Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #41
Ni kwamba kila siku huwa naenda ila siombi menu huwa naagiza kinywaji changu labda kama nataka kula samaki mkavu naletewa ila siku iyo niliomba menu nibadilishe kinywajiMwenye Uzi unatupiga kamba yaani sehemu yako pendwa unaomba menu? We itakuwa mara ya kwanza kufika hapo
Wengine tukifika sehemu zetu pendwa wahidumu wanajua kabisa tunakunywa nini.
🤣🤣🤣🤣🤣Kwenye menu nikaona sijui ni chakula gani dada wameandika served with ring onion mie nikaagiza....
Nchi za watu ukienda kwa kuunga au kutegemea mtu utahaibika nakuambia na zaidi hauta enjoy
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣including na airfare?[emoji23][emoji23][emoji23] umesema kweli kuna watu wanakulupuka wakipa m5 tu wanaona wakienda watainjoy
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]including na airfare?
M3 including airfare Dubai utaenjoy ila kimaskini maskini 🤣🤣🤣 miez ya joto august/September hivi hizo nyingi utaenjoy for 5/8 days plus shopping kidgo Deira kule…Sasaiv vijana wengi wanakimbilia dubai mtu anaenda na milion 3m na nauli ya kuludia hapo hapo mwishowe wanaishiwa uko wanaza kuomba michango ya nauli ya kuludia
Sasa ya nini upate shida si ubaki bongo Zanzibar papo [emoji23][emoji23][emoji23]M3 including airfare Dubai utaenjoy ila kimaskini maskini [emoji1787][emoji1787][emoji1787] miez ya joto august/September hivi hizo nyingi utaenjoy for 5/8 days plus shopping kidgo Deira kule…
Hujakutana na wabongo wabishi🤣🤣🤣🤣🤣Sasa ya nini upate shida si ubaki bongo zanzibar papo [emoji23][emoji23][emoji23]
Hujakutana na wabongo wabishi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora hvyo. Kujifanya Maskini jeuri haifai kulazimisha mambo sio poa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi kama sina hela na tulia zangu home nacheki tv muhimu kisimbuzi kiwe kinaonyesha tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukae Zanzibar kwa 3m uenjoy? Labda kama utaxhukua guest na si hotelSasa ya nini upate shida si ubaki bongo zanzibar papo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba haitoshi?Ukae Zanzibar kwa 3m uenjoy? Labda kama utaxhukua guest na si hotel
Hukuna tofauti na la kwangu, hata mpishi akinidanganya tu kuwa labda maharage kayangu Kisha kulaza kweny friji lzm tumbo langu lingamue on the spot, Mara nyingi nakula vitu fresh tu vinginevyo nivipike mwenyeweWeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], tumbo langu liko very sensitive shida sitaki.
Hapo ni kwa ally mpembaJuzi nilienda kkoo nikawa na njaa nikaingia sehm fulan kula sasa chakula kilichopo pale nilichokielewa mimi ni ugali nyama choma.
Kwakua ndo chakula changu pendwa mchana huwa nakula ugali nyama choma kwa 3500 mitaa yangu ya job.
sasa pale nikaagiza bila kuuliza bei nimekula nikatoa ten nikarudishiwa buku jero nilishtuka ila nikakausha
Zanzibar sijawai enda hata, ila naonaga watu wakienda sidhani kama wanafikisha hiyo 3mKwamba haitoshi?
Muhimu kuuliza before kama hakuna menuJuzi nilienda kkoo nikawa na njaa nikaingia sehm fulan kula sasa chakula kilichopo pale nilichokielewa mimi ni ugali nyama choma.
Kwakua ndo chakula changu pendwa mchana huwa nakula ugali nyama choma kwa 3500 mitaa yangu ya job.
sasa pale nikaagiza bila kuuliza bei nimekula nikatoa ten nikarudishiwa buku jero nilishtuka ila nikakausha
Usiniambie ngoja nijipange nikivunja kikoba😀M3 including airfare Dubai utaenjoy ila kimaskini maskini 🤣🤣🤣 miez ya joto august/September hivi hizo nyingi utaenjoy for 5/8 days plus shopping kidgo Deira kule…
Juzi nilienda kkoo nikawa na njaa nikaingia sehemu fulan kula sasa chakula kilichopo pale nilichokielewa mimi ni ugali nyama choma.
Kwakuwa ndiyo chakula changu pendwa mchana huwa nakula ugali nyama choma kwa 3500 mitaa yangu ya job.
sasa pale nikaagiza bila kuuliza bei nimekula nikatoa ten nikarudishiwa buku jero nilishtuka ila nikakausha