Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
11,880
Reaction score
10,372
Hawa jamaa wamekua wakifanya matendo ya kinyama mika na miaka na wanaendelea bila hofu yoyote.
Hii ni hali ilivyokuwa mitaani kipindi cha sikukuu zao za Holi majuzi.
Halafu Watu wakipiga miripiko waitwe magaidi.


 
Poleni sana Waislam huko India; lakini ni seme tu kuwa Hata Wakristo huko India the suffer similar attrocities from the Hindu. Wahindu na Waislam wote wamekutana, they don’t have the CHRIST the Prince of Peace. Muslims (Wasuni kuhusu SA) are very smart to cry victims when such incidents happen, Lakini ukweli wao ndyo wanaongoza kwa kutesa Wenzao. Shias in Pakistan, Yazid in Iraq Ahamadia na Christians have had such violences against them
 
Nimesafiri zaidi ya nchi 40 duniani kote ila nilichokigundua, Wahindi ukiwakuta kwao cha moto utakiona. Waislam, halafu wawe wapo india, uarabuni, pakistan nk ni wakatili kwelikweli.
Wakiwa ugenini wana upole wa kinafki. Usikudanganye.
Hapo naweza sema wamekutana na kimeumana.
 
Poleni sana. Inasikitisha kuona utu kuthaminiwa kwa kigezo cha dini.
Ila ata waislamu uwatenda vivyo hivyo wasio waislamu kwenye mataifa yao.
Ifike wakati tuweke tofauti za imani zetu pembeni na tuone sura ya Mungu kwa kila binadamu pasipo kuangalia imani zetu.

Mda mwingine nahisi dunia pasipo hizo imani wenda pangekuwa sehem salama kuliko hivi sasa
 
Hawa jamaa wamekua wakifanya matendo ya kinyama mika na miaka na wanaendelea bila hofu yoyote.
Hii ni hali ilivyokuwa mitaani kipindi cha sikukuu zao za Holi majuzi.
Halafu Watu wakipiga miripiko waitwe magaidi.
View attachment 2545861

View attachment 2545864
Vipi matendo wanayofanya wahindi waislamu wa pakstan dhidi ya wahindu na singa singa wa pakstan msomi???
 
Back
Top Bottom