Ushawahi ona mkataba ulioandikwa kwenye nguo?

Ushawahi ona mkataba ulioandikwa kwenye nguo?

Omuzaile

Member
Joined
Jan 23, 2019
Posts
34
Reaction score
56
Anaandika Thadei Ole Mushi

AKILI ZA TABIA YA KITROPIK HAZINA MUDA WA KUFIKIRI.

Na Thadei Ole Mushi.

Kitaalamu ipo hivi.

Akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi zenye tabia ya nchi za Kitropik huwa hazina muda wa kufikiri sana tofauti na akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi za Jangwa au tabia nyingine za nchi ambazo ni hostile kwa binadamu kuishi.

Ndio maana Dubai wanaweza kuwa na maendeleo kuliko Tanzania wakati Dubai ni tabia ya nchi ya kijangwa na Tanzania ni tabia ya Nchi ya Kitropik.

Sababu kubwa ya nchi ambazo ni za kitropik watu kutokufikiri ni mazingira rafiki ya binadamu kuishi. Yaani ni ngumu sana kwa Mtu anayeishi Tanzania kulala njaa kila mahali kuna Chakula sasa akili itawaza nini zaidi ya kulala? Si hivyo tu unaweza kulala nje ya nyumba mwaka mzima na usiugue kabisa.

Anyway pichani ni picha mbili za Yanga na Simba wakitambulisha wadhamini wao. Yanga wanaonyesha mkataba uliosainiwa na pande zote mbili huku Simba wakionyesha Tshirt iliyoandikwa Bilioni 26.

Waiter niitie mtu wa Jikoni 😃😀

Ole Mushi.
0712702602.

FB_IMG_1659381197329.jpg
 
Anaandika Thadei Ole Mushi

AKILI ZA TABIA YA KITROPIK HAZINA MUDA WA KUFIKIRI.

Na Thadei Ole Mushi.

Kitaalamu ipo hivi.

Akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi zenye tabia ya nchi za Kitropik huwa hazina muda wa kufikiri sana tofauti na akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi za Jangwa au tabia nyingine za nchi ambazo ni hostile kwa binadamu kuishi.

Ndio maana Dubai wanaweza kuwa na maendeleo kuliko Tanzania wakati Dubai ni tabia ya nchi ya kijangwa na Tanzania ni tabia ya Nchi ya Kitropik.

Sababu kubwa ya nchi ambazo ni za kitropik watu kutokufikiri ni mazingira rafiki ya binadamu kuishi. Yaani ni ngumu sana kwa Mtu anayeishi Tanzania kulala njaa kila mahali kuna Chakula sasa akili itawaza nini zaidi ya kulala? Si hivyo tu unaweza kulala nje ya nyumba mwaka mzima na usiugue kabisa.

Anyway pichani ni picha mbili za Yanga na Simba wakitambulisha wadhamini wao. Yanga wanaonyesha mkataba uliosainiwa na pande zote mbili huku Simba wakionyesha Tshirt iliyoandikwa Bilioni 26.

Waiter niitie mtu wa Jikoni [emoji2][emoji3]

Ole Mushi.
0712702602.
Subiri hapo hapo wala usiwe na haraka. Utadundwa Mandonga cha mtoto.
 
Achana na Simba na Yanga mpaka kesho uko duniani amna anaejua Team Viewer inaweka kiasi gani kwa Man U au Fly Emirates inaweka kiasi gani kwa Arsenal na R.Madrid au wewe unajua Rwanda wameweka kiasi gani kwa Arsenal mpaka wakabandikwa pale mkononi "Visit Rwanda" ????? Itoshe kusema mtoa mada unakurupuka sisi Waafrika tukifanya vitu bila Kuiga MABENERU ni kosa TUKIWAIGA napo ni KOSA sasa tufanye lipi kwako litakua Jema binafsi naona ni BONGE LA UBUNIFU mbona wachezaji kama bangala juzi ameongezewa mkataba na wakapewa Jezi imeandikwa mwisho wa mkataba wake nayo iyo ni Umbumbumbu?? Kina Mzamiru,Manula ivyoivyo


Itoshe kusema Izi team zinageuza watu kuwa vichaa..ata ivyo sisi na Usimba na Uyanga wetu ila kwa El classico bado hatujawazidi wale wanachukiana pakubwa sana ila viongozi ndo wanageuza chuki kuwa Pesa....uku tunachukiana bila impact yoyote

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Umeoneshwa mkataba au umeoneshwa diary yenye logo ya Yanga?

