Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 843
- 1,630
Hee wewe jamaa, ni mhaya et?Mimi mbona huwa kama nabana meno yake then naunguruma kama mbwa kadaka mfupa anacheeeka...siku nyingine ananyambia rudia tena basiii π€£ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee wewe jamaa, ni mhaya et?Mimi mbona huwa kama nabana meno yake then naunguruma kama mbwa kadaka mfupa anacheeeka...siku nyingine ananyambia rudia tena basiii π€£ππ
Ukiwaza hivyo tena unaanza kupoteza interest, huyu katumika sanaπ€£π€£Practice makes perfect ππ
Wewe utotoni ulikuwa unarusha mawe kwenye bati za watu then unakimbiaa eeh πSi ndo hao Virgin π
Ni kutumia muda wako vizuri kwa wakati huo maswala mengine unaweka pembeniUkiwaza hivyo tena unaanza kupoteza interest, huyu katumika sanaπ€£π€£
Kuna wale anakua kama anataka akunyofoe ulimi ππ.Asilimia 70% ya madem hawajui kukiss, kuna wale wananyonya lips, kuna wale wagonganisha meno, kuna wapo tu hawajui wafanye nini!
Mtoto anakiss mpaka unajikuta unasahau kuendelea na maswala mengine, yaani mpaka unasema huyu alifundishwa na mama? Au ex wake alikuwa pro? Au alizaliwa France?Mkuu,
Unajua kuna zile lips ziko wet mda wote...aaah acha kabisa, halafu anajua hadi unajiuliza maswali, huu uzoefu alijifunzia wapiπ€£π€£
Hahaa why? Mkuu JF kila mtu mhaya mkuuHee wewe jamaa, ni mhaya et?
Bora hata hao wamezingatia ulimiNi kutumia muda wako vizuri kwa wakati huo maswala mengine unaweka pembeni
Aaah kumbe heheheHahaa why? Mkuu JF kila mtu mhaya mkuu
Mkuu ukiambiwa kuna hela njoo getini hutatokaa kweli π€£π€£Mtoto anakiss mpaka unajikuta unasahau kuendelea na maswala mengine, yaani mpaka unasema huyu alifundishwa na mama? Au ex wake alikuwa pro? Au alizaliwa France?
π π π Kwanini π π πWewe utotoni ulikuwa unarusha mawe kwenye bati za watu then unakimbiaa eeh π
Kila mtu ana bebe mkali, zis zat hazikosi, wana hela juu ya mfuko wa shati laki 5, wanalala vyumba vya juu na et cetera et cetera π€£π€£π€£Aaah kumbe hehehe
Mmmh hapana, bwana hela zinatafutwaMkuu ukiambiwa kuna hela njoo getini hutatokaa kweli π€£π€£
Unakitibua then unaangalia tokea kona ya mwisho wa nyumba nani anatoka maana ni nyumba ya wapenda bikra π π ππ π π Kwanini π π π
Wote tuna magari, na tuna apatimenti ini ze sedi flooKila mtu ana bebe mkali, zis zat hazikosi, wana hela juu ya mfuko wa shati laki 5, wanalala vyumba vya juu na et cetera et cetera π€£π€£π€£
πUnakitibua then unaangalia tokea kona ya mwisho wa nyumba nani anatoka maana ni nyumba ya wapenda bikra π π π
Sasa hizo zimekuja getini mkuu, lazma uje and brag to her hii commision yangu, then unamwambia ukitoka chukua hizo πMmmh hapana, bwana hela zinatafutwa