Ushawai ponea chupuchupu? Hivi ndivyo nilivyoponea chupuchupu

Ushawai ponea chupuchupu? Hivi ndivyo nilivyoponea chupuchupu

Siku Moja nikiwa kwenye daladala,niliingiza mkono kwenye suruali ya mtu,nikifikiri ni yangu natoa nauli!!tulikiwa tumebanana sana na wote suruali rangi 1

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Yaaani wewe una bahati..
Kuna mwenzako hivo hivo aliacha kiganja ndani ya suruali.
😂😂😂😂🙌🙌🙌
 
Nilipokuwa mtaani mwaka mmoja kabla ya kwenda chuo nilitambulishwa kwa maza flani hivi kama mama angu mdogo.

Ila kwa muonekano tu ni haendani kuitwa mamdogo.

Katika haraka za huku na kule nikamtongoza bana kiutani utani nae akaingia kwa 18.

Basi mi nikawa kila weekeend naenda kujilia vyangu kwa mamdogo.

Alinifanya kama robot an kila akisikia hamu yeye ni simu moja tu, hata nauli ata tuma na mi bila hiyana mapema kabisa nafika pale kwake.

Kumbe majirani wanachora ule mchezo licha ya kuambiwa mimi ni mtoto wake sina maajabu lakini walijua kuna kitu kinaendelea

Day isiyo na jina mumewe huyu hapa na jamaa alikua ni mjeshi daah

... Ilikua chupuchupu wanidake

Wale mbwa niliwazidi maarifa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ilikuaje
 
Back
Top Bottom