Ushawahi kwenda kwa mganga kisa mwanamke?

Ushawahi kwenda kwa mganga kisa mwanamke?

Huu huzi ni mzuri sana .
Wadau humu watu watapinga ila silimia kubwa wanaendaga kwa waganga .
Wewe wamisri ni wengi humu kushinda waisraeli wengi humu hawajaenda kanani bado wapo istraeli.
 
Kama inavyojieleza ushawahi kumpenda demu sio ligi yako. Ukaamua uende kwa babu.
hiyo ni lowest form of desparation. kama mwanaume keep hadhi yako and stand tall all the time man. akikuzingua mpotezee.. you are the king.. you are the price unaenda kwa mganga kupoteza pesa tu
 
Kwangu mimi sikuamini uganga lakini niliamini dua niliyosomewa na bibi yangu siku naondoka bongo...
Kwamba nakuombea unapoenda mungu akufungulie milango yote na ufanikiwe kimaisha..
Ile nimeshuka kwenye ndege airport mara niko kwenye milango ya automatic mara paaaa...nimefika mbele yake ukafungua, roho ikapiga waaahh, nikasema dua ya bibi imenikubali....
 
Miaka ya nyuma best friend wangu nilimsindikiza huko kwa mganga..
Yeye hakuwa mlevi ila alikuwa anapenda kwenda klabu sana.

Siku hiyo tumerudi kutoka klabu usiku mkali nikaenda kulala geto kwake!!

Alfajiri saa kumi ananiamsha kwamba nivae twende sehemu..
Tulibishana sana na nilikuwa ndo usingizi wa pombe unachanganya..

Mwisho akaniambia kama wee ni msela kweli kwangu basi amka twende utajua mbele!!

Mvua ilikuwa inapiga nje hatari na baridi ya kufa mtu..

Nikawa bado siamini kama kweli huyu jamaa yuko siriaz tutoke mida hiyo na mvua..

Kiuvivu tukatoka na mwamvuli safari ikaanza njia nzima namuuliza tunaenda wapi hataki kusema!!nikajua leo naenda kutolewa sadaka..

Mguu kwa mguu hadi porini porini huko.
Tukaingia ktk kijumba kibovu tukakuta kibibi kinaota moto!!

Akamjibu tuu jamaa subiri babu kaenda kukuletea dawa!!

Tumetoka pale kapewa dawa na masharti ndio akaanza kufunguka!!

Ameenda pale kwa ajili ya demu wake maana siku hizi amekuwa hamuelewi!

Daahh nilishangaa sana...
akanichana kwamba demu amemkatia mawasiliano kabisa!!hataki hata mazoea !

Geto jamaa akaanza kufanya yake!
Akachoma dawa na manuizi kibao..

Dkk5 nyingi mlango unagongwa demu wake anaingia!!nilihisi ni kiini macho kabisa..

Nikawaacha hapo wakafanya yao maisha yakaendelea!

Nikaingia tamaa na mimi nijaribu..
Akanipeleka siku hiyo nikapewa dawa kupaka kwenye mbo unamix na asali!!

Nikatest kwa demu wangu huku nanuizia nilivyoambiwa..
"NAINGIZA MBO HII MI ADEN KWA NANIHII NAOMBA MBO HII IWE TAMU KWAKE KULIKO MBO YOYOTE DUNIANI"

Hhahahaha lakini nilichapiwa sana tuuu yule demu licha nilinuia kama mara 3 nilizokutana nae.
Ina==w=ezekana ulichapiwa kea kutokuwa na hela japo mboo ilikuwa tamu
 
Naombeni picha za yule dada yupo uchi kwa sheikh Fulani anapewa dawa😂
 
Nishaendewa sana kwa waganga na wanawake wenzangu, eti wanasema nawaringia;

1689438552676.png
 
Back
Top Bottom