Nikiri tu mimi ni mlevi na napenda wanawake wenye chura/makalio makubwa. Yaani akipita mwanamke mwenye makalio makubwa lazima nimuangalie/nigeukie. Yaani ukiniuliza ni kwanini hata sijui. Hayaongezi hata ladha wakati wa kufanya ila nayapenda tuu.
Vipi mwanaume mwenzangu nawe unatamani chura? Mwanamke mwembamba unaweza kumuangalia/kumgeukia kama mwenye chura? Wakati wa kusex yanaongeza ladha yoyote?
Vipi mwanaume mwenzangu nawe unatamani chura? Mwanamke mwembamba unaweza kumuangalia/kumgeukia kama mwenye chura? Wakati wa kusex yanaongeza ladha yoyote?