Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Hii pointi pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SIWAPONDI WAISLAMU WALA KUTETEA WAHINDI.
HAKUNA BINADAMU WAKATILI, WABAYA, WABAGUZI, WATU WASIOFAA KAMA WAISLAMU.
Hapana hujamuelewa huyu mdau.Yeye anaonyesha pia madhara ya wahindu wanayopitia kutoka kwa wahindi waislamu pia wa pakstan.Sasa chuki yake ipo wapi mkuu sijakuelewa msomi au labda mimi sijamuelewajoex Chuki binafsi ndio zinazokutesa. Nyinyi ndio wale its okay binaadamu wezio wanyanyaswe as along as they are Muslims.
Yeah nimekaa nchi zenye majority muslim kama Indonesia nimeona makanisa yakivunjwa.Nimesafiri zaidi ya nchi 40 duniani kote ila nilichokigundua, Wahindi ukiwakuta kwao cha moto utakiona. Waislam, halafu wawe wapo india, uarabuni, pakistan nk ni wakatili kwelikweli.
Wakiwa ugenini wana upole wa kinafki. Usikudanganye.
Hapo naweza sema wamekutana na kimeumana.
Umeongea pointi msomiPoleni sana. Inasikitisha kuona utu kuthaminiwa kwa kigezo cha dini.
Ila ata waislamu uwatenda vivyo hivyo wasio waislamu kwenye mataifa yao.
Ifike wakati tuweke tofauti za imani zetu pembeni na tuone suala ya Mungu kwa kila binadamu pasipo kuangalia imani zetu.
Mda mwingine nahisi dunia pasipo hizo imani wenda pangekuwa sehem salama kuliko hivi sasa
Wakati Saddam ni Raisi Iraq wakrtisto walikuwa wanateswa?Poleni sana Waislam huko India; lakini ni seme tu kuwa Hata Wakristo huko India the suffer similar attrocities from the Hindu. Wahindu na Waislam wote wamekutana, they don’t have the CHRIST the Prince of Peace. Muslims (Wasuni kuhusu SA) are very smart to cry victims when such incidents happen, Lakini ukweli wao ndyo wanaongoza kwa kutesa Wenzao. Shias in Pakistan, Yazid in Iraq Ahamadia na Christians have had such violences against them
www.voanews.com
We jamaa muongo kishenzi, hakuna nchi ambayo, hujakaa, vita vyote umepigana wewe, mpaka mambo ya uhuru unasema umeshiriki.Yeah nimekaa nchi zenye majority muslim kama Indonesia nimeona makanisa yakivunjwa.
Sawa uíslamu una mapungufu yake lakini pia ni dini nzuri sio sahii kuiita takataka dini yoyote.Dini zote zina mapungufu duniani.Nami nakazia hapo hapo,hii dini ni takataka huko madrasa wanafundishwa kuwachukia watu ambao sio waislamu
Baba mwajuma tembea uone usiishie kukaa tanga tu.We jamaa muongo kishenzi, hakuna nchi ambayo, hujakaa, vita vyote umepigana wewe, mpaka mambo ya uhuru unasema umeshiriki.
"Baba Mwajuma kuwa muongo uone, Utatembea Nchi zote Duniani"Baba mwajuma tembea uone usiishie kukaa tanga tu.
Imani inapokuwa mzigo mzitoHawa jamaa wamekua wakifanya matendo ya kinyama mika na miaka na wanaendelea bila hofu yoyote.
Hii ni hali ilivyokuwa mitaani kipindi cha sikukuu zao za Holi majuzi.
Halafu Watu wakipiga miripiko waitwe magaidi.
View attachment 2545861
View attachment 2545864
Uarabuni (Middle east) jamii za dini nyingine nje ya waislamu kama wakikrsto,yazid,budha and ect... zinanyanyaswa na kutengwa indirect or directly in every social aspects and ranks.Tatizo Baba mwajuma hujasafiri duniani.Wakati Saddam ni Raisi Iraq wakrtisto walikuwa wanateswa?
