Si nishazoea maeneo hayo aroud ni kawaida tu .nikajua basi bae zetu ni buku 2 hadi buku 3.kumbe nmejiponza bana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe uliendaje hoteli na 12000 kuna sehemu zingine supu 10000 chapat moja buku kuwa makini [emoji23][emoji23][emoji23] kuja posta pale ukiwa na njaa morng ili ushibe vizuri 10000 inaisha chapata buku mbili chai ya rangi buku au jero maziwa 2000 mayai
Buku soseji buku sambusa jero dah [emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo Bongo sasa.Uko china bado au ushaludi?
Dah sema umetisha boss, sema uwe unanipa kazi ya u bodyguard[emoji23][emoji23][emoji23] wewe ihi safari ilitokea kimasihara tu sijaenda tena uhu mwaka wa tatu usiniite tajiri
Juzi nilienda kkoo nikawa na njaa nikaingia sehm fulan kula sasa chakula kilichopo pale nilichokielewa mimi ni ugali nyama choma.
Kwakua ndo chakula changu pendwa mchana huwa nakula ugali nyama choma kwa 3500 mitaa yangu ya job.
sasa pale nikaagiza bila kuuliza bei nimekula nikatoa ten nikarudishiwa buku jero nilishtuka ila nikakausha
Si nishazoea maeneo hayo aroud ni kawaida tu .nikajua basi bae zetu ni buku 2 hadi buku 3.kumbe nmejiponza bana
Aha kumbe ukiludi tena China jaribu kula supu yao ina test mzuri sana mimi sitaki kujua wanachanganya na nini?[emoji23][emoji23][emoji23]Nipo Bongo sasa.
Dah sema umetisha boss, sema uwe unanipa kazi ya u bodyguard
Ebu kidogo basi maana nishaanza kuchekaUtacheka sana hautaamini nakwambia
No thank you!! Kama naweza pita street nikabana pumz nisisikia harufu yao hayo machakula yao ndio nitaweza hizo supu.Aha kumbe ukiludi tena china jaribu kula supu yao ina test mzuri sana mimi sitaki kujua wanachanganya na nini?[emoji23][emoji23][emoji23]
No thank you!! Kama naweza pita street nikabana pumz nisisikia harufu yao hayo machakula yao ndio nitaweza hizo supu.
Hapana tena noo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ninapoingia sehem kwa mara ya kwanza kula huwa siulizi bei naona aibu sijui kwann!![emoji23][emoji23][emoji23] uliza bei kwaza mzee je asingekuludishia chenji [emoji23][emoji23][emoji23]
Nchi za watu ukienda kwa kuunga au kutegemea mtu utahaibika nakuambia na zaidi hauta enjoy[emoji23][emoji23][emoji23] ase Shanghai huko ukienda kwa wewe utainjoy japo vitu naona ni gharama san
My wangu acha siji kusahau imagine it was a first date tena na mtu mzito guhotel gws maaanaEbu kidogo basi maana nishaanza kucheka
Hahahha ebu tuendelee kipenziMy wangu acha siji kusahau imagine it was a first date tena na mtu mzito guhotel gws maaana
Nimefurahi kukuona.. Kumbe uliahirisha, sifa na utukufu virudi kwake aliye juu.Tajiriii Mwachiluwi
Kwenye menu nikaona sijui ni chakula gani dada wameandika served with ring onion mie nikaagizaππππHahahha ebu tuendelee kipenzi
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye menu nikaona sijui ni chakula gani dada wameandika served with ring onion mie nikaagiza...
ππππacha tu tuagizege chips tulizo zoea[emoji23][emoji23][emoji23]