Ushawahi kuwa single ndani ya mahusiano?

Ushawahi kuwa single ndani ya mahusiano?

Kwahiyo umetulia mwenyewe kusubiria nitoe siri ya kambi[emoji28][emoji28][emoji28]

[emoji16] we ficha tu ila kuna baadhi ya wanawake Mungu anawaona, mtu anakunyima tendo lakini anataka umgaramie. Na waliokufa wakaoza hata hawashtuki wanagharamia
 
[emoji16] we ficha tu ila kuna baadhi ya wanawake Mungu anawaona, mtu anakunyima tendo lakini anataka umgaramie. Na waliokufa wakaoza hata hawashtuki wanagharamia

[emoji23][emoji23][emoji16] unakua unavuta subra atanipa tu
 
[emoji23][emoji23][emoji16] unakua unavuta subra atanipa tu

[emoji38] alafu nayeye akiona hvyo ndio anazidi kubana hakupi kitu ukiacha tu kuhudumia ndio anapata na sababu ya yeye kufanya hvyo
 
Kaa chini zungumza nae akwambie yapi yanamkera juu yako, pengine anapendezwa na wewe kama rafiki kuliko kama mpenzi,
Akikataa kuzungumza basi sio wako huyo, piga chini.
 
Acheni kunilisha maneno wanaume humu mkishindwa Mambo huanza kugeuza Mara single mothers Sasa mumeanza puli, puli si ya wanaume huko, rudini kwenye hoja acheni utoto

jaman kasema anajichua mwenyewe sasa si tusemeje ? aisee una safari ndefu sana mkuu
 
jaman kasema anajichua mwenyewe sasa si tusemeje ? aisee una safari ndefu sana mkuu
Wewe koma screenshot niliposema najichua kujipa raha mwenyewe kwangu Mimi sio ngono au masturbation zenu mnazofikiri watu wote hufanya, mie huo uchafu siujui kabisa, Nina Mambo mengi ya msingi hufanya ya kufuraisha kuliko hyo mnayoita kujichua
 
According to you and not me.
nimesoma kila nukta ya comnt unahtaji wataalam wa saikolojia otherwise uwe una comnt kwa sababu tu muda uende

kitaalamu unaweza jiona uko sawa ila sisi tunaosoma kile utumacho tunajua uko katika condition gani, nakupa ushauri wa bure kuna muda utafika utakuja kujiua mwenyewe kuwa makini
 
nimesoma kila nukta ya comnt unahtaji wataalam wa saikolojia otherwise uwe una comnt kwa sababu tu muda uende

kitaalamu unaweza jiona uko sawa ila sisi tunaosoma kile utumacho tunajua uko katika condition gani, nakupa ushauri wa bure kuna muda utafika utakuja kujiua mwenyewe kuwa makini
Na kwambia kila mtu na mtazamo wake hatuwezi fanana kamwe hapo hamna Cha mtaalamu wa saikolojia Wala Nini, ni vile jamaa ilikujaribuni kuwa mtu akiwaza tofauti na wengi watu wamu judge in different ways.
Kila ntu na saikolojia yake siamini hicho eti kisaikolojia sijui Nini, Mimi naishi kwa principles zangu na sio vitabu vya wanasaikolojia maana nao yamewashinda.
Be you, live in ur own world and dreams not society perception and wherever.
 
Na kwambia kila mtu na mtazamo wake hatuwezi fanana kamwe hapo hamna Cha mtaalamu wa saikolojia Wala Nini, ni vile jamaa ilikujaribuni kuwa mtu akiwaza tofauti na wengi watu wamu judge in different ways.
Kila ntu na saikolojia yake siamini hicho eti kisaikolojia sijui Nini, Mimi naishi kwa principles zangu na sio vitabu vya wanasaikolojia maana nao yamewashinda.
Be you, live in ur own world and dreams not society perception and wherever.
wakat sahihi utaongea
 
wakat sahihi utaongea
Hayo ni maneno tu hata kwenye kanga yako, mda upo na itaendelea kuwepo from ages to ages, I'm responsible for my own happiness,& I don't care about what other people think about me or my lifestyle.
Mie ni nabii wa maisha yangu mwenyewe na sio maneno ya waja
 
Back
Top Bottom