OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
inashangaza sana. Unaweza kuwa mzuri kichwani lakini ukishajihusisha na Utopolo tu,akili zinarukaThadeo Ole Mushi hajui dunia ya sasa inaelekea wapi, hiyo style ya kuweka namba kwenye jezi ndio habari ya mjini kwa sasa, mwambieni atembee aone, sio anajifungia kishumundu hajui kitu.
Nimecheka leo eti mwana habari mmoja toka kituo cha Efm tena ana jina kubwa na ana kwenda sana europe na yy leo kahoji eti mkataba unaandikwa ktk jeziUto wanateseka sana View attachment 2311779View attachment 2311778
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Waongezee na hiiHii ni kati ya madrid na fly emirates ficha upumbavu wako
Mkuu chukua matawi ya miti fukuza hao Nzi wanaofatilia harufu ya kinyesi kwenye pichu.Makolo wanazingua sana kwa kuwa wengi wao hawana akili, akili walizo nazo ni zile za kujua choo kiko wapi. Aisee?[emoji23][emoji23]
Annual revenue ya M betNdio nini hiki?
Hahahaha nimecheka sana kumbe ujinga walianza nao kabisa
Oya wee mwenye hakili, tuoneshe kwenye huu mkataba wenu sehemu ilipoandikwa kiasi na sehemu iliyosainiwaMakolo wanazingua sana kwa kuwa wengi wao hawana akili, akili walizo nazo ni zile za kujua choo kiko wapi. Aisee?[emoji23][emoji23]
Amezungumzia waiter niitie mtu wa jikoniUnazungumzia mkataba au tabia za nchi?
Mbumbumbu FCMakolo wanazingua sana kwa kuwa wengi wao hawana akili, akili walizo nazo ni zile za kujua choo kiko wapi. Aisee?[emoji23][emoji23]
Ushamba mzigo
Ahsanteeeeeee!!!!!Waongezee na hii