Ushawai ponea chupuchupu? Hivi ndivyo nilivyoponea chupuchupu

Mbavu zangu😃🤣🤣🤣, sema Ange enda kuoga - Ange kaaa fresh.
👉Juzi morning nime kula chapati za maji 20- nzito.
👉Natamani niwe napika hata kuku 2-3 Nile ili nifurahie.
👉Nyama kg 1 hainitoshi😃🤒
 
GOD can save
 
Kuna siku nlitongoza lishangazi limoja mmewe alikua amesafiri kwenda msibani Kama siku mbili nyuma. So tukawa tumepatana usiku nikalichukue nikalizagamue maeneo. Kweli bana mida Kama ya saa mbili usku nkaita timu kwake mpaka dirisha anapolala nkaanza kuita mama Fulani kimya mama Fulani kimya Mara nasikia bafu la nje maji yanamwagika kumbe mumewe arirudi ghafla aisee Kama nlijiongeza nkasepa. But at the end of the day nilimkula tena mida ya mchana location karibu kabsa na ofisi ya mumewe anapofanyia kazi zake. Maisha ya ujana mitihani mingi
 
Nilipokuwa mtaani mwaka mmoja kabla ya kwenda chuo nilitambulishwa kwa maza flani hivi kama mama angu mdogo.

Ila kwa muonekano tu ni haendani kuitwa mamdogo.

Katika haraka za huku na kule nikamtongoza bana kiutani utani nae akaingia kwa 18.

Basi mi nikawa kila weekeend naenda kujilia vyangu kwa mamdogo.

Alinifanya kama robot an kila akisikia hamu yeye ni simu moja tu, hata nauli ata tuma na mi bila hiyana mapema kabisa nafika pale kwake.

Kumbe majirani wanachora ule mchezo licha ya kuambiwa mimi ni mtoto wake sina maajabu lakini walijua kuna kitu kinaendelea

Day isiyo na jina mumewe huyu hapa na jamaa alikua ni mjeshi daah

... Ilikua chupuchupu wanidake

Wale mbwa niliwazidi maarifa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hebu malizia, hukupakwa mafuta wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu malizia, hukupakwa mafuta wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂 Huna adabu wewe...
Nilijua tuu.. coca uache ku coment kwenye hizi habari sijui.....
Kiufupi hawakunidaka nipo salama salimini 😂😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kapime
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huna adabu wewe...
Nilijua tuu.. coca uache ku coment kwenye hizi habari sijui.....
Kiufupi hawakunidaka nipo salama salimini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] malizia bhana, ulipakwa we see, em lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…