Mkataba wako tu mliosaini na mwenye nyumba japo kodi ni 50k lakini hauwezi kuwa na lines mbili ukijumlisha na heading

Sasa mkataba wa mabilion ya pesa kwenye kampuni kubwa unakuwaje na mistari mitatu kuzidiwa na mkataba wa frem uswazi?

Mkataba hauoneshi hata terms za makubaliano bado unaita mkataba?

Hiyo ni diary na hicho kilogo hapo kinawekeka fresh tu, picha haina maelezo yakutosheleza kuthibitisha huo ni mkataba

Otherwise uite mkataba kwasababu wao wamesema ni mkataba
 
Anaandika Thadei Ole Mushi

AKILI ZA TABIA YA KITROPIK HAZINA MUDA WA KUFIKIRI.

Na Thadei Ole Mushi.

Kitaalamu ipo hivi.

Akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi zenye tabia ya nchi za Kitropik huwa hazina muda wa kufikiri sana tofauti na akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi za Jangwa au tabia nyingine za nchi ambazo ni hostile kwa binadamu kuishi.

Ndio maana Dubai wanaweza kuwa na maendeleo kuliko Tanzania wakati Dubai ni tabia ya nchi ya kijangwa na Tanzania ni tabia ya Nchi ya Kitropik.

Sababu kubwa ya nchi ambazo ni za kitropik watu kutokufikiri ni mazingira rafiki ya binadamu kuishi. Yaani ni ngumu sana kwa Mtu anayeishi Tanzania kulala njaa kila mahali kuna Chakula sasa akili itawaza nini zaidi ya kulala? Si hivyo tu unaweza kulala nje ya nyumba mwaka mzima na usiugue kabisa.

Anyway pichani ni picha mbili za Yanga na Simba wakitambulisha wadhamini wao. Yanga wanaonyesha mkataba uliosainiwa na pande zote mbili huku Simba wakionyesha Tshirt iliyoandikwa Bilioni 26.

Waiter niitie mtu wa Jikoni [emoji2][emoji3]

Ole Mushi.
0712702602.
Hamna akili utopolo, hv unajua impact ya kutangaza mkataba wa uongo? Unawajua au umewahi kusikia au kukutana nalo dudu linaloitwa TRA? Yaan Simba wadanganye hela hizo zimengia klabun mbele ya hilo dudu? Tumieni akili hata kdg tu basi
 
Kwenye picha zote hapo ulizotumia kama mrejeo, sijaona mkataba wowote.

Au hizo notebook zenye logo ya Simba Sc ndio mkataba wa mabilioni? Hahaha haya nisomee huo mkataba unasemaje.
 
Fact inayomfanya aseme ile diary ni mkataba ni ipi?

Kwasababu ile diary haioneshi terms za mkataba zaidi ya logo na maandishi ya mistari mitatu
Vilabu vya Kariakoo nimeshasema nyie ni vichaa wa ushabiki. Yule kaonusha Diary kama unavyosema wewe umeonyesha mkataba umesainiwa kwenye jezi!?
 
Dah
Achana na Simba na Yanga mpaka kesho uko duniani amna anaejua Team Viewer inaweka kiasi gani kwa Man U au Fly Emirates inaweka kiasi gani kwa Arsenal na R.Madrid au wewe unajua Rwanda wameweka kiasi gani kwa Arsenal mpaka wakabandikwa pale mkononi "Visit Rwanda" ????? Itoshe kusema mtoa mada unakurupuka sisi Waafrika tukifanya vitu bila Kuiga MABENERU ni kosa TUKIWAIGA napo ni KOSA sasa tufanye lipi kwako litakua Jema binafsi naona ni BONGE LA UBUNIFU mbona wachezaji kama bangala juzi ameongezewa mkataba na wakapewa Jezi imeandikwa mwisho wa mkataba wake nayo iyo ni Umbumbumbu?? Kina Mzamiru,Manula ivyoivyo


Itoshe kusema Izi team zinageuza watu kuwa vichaa..ata ivyo sisi na Usimba na Uyanga wetu ila kwa El classico bado hatujawazidi wale wanachukiana pakubwa sana ila viongozi ndo wanageuza chuki kuwa Pesa....uku tunachukiana bila impact yoyote

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Umeandika vitu vizuri sana mkuu. Tatizo kule wenye akili ni Sunday na Kikwete🤣🤣🤣🤣
 
Umeoneshwa mkataba au umeoneshwa diary yenye logo ya Yanga?

