuwezi fanana kamwe hapo hamna Cha mtaalamu wa saikolojia Wala Nini, ni vile jamaa ilikujaribuni kuwa mtu akiwaza tofauti na wengi watu wamu judge in different ways.
Kila ntu na saikolojia yake siamini hicho eti kisaikolojia sijui Nini, Mimi naishi kwa principles zangu na sio vitabu vya wanasaikolojia maana nao yamewashinda.
Be you, live in ur own world and dreams not society perception and wherever.
Hayo ni maneno tu hata kwenye kanga yako, mda upo na itaendelea kuwepo from ages to ages, I'm responsible for my own happiness,& I don't care about what other people think about me or my lifestyle.wakat sahihi utaongea