Ushawishi wa makalio katika kupenda/mapenzi

Boeing

Senior Member
Joined
Apr 16, 2017
Posts
151
Reaction score
422
Nikiri tu mimi ni mlevi na napenda wanawake wenye chura/makalio makubwa. Yaani akipita mwanamke mwenye makalio makubwa lazima nimuangalie/nigeukie. Yaani ukiniuliza ni kwanini hata sijui. Hayaongezi hata ladha wakati wa kufanya ila nayapenda tuu.

Vipi mwanaume mwenzangu nawe unatamani chura? Mwanamke mwembamba unaweza kumuangalia/kumgeukia kama mwenye chura? Wakati wa kusex yanaongeza ladha yoyote?
 
Wanaume wa dar ndo wanapenda chura,bila chura wao hawadindi,,ndo maana hata wanawake zao wakaamua kuwa wanavaa madera na chu*pi tu ili kurahisisha mrindimo wa mikia yao,,hii yote ni kwa ajiri ya kuwawezesha wanaume wao wadindishe.
 
Mimi nikiona kamtu kamenyooka ndio nasisimka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…