Ushawai tongozwa au kutongozwa kutoka group la wasp

Ushawai tongozwa au kutongozwa kutoka group la wasp

Tena mibaba haina aibu yanajua una mtu wako bado yanakufata.. Wanajaribu bahati.. Na vijana anakuja na maneno ya kutaka kufikiria unataka mtu akupoze.. Shame.. Hawajui wengine wetu wanatupa raha haswaaa..

Kuna wawili group moja hao wana maliza wake za watu ni hatari..

Sasa mademu wao hao wamma hata hawajuani kama wanapitiwa wote aibu aiseeee

Yanajishaua na ku comment sana mtu unajua huyu tayari kadakwa 🤣🤣🤣🤣🤣

Halafu baada ya kuona wanatemwa wanakuwaga kimya

Sie tulio huru tunakuwa na Amani kabisaaaa maana tunajitambua.
Kumbe mnakutanaga na vimbwanga
 
Wanatak wakutafunie hela ya kuustafu
Tangu nifike mjini na vibinti vinanitingishia matako tu, weekend hii nifikishe ile sehemu uliyokuwa unajiweka kwa status unaruka juu ya meza na mimi nataka nikaoshe macho.
 
Tangu nifike mjini na vibinti vinanitingishia matako tu, weekend hii nifikishe ile sehemu uliyokuwa unajiweka kwa status unaruka juu ya meza na mimi nataka nikaoshe macho.
Ahhaha nitakupa location ijumaa panakuwa vzr sana
 
Back
Top Bottom