Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nini hiki?Ukitaka kuwashika akili Makolo wewe waambie umeingia mkataba wa 20bl.View attachment 2311533
Watu washamba ndio wanaonesha mikataba hadharani. Public hujulishwa tu kilichotokea. Inawezekana kwa ushamba wa kuonesha mikataba hadharani ndio maana CEO Senzo kawakimbia.Anaandika Thadei Ole Mushi
AKILI ZA TABIA YA KITROPIK HAZINA MUDA WA KUFIKIRI.
Na Thadei Ole Mushi.
Kitaalamu ipo hivi.
Akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi zenye tabia ya nchi za Kitropik huwa hazina muda wa kufikiri sana tofauti na akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi za Jangwa au tabia nyingine za nchi ambazo ni hostile kwa binadamu kuishi.
Ndio maana Dubai wanaweza kuwa na maendeleo kuliko Tanzania wakati Dubai ni tabia ya nchi ya kijangwa na Tanzania ni tabia ya Nchi ya Kitropik.
Sababu kubwa ya nchi ambazo ni za kitropik watu kutokufikiri ni mazingira rafiki ya binadamu kuishi. Yaani ni ngumu sana kwa Mtu anayeishi Tanzania kulala njaa kila mahali kuna Chakula sasa akili itawaza nini zaidi ya kulala? Si hivyo tu unaweza kulala nje ya nyumba mwaka mzima na usiugue kabisa.
Anyway pichani ni picha mbili za Yanga na Simba wakitambulisha wadhamini wao. Yanga wanaonyesha mkataba uliosainiwa na pande zote mbili huku Simba wakionyesha Tshirt iliyoandikwa Bilioni 26.
Waiter niitie mtu wa Jikoni 😃😀
Ole Mushi.
0712702602.
View attachment 2311485
Sasa ikiwa kampuni inapata annual revenue $5M, itashindwa vipi kuhimili mkataba wa $1M- $1.5M kwa mwaka?Ukitaka kuwashika akili Makolo wewe waambie umeingia mkataba wa 20bl.View attachment 2311533
Hii ni kati ya madrid na fly emirates ficha upumbavu wakoVilabu vya Kariakoo nimeshasema nyie ni vichaa wa ushabiki. Yule kaonusha Diary kama unavyosema wewe umeonyesha mkataba umesainiwa kwenye jezi!?
Kwahiyo kuongeza sifuri kutoka bilioni 3 hadi 30? Au wewe ulikuwa una maan ganiDiary ya makolo na mbet ipo wapi ?
Wapi tumeona wakisaini mkataba wao ?
Kwanini hawaku-disclose value ya mkataba mpaka walipoona wenzao mabingwa wa nchi na wakihistoria wametangaza ? Nini sababu kama sio wazee wa kuongeza sifuri ?
Wala usiumize akili kubishana na watu wenye akili ndogo, kilichofanyika pale tunakijua vizuri sana tunachosubili ni kuona thamani ya pesa kama itahakisi kinachofanyika kwenye klabuAnaandika Thadei Ole Mushi
AKILI ZA TABIA YA KITROPIK HAZINA MUDA WA KUFIKIRI.
Na Thadei Ole Mushi.
Kitaalamu ipo hivi.
Akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi zenye tabia ya nchi za Kitropik huwa hazina muda wa kufikiri sana tofauti na akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi za Jangwa au tabia nyingine za nchi ambazo ni hostile kwa binadamu kuishi.
Ndio maana Dubai wanaweza kuwa na maendeleo kuliko Tanzania wakati Dubai ni tabia ya nchi ya kijangwa na Tanzania ni tabia ya Nchi ya Kitropik.
Sababu kubwa ya nchi ambazo ni za kitropik watu kutokufikiri ni mazingira rafiki ya binadamu kuishi. Yaani ni ngumu sana kwa Mtu anayeishi Tanzania kulala njaa kila mahali kuna Chakula sasa akili itawaza nini zaidi ya kulala? Si hivyo tu unaweza kulala nje ya nyumba mwaka mzima na usiugue kabisa.
Anyway pichani ni picha mbili za Yanga na Simba wakitambulisha wadhamini wao. Yanga wanaonyesha mkataba uliosainiwa na pande zote mbili huku Simba wakionyesha Tshirt iliyoandikwa Bilioni 26.
Waiter niitie mtu wa Jikoni 😃😀
Ole Mushi.
0712702602.
View attachment 2311485
PUNGUZA MAKASIRIKO MKUUUmeoneshwa mkataba au umeoneshwa diary yenye logo ya Yanga?
Mkataba wako tu mliosaini na mwenye nyumba japo kodi ni 50k lakini hauwezi kuwa na lines mbili ukijumlisha na heading
Sasa mkataba wa mabilion ya pesa kwenye kampuni kubwa unakuwaje na mistari mitatu kuzidiwa na mkataba wa frem uswazi?
Mkataba hauoneshi hata terms za makubaliano bado unaita mkataba?
Hiyo ni diary na hicho kilogo hapo kinawekeka fresh tu, picha haina maelezo yakutosheleza kuthibitisha huo ni mkataba
Otherwise uite mkataba kwasababu wao wamesema ni mkataba
GOODWala usiumize akili kubishana na watu wenye akili ndogo, kilichofanyika pale tunakijua vizuri sana tunachosubili ni kuona thamani ya pesa kama itahakisi kinachofanyika kwenye klabu
MKUU MPAKA UFUNULIWE KILICHO NDANI NDIO UTAAMINI AU?SPONSORSHIP AGREEMENTS
Kwa akili za wana Yanga as long as nimeweka heading yenye herufi kubwa kwa maneno hayo hapo juu basi hata hii comment yangu kwao inakuwa regarded kama mkataba
View attachment 2311527
Msamehe mkuuSasa ikiwa kampuni inapata annual revenue $5M, itashindwa vipi kuhimili mkataba wa $1M- $1.5M kwa mwaka?
Au unadhani hizo 26B zinakabidhiwa kwa mkupuo? Ni bora lingezaliwa kreti la bia watu wanywe, kuliko wewe.
WIVU ni ugonjwa mbaya sana unaowaua watu walio maskini pole pole.. nakupa pole sana nduguAnaandika Thadei Ole Mushi
AKILI ZA TABIA YA KITROPIK HAZINA MUDA WA KUFIKIRI.
Na Thadei Ole Mushi.
Kitaalamu ipo hivi.
Akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi zenye tabia ya nchi za Kitropik huwa hazina muda wa kufikiri sana tofauti na akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi za Jangwa au tabia nyingine za nchi ambazo ni hostile kwa binadamu kuishi.
Ndio maana Dubai wanaweza kuwa na maendeleo kuliko Tanzania wakati Dubai ni tabia ya nchi ya kijangwa na Tanzania ni tabia ya Nchi ya Kitropik.
Sababu kubwa ya nchi ambazo ni za kitropik watu kutokufikiri ni mazingira rafiki ya binadamu kuishi. Yaani ni ngumu sana kwa Mtu anayeishi Tanzania kulala njaa kila mahali kuna Chakula sasa akili itawaza nini zaidi ya kulala? Si hivyo tu unaweza kulala nje ya nyumba mwaka mzima na usiugue kabisa.
Anyway pichani ni picha mbili za Yanga na Simba wakitambulisha wadhamini wao. Yanga wanaonyesha mkataba uliosainiwa na pande zote mbili huku Simba wakionyesha Tshirt iliyoandikwa Bilioni 26.
Waiter niitie mtu wa Jikoni 😃😀
Ole Mushi.
0712702602.
View attachment 2311485
kwa hiyo huo ni mkataba?