Ushawishi wa Rais Samia Kimataifa Wawaleta Viongozi wa Dunia Dar Kushiriki Mkutano wa Nishati Safi Afrika

Viongozi wenyewe ni wa
Niger 🇳🇪
Burkinafaso
Liberia 🇱🇷
Siera Leon
South Sudan 🇸🇸
Ivory coast
Mali
Chad
Dj wa Madagascar 🇲🇬
Na all failed states
Ukitoa Nigeria hamna nchi ya maana imeleta kiongozi
 
Trump yupo? Si jing ping yupo? Putin yupo? Netanyahu yupo? Kama hawapo ujue ni mkutano wa viongozi wa ombaomba.
 
Trump yupo? Si jing ping yupo? Putin yupo? Netanyahu yupo? Kama hawapo ujue ni mkutano wa viongozi wa ombaomba.
Sio mkutano wa Wazungu Bali Waafrika na mashirika ya Fedha
 
Jamani tuacheni uchawa. seriously tujipange kujitegemea. Huko tuendako siko, tujipange kutumia ubongo wetu kufikiria ni jinsi gani tutaweza kuendesha maisha bila kuwa tegemezi. Lijamaa lile huwa halitanii. Likikata misaada tutayumba sana.
 
Jamani tuacheni uchawa. seriously tujipange kujitegemea. Huko tuendako siko, tujipange kutumia ubongo wetu kufikiria ni jinsi gani tutaweza kuendesha maisha bila kuwa tegemezi. Lijamaa lile huwa halitanii. Likikata misaada tutayumba sana.
Uchawa ndio nini? Kwani Kwa Sasa tunakula vya nani?
 
Huyo mamako mwenyew hawezi kuhutubia huo mkutano kwa dakika 1 bila kuwa anasoma hotuba, bisha!!.
 
Who is Trump?
Ni wewe ndiyo umeandika huu uzi au umeandikiwa na mchambuzi maandazi?

Ulimaanisha nini uliposema viongozi wa dunia watahudhuria huo mkutano?

Acha kuleta hoja za kifala hapa

Bila hata aibu unahoji "who is Trump?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…