Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndiyo....
Dem mmoja hivi, ana chura....😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenyekiti demu gani sasa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]Dem mmoja hivi, ana chura....[emoji16]
Utachemsha. Mafurushi hatuendewi kwa waganga sisi..Ngoja nikakuroge.
Ndo nakuroga sasa.Utachemsha. Mafurushi hatuendewi kwa waganga sisi..
Magonjwa mnayaendea kwa waganga ili yawapateni, hatari sanaKama inavyojieleza ushawahi kumpenda demu sio ligi yako. Ukaamua uende kwa babu.
Vipi mganga alifanya kweli?Ndiyo....
Yupi sasa 😁 wa sumbawanga au wa kigoma?Vipi mganga alifanya kweli?
😂😂🙌🙌🙌Yupi sasa 😁 wa sumbawanga au wa kigoma?
Dah,una roho mbaya kwelii, yaani iwe tamu yako pekeako halafu ukilala yooo unataka aje afanye na kaburi lako au!? Ndo maana babu alikupa unga wa muhogo,lolMiaka ya nyuma best friend wangu nilimsindikiza huko kwa mganga..
Yeye hakuwa mlevi ila alikuwa anapenda kwenda klabu sana.
Siku hiyo tumerudi kutoka klabu usiku mkali nikaenda kulala geto kwake!!
Alfajiri saa kumi ananiamsha kwamba nivae twende sehemu..
Tulibishana sana na nilikuwa ndo usingizi wa pombe unachanganya..
Mwisho akaniambia kama wee ni msela kweli kwangu basi amka twende utajua mbele!!
Mvua ilikuwa inapiga nje hatari na baridi ya kufa mtu..
Nikawa bado siamini kama kweli huyu jamaa yuko siriaz tutoke mida hiyo na mvua..
Kiuvivu tukatoka na mwamvuli safari ikaanza njia nzima namuuliza tunaenda wapi hataki kusema!!nikajua leo naenda kutolewa sadaka..
Mguu kwa mguu hadi porini porini huko.
Tukaingia ktk kijumba kibovu tukakuta kibibi kinaota moto!!
Akamjibu tuu jamaa subiri babu kaenda kukuletea dawa!!
Tumetoka pale kapewa dawa na masharti ndio akaanza kufunguka!!
Ameenda pale kwa ajili ya demu wake maana siku hizi amekuwa hamuelewi!
Daahh nilishangaa sana...
akanichana kwamba demu amemkatia mawasiliano kabisa!!hataki hata mazoea !
Geto jamaa akaanza kufanya yake!
Akachoma dawa na manuizi kibao..
Dkk5 nyingi mlango unagongwa demu wake anaingia!!nilihisi ni kiini macho kabisa..
Nikawaacha hapo wakafanya yao maisha yakaendelea!
Nikaingia tamaa na mimi nijaribu..
Akanipeleka siku hiyo nikapewa dawa kupaka kwenye mbo unamix na asali!!
Nikatest kwa demu wangu huku nanuizia nilivyoambiwa..
"NAINGIZA MBO HII MI ADEN KWA NANIHII NAOMBA MBO HII IWE TAMU KWAKE KULIKO MBO YOYOTE DUNIANI"
Hhahahaha lakini nilichapiwa sana tuuu yule demu licha nilinuia kama mara 3 nilizokutana nae.