Ushawai ponea chupuchupu? Hivi ndivyo nilivyoponea chupuchupu

Ushawai ponea chupuchupu? Hivi ndivyo nilivyoponea chupuchupu

huko jikoni akajipakulia kidogo na kuanza kula.

Muda wa mezani kwa pamoja na familia na yeye akaunga tela tena.

Sasa kisanga kikaanza, baada ya kumaliza akiwa kashindilia tumbo kama kiroba cha viazi mviringo au tenga la nyanya, akaanza kuhisi hali sio ya kawaida. Akitaka kukaa anaona bora ajilaze, akijilaza anahisi bora akae, kukaana napo ni shughuli, kusimama haiwezekani.[emoji2][emoji2][emoji2]
Mbavu zangu😃🤣🤣🤣, sema Ange enda kuoga - Ange kaaa fresh.
👉Juzi morning nime kula chapati za maji 20- nzito.
👉Natamani niwe napika hata kuku 2-3 Nile ili nifurahie.
👉Nyama kg 1 hainitoshi😃🤒
 
1. Nilifaulu nipangiwa mkoa kilimanjaro, nyumba ya ubalozi niliofikia kulikua na mfanyakazi wa ndani anatokea Tanga, Kwakua sikuwa na uzoefu sana jinsi alivyojua ananionesha nikajua ananipenda.

Siku moja usiku sana wote washalala nokapwandwa na ashk majnun, nikaamua niende nikamgongee chumbani kwake, alikua analala pekeake.

Nimefika mlangoni pale kila nikitaka kugonga moyo unasita, nilikaa kama dk tatu au tano pale mpangoni, akili ikanituma niondoke tu. Basi nikaondoka kwenda kulala.

Haikupita hata wiki nikagundua yule binti hanikubali hata kidogo, na kama ningegonga huenda angepiga kelele, ingekua ni aibu ya kiukoo, sijui ningeficha wapi sura yangu.

2. Nilikua nahitaji Laptop, nikaangalia kupatana nikakuta kuna seller anajiita “Zanzibar West”, anapost PC za HP nzuri pavilion, af bei laki nne na nusu, wakati specifications za pc nI kubwa.

Nikampigia simu kuwa naipagaje? Akasema anatuma kwenye boat ya Azam, nikatoka kwenye kwa wakala nitume, kufika wakala hana kiasi hicho cha fedha na hakuna wakala mwengine karibu, nikaamua nirudi geto na maana usikua Baadae nikakuta post ya jamaa akilalamika kuwa katuma pesa hajapokea mzigo aah akili ndo ikanijia kuwa huyu ni tapeli

Ni chupuchupu

3. Nilivaa nguo, nikaona kama kuna ubaridi hivi, kisaamua kuivua fasta, kuja kucheck ni kipande cha tandu mkubwa sana, mpaka leo siwezi weka nguo mwilini bila kuikung’uta hata niite wapi.

Ni chupuchupu
GOD can save
 
Kuna siku nlitongoza lishangazi limoja mmewe alikua amesafiri kwenda msibani Kama siku mbili nyuma. So tukawa tumepatana usiku nikalichukue nikalizagamue maeneo. Kweli bana mida Kama ya saa mbili usku nkaita timu kwake mpaka dirisha anapolala nkaanza kuita mama Fulani kimya mama Fulani kimya Mara nasikia bafu la nje maji yanamwagika kumbe mumewe arirudi ghafla aisee Kama nlijiongeza nkasepa. But at the end of the day nilimkula tena mida ya mchana location karibu kabsa na ofisi ya mumewe anapofanyia kazi zake. Maisha ya ujana mitihani mingi
 
Nilipokuwa mtaani mwaka mmoja kabla ya kwenda chuo nilitambulishwa kwa maza flani hivi kama mama angu mdogo.

Ila kwa muonekano tu ni haendani kuitwa mamdogo.

Katika haraka za huku na kule nikamtongoza bana kiutani utani nae akaingia kwa 18.

Basi mi nikawa kila weekeend naenda kujilia vyangu kwa mamdogo.

Alinifanya kama robot an kila akisikia hamu yeye ni simu moja tu, hata nauli ata tuma na mi bila hiyana mapema kabisa nafika pale kwake.

Kumbe majirani wanachora ule mchezo licha ya kuambiwa mimi ni mtoto wake sina maajabu lakini walijua kuna kitu kinaendelea

Day isiyo na jina mumewe huyu hapa na jamaa alikua ni mjeshi daah

... Ilikua chupuchupu wanidake

Wale mbwa niliwazidi maarifa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Nilipokuwa mtaani mwaka mmoja kabla ya kwenda chuo nilitambulishwa kwa maza flani hivi kama mama angu mdogo.

Ila kwa muonekano tu ni haendani kuitwa mamdogo.

