Ushawahi ona mkataba ulioandikwa kwenye nguo?

Watu washamba ndio wanaonesha mikataba hadharani. Public hujulishwa tu kilichotokea. Inawezekana kwa ushamba wa kuonesha mikataba hadharani ndio maana CEO Senzo kawakimbia.
 
Ukitaka kuwashika akili Makolo wewe waambie umeingia mkataba wa 20bl.View attachment 2311533
Sasa ikiwa kampuni inapata annual revenue $5M, itashindwa vipi kuhimili mkataba wa $1M- $1.5M kwa mwaka?

Au unadhani hizo 26B zinakabidhiwa kwa mkupuo? Ni bora lingezaliwa kreti la bia watu wanywe, kuliko wewe.
 
Diary ya makolo na mbet ipo wapi ?

Wapi tumeona wakisaini mkataba wao ?

Kwanini hawaku-disclose value ya mkataba mpaka walipoona wenzao mabingwa wa nchi na wakihistoria wametangaza ? Nini sababu kama sio wazee wa kuongeza sifuri ?
Kwahiyo kuongeza sifuri kutoka bilioni 3 hadi 30? Au wewe ulikuwa una maan gani
 

Attachments

  • IMG_20220801_132715.jpg
    64.7 KB · Views: 3
Wanasiasa wa Tanzania mtaji wao mkubwa ni 'umbumbumbu' wa wananchi. Kwenye soka pia mtaji mkubwa wa viongozi wa soka ni umbumbumbu wa mashabiki na wapenzi wa mpira.
 
Kama wewe ni msomi basi tanzania tuna wajinga wengi sana wanaoshindwa kuchanganua mambo
Rubbish
 
Wala usiumize akili kubishana na watu wenye akili ndogo, kilichofanyika pale tunakijua vizuri sana tunachosubili ni kuona thamani ya pesa kama itahakisi kinachofanyika kwenye klabu
 
PUNGUZA MAKASIRIKO MKUU
 
Wala usiumize akili kubishana na watu wenye akili ndogo, kilichofanyika pale tunakijua vizuri sana tunachosubili ni kuona thamani ya pesa kama itahakisi kinachofanyika kwenye klabu
GOOD
 
Thadeo Ole Mushi hajui dunia ya sasa inaelekea wapi, hiyo style ya kuweka namba kwenye jezi ndio habari ya mjini kwa sasa, mwambieni atembee aone, sio anajifungia kishumundu hajui kitu.
 
Sasa ikiwa kampuni inapata annual revenue $5M, itashindwa vipi kuhimili mkataba wa $1M- $1.5M kwa mwaka?

Au unadhani hizo 26B zinakabidhiwa kwa mkupuo? Ni bora lingezaliwa kreti la bia watu wanywe, kuliko wewe.
Msamehe mkuu
Itakua neno annual limempiga chenga
 
WIVU ni ugonjwa mbaya sana unaowaua watu walio maskini pole pole.. nakupa pole sana ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…