Hii ni Voa
Christians in Iraq enjoyed protection and near-equal rights with Iraq's Muslim majority under Saddam but were among the first groups targeted amid the breakdown in security and sectarian bloodbath that prevailed for years after the 2003 U.S.-led invasion that overthrew him
Wakristo Maelfu ya Miaka wapo hapo Iraq na Marais wa Iraq waliwapa Haki zao kama binadmu wengine, hata yule Waziri wa propaganda wa Sadam Bwana Tariq Aziz alikua ni mkristo,
Then Marekani akaenda pale akawapelekea Demokrasia Ghafla Wakristo wanapigwa vita, Coincidence? Divide and Rule.
![]()
Timeline of Disaster and Displacement for Iraqi Christians
Iraq was estimated to have nearly 1.5 million Christians before the 2003 U.S.-led invasion that toppled dictator Saddam Hussein, and now, church officials estimate only a few hundred thousand, or even less, remainwww.voanews.com
Pia hayo makundi yanayoitwa islamist yanaua zaidi waisilamu, ndio Wakristo wanapata shida Iraq ila waisilamu wanapata shida zaidi, na yote haya kayaleta USA na makundi yake pandikizi.
Same story Syria na Nchi nyengine za Middle East Wakristo waliishi maisha mazuri tu na hata waisilamu walipopata shida hawa Wakristo walishirikiana bega kwa bega hata ikiwemo kumwaga damu pamoja kutetea maeneo yao, ila yote haya yakakomeshwa na Vita ambavyo havina Mbele Wala Nyuma.
Nenda jakrata uone jinsi wakrsto na wabudha ambao ni minorty wanavyonyanyasika wanapotafuta haki zao .Sikulaumu hujatembea uone dunia ipoje @ Baba mwajuma"Baba Mwajuma kuwa muongo uone, Utatembea Nchi zote Duniani"
Katafute watoto wenzio uwadanganye sio humu.
We unajua kushinda Wakristo wenyewe? Nilikuekea Ushahidi kibao hapa ila unaingia sikio la kushoto unatokea kulia lengo lako wewe ni kubisha tu na trust me bro evidence, lete kwa reference kama Mwenzako juu alivyo weka links, kama una vitabu ama Links zinazoelezea hayo mateso weka hapa.Uarabuni (Middle east) jamii za dini nyingine nje ya waislamu kama wakikrsto,yazid,budha and ect... zinanyanyaswa na kutengwa indirect or directly in every social aspects and ranks.Tatizo Baba mwajuma hujasafiri duniani.
Nenda hata Kuala Lumpur utajua nachomaanisha.We jamaa muongo kishenzi, hakuna nchi ambayo, hujakaa, vita vyote umepigana wewe, mpaka mambo ya uhuru unasema umeshiriki.
Hapo unapoishi wapo waislam?SIWAPONDI WAISLAMU WALA KUTETEA WAHINDI.
HAKUNA BINADAMU WAKATILI, WABAYA, WABAGUZI, WATU WASIOFAA KAMA WAISLAMU.
Ulishawahi kuingia huko madrasa ukakutana na hayo mafundisho ya kuchukia watu wengine?Nami nakazia hapo hapo,hii dini ni takataka huko madrasa wanafundishwa kuwachukia watu ambao sio waislamu
Wewe unaweka ushahidi wa google. hujawahi kuishi hata Baghdad au Basra.Sisi tumeishi tunachokiongea msomi.We unajua kushinda Wakristo wenyewe? Nilikuekea Ushahidi kibao hapa ila unaingia sikio la kushoto unatokea kulia lengo lako wewe ni kuisha tu na trust me bro evidence, lete kwa reference kama Mwenzako juu alivyo weka links, kama una vitabu ama Links zinazoelezea hayo mateso weka hapa.
Labda ana uzoefu na hilo atusaidieHapo unapoishi wapo waislam?
Wamekutendea ukatili upi so far?