Mkataba wako tu mliosaini na mwenye nyumba japo kodi ni 50k lakini hauwezi kuwa na lines mbili ukijumlisha na heading

Sasa mkataba wa mabilion ya pesa kwenye kampuni kubwa unakuwaje na mistari mitatu kuzidiwa na mkataba wa frem uswazi?

Mkataba hauoneshi hata terms za makubaliano bado unaita mkataba?

Hiyo ni diary na hicho kilogo hapo kinawekeka fresh tu, picha haina maelezo yakutosheleza kuthibitisha huo ni mkataba

Otherwise uite mkataba kwasababu wao wamesema ni mkataba
Ukitaka kuwachota akili Mambumbumbu ya Simba wewe waonyeshe kuwa umeingia Mkataba wa Bilioni 20 hapo watafurahi mpaka waumwe mbavu.
 
UKWELI usemwe hakika nikiwa mshabiki kindaki ndaki wa MAKOLO bila kupepesa tumepigwa na kitu kizito sawa na ule wa B 20.

Ilitakiwa upigwe na kitu kizito kwa kujiuliza

Timu imeweka kambi misri ela wamepata wapi na ww ujalipia hata kadi yako?
Timu inafanya usaili kwa ela gani?
Timu inakaa kambini kwa ela gani?

Ukipata majibu ndio uje sasa na Lawama zako
 
Vilabu vya Kariakoo nimeshasema nyie ni vichaa wa ushabiki. Yule kaonusha Diary kama unavyosema wewe umeonyesha mkataba umesainiwa kwenye jezi!?
Kwani nani wanao husisha ishu ya jezi na mkataba zaidi ya Yanga?

Yanga ndio wanao komalia kuwa ile jersey ni mkataba kwa kujifananisha na wao ambao walitumia diary

Sasa ku argue na watu wa namna hiyo kwenye jambo hili la kijinga

Unaweza kuona ni kiasi gani uwaone wana haki kuandamana kwenda kwa raisi kupinga maamuzi ya TFF
 
Fact inayomfanya aseme ile diary ni mkataba ni ipi?

Kwasababu ile diary haioneshi terms za mkataba zaidi ya logo na maandishi ya mistari mitatu
Ukitaka kuwashika akili Makolo wewe waambie umeingia mkataba wa 20bl.
JamiiForums40703081.jpg
 
Umeoneshwa mkataba au umeoneshwa diary yenye logo ya Yanga?

Mkataba wako tu mliosaini na mwenye nyumba japo kodi ni 50k lakini hauwezi kuwa na lines mbili ukijumlisha na heading

Sasa mkataba wa mabilion ya pesa kwenye kampuni kubwa unakuwaje na mistari mitatu kuzidiwa na mkataba wa frem uswazi?

Mkataba hauoneshi hata terms za makubaliano bado unaita mkataba?

Hiyo ni diary na hicho kilogo hapo kinawekeka fresh tu, picha haina maelezo yakutosheleza kuthibitisha huo ni mkataba

Otherwise uite mkataba kwasababu wao wamesema ni mkataba
Diary ya makolo na mbet ipo wapi ?

Wapi tumeona wakisaini mkataba wao ?

Kwanini hawaku-disclose value ya mkataba mpaka walipoona wenzao mabingwa wa nchi na wakihistoria wametangaza ? Nini sababu kama sio wazee wa kuongeza sifuri ?
 
Ukitaka kuwachota akili Mambumbumbu ya Simba wewe waonyeshe kuwa umeingia Mkataba wa Bilioni 20 hapo watafurahi mpaka waumwe mbavu.
Moja ya sifa ya mjinga ni kutokuwa na kumbukumbu

Unakumbuka kipindi mna criticize ile cheque mlitumia hoja gani?

Mlisema cheque feki kwakua haijaandikwa jina la bank ilipo hifadhiwa ile pesa.

Haya juzi hapo mliingia mkataba na sport pesa uliiona ile cheque?

Kuna mahala wameandika jina la bank walipo hifadhia ile M100?

Saizi tena mnakuja kusema eti ile picha inaonesha Hersi kashika mkataba wa udhamini

Kwenye ile diary ni kitu gani kinachothibitisha ule ni mkataba na sio kwamba ni kidaftari cha kumbukumbu kwa wateja aliowakopesha magodoro kipindi Hersi yuko GSM?
 
Back
Top Bottom