Ushawahi kwenda kwa mganga kisa mwanamke?

Ushawahi kwenda kwa mganga kisa mwanamke?

Miaka ya nyuma best friend wangu nilimsindikiza huko kwa mganga..
Yeye hakuwa mlevi ila alikuwa anapenda kwenda klabu sana.

Siku hiyo tumerudi kutoka klabu usiku mkali nikaenda kulala geto kwake!!

Alfajiri saa kumi ananiamsha kwamba nivae twende sehemu..
Tulibishana sana na nilikuwa ndo usingizi wa pombe unachanganya..

Mwisho akaniambia kama wee ni msela kweli kwangu basi amka twende utajua mbele!!

Mvua ilikuwa inapiga nje hatari na baridi ya kufa mtu..

Nikawa bado siamini kama kweli huyu jamaa yuko siriaz tutoke mida hiyo na mvua..

Kiuvivu tukatoka na mwamvuli safari ikaanza njia nzima namuuliza tunaenda wapi hataki kusema!!nikajua leo naenda kutolewa sadaka..

Mguu kwa mguu hadi porini porini huko.
Tukaingia ktk kijumba kibovu tukakuta kibibi kinaota moto!!

Akamjibu tuu jamaa subiri babu kaenda kukuletea dawa!!

Tumetoka pale kapewa dawa na masharti ndio akaanza kufunguka!!

Ameenda pale kwa ajili ya demu wake maana siku hizi amekuwa hamuelewi!

Daahh nilishangaa sana...
akanichana kwamba demu amemkatia mawasiliano kabisa!!hataki hata mazoea !

Geto jamaa akaanza kufanya yake!
Akachoma dawa na manuizi kibao..

Dkk5 nyingi mlango unagongwa demu wake anaingia!!nilihisi ni kiini macho kabisa..

Nikawaacha hapo wakafanya yao maisha yakaendelea!

Nikaingia tamaa na mimi nijaribu..
Akanipeleka siku hiyo nikapewa dawa kupaka kwenye mbo unamix na asali!!

Nikatest kwa demu wangu huku nanuizia nilivyoambiwa..
"NAINGIZA MBO HII MI ADEN KWA NANIHII NAOMBA MBO HII IWE TAMU KWAKE KULIKO MBO YOYOTE DUNIANI"

Hhahahaha lakini nilichapiwa sana tuuu yule demu licha nilinuia kama mara 3 nilizokutana nae.
 
Miaka ya nyuma best friend wangu nilimsindikiza huko kwa mganga..
Yeye hakuwa mlevi ila alikuwa anapenda kwenda klabu sana.

Siku hiyo tumerudi kutoka klabu usiku mkali nikaenda kulala geto kwake!!

Alfajiri saa kumi ananiamsha kwamba nivae twende sehemu..
Tulibishana sana na nilikuwa ndo usingizi wa pombe unachanganya..

Mwisho akaniambia kama wee ni msela kweli kwangu basi amka twende utajua mbele!!

Mvua ilikuwa inapiga nje hatari na baridi ya kufa mtu..

Nikawa bado siamini kama kweli huyu jamaa yuko siriaz tutoke mida hiyo na mvua..

Kiuvivu tukatoka na mwamvuli safari ikaanza njia nzima namuuliza tunaenda wapi hataki kusema!!nikajua leo naenda kutolewa sadaka..

Mguu kwa mguu hadi porini porini huko.
Tukaingia ktk kijumba kibovu tukakuta kibibi kinaota moto!!

Akamjibu tuu jamaa subiri babu kaenda kukuletea dawa!!

Tumetoka pale kapewa dawa na masharti ndio akaanza kufunguka!!

Ameenda pale kwa ajili ya demu wake maana siku hizi amekuwa hamuelewi!

Daahh nilishangaa sana...
akanichana kwamba demu amemkatia mawasiliano kabisa!!hataki hata mazoea !

Geto jamaa akaanza kufanya yake!
Akachoma dawa na manuizi kibao..

Dkk5 nyingi mlango unagongwa demu wake anaingia!!nilihisi ni kiini macho kabisa..

Nikawaacha hapo wakafanya yao maisha yakaendelea!

Nikaingia tamaa na mimi nijaribu..
Akanipeleka siku hiyo nikapewa dawa kupaka kwenye mbo unamix na asali!!

Nikatest kwa demu wangu huku nanuizia nilivyoambiwa..
"NAINGIZA MBO HII MI ADEN KWA NANIHII NAOMBA MBO HII IWE TAMU KWAKE KULIKO MBO YOYOTE DUNIANI"

Hhahahaha lakini nilichapiwa sana tuuu yule demu licha nilinuia kama mara 3 nilizokutana nae
 
Naomba siku nitakayoenda kwa mganga iwe ni sababu nzito kiasi kwamba hata sir God akiiangalia anaweza hata kunifikiria siku ya mwisho kwenye kufunga hesabu
 
Miaka ya nyuma best friend wangu nilimsindikiza huko kwa mganga..
Yeye hakuwa mlevi ila alikuwa anapenda kwenda klabu sana.

Siku hiyo tumerudi kutoka klabu usiku mkali nikaenda kulala geto kwake!!

Alfajiri saa kumi ananiamsha kwamba nivae twende sehemu..
Tulibishana sana na nilikuwa ndo usingizi wa pombe unachanganya..

Mwisho akaniambia kama wee ni msela kweli kwangu basi amka twende utajua mbele!!

Mvua ilikuwa inapiga nje hatari na baridi ya kufa mtu..

Nikawa bado siamini kama kweli huyu jamaa yuko siriaz tutoke mida hiyo na mvua..

Kiuvivu tukatoka na mwamvuli safari ikaanza njia nzima namuuliza tunaenda wapi hataki kusema!!nikajua leo naenda kutolewa sadaka..

Mguu kwa mguu hadi porini porini huko.
Tukaingia ktk kijumba kibovu tukakuta kibibi kinaota moto!!

Akamjibu tuu jamaa subiri babu kaenda kukuletea dawa!!

Tumetoka pale kapewa dawa na masharti ndio akaanza kufunguka!!

Ameenda pale kwa ajili ya demu wake maana siku hizi amekuwa hamuelewi!

Daahh nilishangaa sana...
akanichana kwamba demu amemkatia mawasiliano kabisa!!hataki hata mazoea !

Geto jamaa akaanza kufanya yake!
Akachoma dawa na manuizi kibao..

Dkk5 nyingi mlango unagongwa demu wake anaingia!!nilihisi ni kiini macho kabisa..

Nikawaacha hapo wakafanya yao maisha yakaendelea!

Nikaingia tamaa na mimi nijaribu..
Akanipeleka siku hiyo nikapewa dawa kupaka kwenye mbo unamix na asali!!

Nikatest kwa demu wangu huku nanuizia nilivyoambiwa..
"NAINGIZA MBO HII MI ADEN KWA NANIHII NAOMBA MBO HII IWE TAMU KWAKE KULIKO MBO YOYOTE DUNIANI"

Hhahahaha lakini nilichapiwa sana tuuu yule demu licha nilinuia kama mara 3 nilizokutana nae.
Dah,una roho mbaya kwelii, yaani iwe tamu yako pekeako halafu ukilala yooo unataka aje afanye na kaburi lako au!? Ndo maana babu alikupa unga wa muhogo,lol
 
Back
Top Bottom