Ushawishi wa makalio katika kupenda/mapenzi

Ushawishi wa makalio katika kupenda/mapenzi

Mwanamke akiwa na ziwa konzi na miguu mithili ya chupa ya chai astakhafilulah wallahi nakuapia naweza muhonga hata hati ya kiwanja changu
 
Tako linanifanya napiga vingii sanaa nikiliangalia ivii. Pia linanipa mizuka hatariii naweza piga usiku kuchaaa

Chura iloo
 
Weka picha mkuu ndio itapendeza zaidi kuendana na hii thread yko.Tz ya viwanada hii kwa sasa
 
Mimi nadhani makalio imekua ni kama neno la msimu tu coz kila zama na kitabu chake,

Zamani ilikua watu wanapenda sana miguu! Utasikia "Umeona hilo guu la bia?"
Ikaja kifuani,
utamsikia mtu ,
"Umemcheki huyo mtoto ana kifua saa sita?" ikimaanasha maziwa yamesimama,

Pia yalikuwepo mapenzi yakupenda nywele wanawake wakawa wanapakaa "Kalikiti" japo zilikua na harufu kali!

So, hata hili la kupenda makalio nalo litapita tu kama yalivyopita mengine.
 
[emoji23][emoji23] mada za makalio..mweh..anzeni kutuongelea tusio na hyo mikalio jamani mweh
 
Back
Top Bottom