Katika haraka za huku na kule nikamtongoza bana kiutani utani nae akaingia kwa 18.

Basi mi nikawa kila weekeend naenda kujilia vyangu kwa mamdogo.

Alinifanya kama robot an kila akisikia hamu yeye ni simu moja tu, hata nauli ata tuma na mi bila hiyana mapema kabisa nafika pale kwake.

Kumbe majirani wanachora ule mchezo licha ya kuambiwa mimi ni mtoto wake sina maajabu lakini walijua kuna kitu kinaendelea

Day isiyo na jina mumewe huyu hapa na jamaa alikua ni mjeshi daah

... Ilikua chupuchupu wanidake

Wale mbwa niliwazidi maarifa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu malizia, hukupakwa mafuta wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu malizia, hukupakwa mafuta wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂 Huna adabu wewe...
Nilijua tuu.. coca uache ku coment kwenye hizi habari sijui.....
Kiufupi hawakunidaka nipo salama salimini 😂😂😂😂
 
Hebu malizia, hukupakwa mafuta wee.
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Mtaalamu wa hizi kazi, vipi wewe umepata mchele wenye virutubisho?
 
Hilo sio tatizo, tatizo utakapovimbiwa na ukahitaji msaada.

Kuna maza fulani huko kijijini, kila mwaka kuanzia February huwa ni msimu wa mazao mbalimbali kuiva kama mahindi, maboga shambani.

Sasa kuna siku alipika futari ya mahindi mabichi akachanganya na maboga. Vyote hivyo vikiwa vibichi yaani kachuma shambani.

Futari aliipika kwa ustadi wake ikaiva ikawa ma ladha ya kiana yake aliyoitarajia, kama tunavyojua mpishi lazima aonje ili kubaini ubora wa mapishi yake. Alipoonja akakuta kitu kimetiki, akiwa huko jikoni akajipakulia kidogo na kuanza kula.

Muda wa mezani kwa pamoja na familia na yeye akaunga tela tena.

Sasa kisanga kikaanza, baada ya kumaliza akiwa kashindilia tumbo kama kiroba cha viazi mviringo au tenga la nyanya, akaanza kuhisi hali sio ya kawaida. Akitaka kukaa anaona bora ajilaze, akijilaza anahisi bora akae, kukaana napo ni shughuli, kusimama haiwezekani.[emoji2][emoji2][emoji2]

Alituhadithia bana kuwa aliteseka kutokana na hali hiyo maana alikuwa amevimbiwa sana ingawa haikufikia ile hali ya kushindwa kuongea na kusimama(hii hali ikifika ndio huwa msaada wa haraka unahitajika kwenda kumtapisha ili kuokoa maisha yake maana akiachwa lazima akate moto).
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miaka mingi kidogo kama 13 iliyopita,mama yake mshikaji Wangu,mitaa ya karakata majani ya chai karibia na uwanja wa ndege,mida ya saa nne asubuhi napita home kwao mshikaji ili nimpe ishu Fulani,nafika namkuta mama yake mshikaji,sebuleni Yuko peke yake namsalimia shikamoo ananijibu,kishikaji namuulizia mshikaji,mama mtu ananiambia huyu rafiki Yako katoka asubuhi sana na wala hajaaga,kabla sijachukua hatua ya kuondoka yule mama ananiambia afadhari umekuja njoo Kuna kazi nisaidie huku kwangu nikasita,ila nikapiga moyo konde nikamfuata chumbani kwake huku akiwa kavaa kanga tu,,huko chumbani ikawa hamisha hiki weka pale,mara hiko weka hapa,na mara anarekebisha kanga mara kwa mara kama anaitoa na kuifunga tena na Kila mara alipokuwa anafanya hivyo na Mimi nampiga jicho la kiwizi wizi,mwisho wa siku akaniambia hujakua tu.Nikaduwaa Ile mbaya kuja kushtuka kashanishika kwenye konga,aisee nilimla yule mama sitasahau Ile siku nimepiga show kama nusu saa hivi nikamaliza na baada ya hapo nikavaa fasta nikatoka bila hata ya kumuaga,Ile nafika getini tu mshikaji huyu hapa duh,ilikuwa noma sana nikawa najishtukia tu ila jamaa hakuelewa chochote kitu,baada ya story mbili tatu nikasepa siku zilizofuata yule mama akanitafuta tukawa tunaenda kula raha maeneo ya chanika,,aisee nimemla sana yule mama mpaka nikaja achana naye miaka ya 2018,na mpaka Leo mshikaji hajui,ila bahati mbaya yule mama alifariki mwaka Jana.
kapime
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huna adabu wewe...
Nilijua tuu.. coca uache ku coment kwenye hizi habari sijui.....
Kiufupi hawakunidaka nipo salama salimini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] malizia bhana, ulipakwa we see, em lol
 
Back
Top Bottom