Ushawahi kwenda kwa mganga kisa mwanamke?

Huu huzi ni mzuri sana .
Wadau humu watu watapinga ila silimia kubwa wanaendaga kwa waganga .
Wewe wamisri ni wengi humu kushinda waisraeli wengi humu hawajaenda kanani bado wapo istraeli.
 
Kama inavyojieleza ushawahi kumpenda demu sio ligi yako. Ukaamua uende kwa babu.
hiyo ni lowest form of desparation. kama mwanaume keep hadhi yako and stand tall all the time man. akikuzingua mpotezee.. you are the king.. you are the price unaenda kwa mganga kupoteza pesa tu
 
Kwangu mimi sikuamini uganga lakini niliamini dua niliyosomewa na bibi yangu siku naondoka bongo...
Kwamba nakuombea unapoenda mungu akufungulie milango yote na ufanikiwe kimaisha..
Ile nimeshuka kwenye ndege airport mara niko kwenye milango ya automatic mara paaaa...nimefika mbele yake ukafungua, roho ikapiga waaahh, nikasema dua ya bibi imenikubali....
 
Ina==w=ezekana ulichapiwa kea kutokuwa na hela japo mboo ilikuwa tamu
 
Naombeni picha za yule dada yupo uchi kwa sheikh Fulani anapewa dawa😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…