Ushawishi wa makalio katika kupenda/mapenzi

Ushawishi wa makalio katika kupenda/mapenzi

Ni kweli hayaongezi ladha??????? [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]


Nauliza tu


Cc Smart911

Usiombe chura kama yote halafu ndogo katika chura iwe inatumika kwa hakika chura ibarikiwe milele na milele salale wale wa ndimi kuifagishia mpwa mpwa. Amazing msonobali!!
 
Nikiri tu mimi ni mlevi na napenda wanawake wenye chura/makalio makubwa. Yaani akipita mwanamke mwenye makalio makubwa lazima nimuangalie/nigeukie. Yaani ukiniuliza ni kwanini hata sijui. Hayaongezi hata ladha wakati wa kufanya ila nayapenda tuu.

Vipi mwanaume mwenzangu nawe unatamani chura? Mwanamke mwembamba unaweza kumuangalia/kumgeukia kama mwenye chura? Wakati wa kusex yanaongeza ladha yoyote?
Tupo wengi asee
 
Back
Top Bottom