Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Ebu fafanua mkuu
 
Au huyu ibn Abu Sufyan humjui?????Ngoja niwatafute wanazuoni wengine wanisaidie mkuu.Kuuliza sio ujinga




Ninamjua ila unajua hayo mambo yameandikwa baada ya kizazi Chao ...uandishi wa Qur an ilikuwa ni kukusanya Aya zote katika mpangilko ule ndo maana Qur an haitofautiani ni moja.

Hadithi kuzisoma ili ujue sahili au dhaifu Kuna mambo ya tarekhe(Muda) ujue ni lini mtu alisema Kuna mapokeo .. Sasa ukiangalia lazima utakuta mlolongo na watu walichuja hizo hadithi kwa vile inajulikana hadithi haiwezi kupinga Qur an.


Waislamu tunafuata muongozo wa Qur an (Mungu) sio nan kasema ..ukipingana na Qur an basi sio hadithi
 
Basi kama wewe ndiyo mchambuzi utakuwa kidogo akili yako haipo sawa. Nadhani wenzako hata wanaofanya midahalo wanakuja na vitabu kabisa.
We unazungumza kitu hata chanzo umeshindwa kutoa ulipotoa.
Uache uzezeta wa kuleta kitu bila kufanya uchunguzi.
 
Uislam ni dini ya kinafiki ata muanzilishi wake aliianzisha kinafiki na kipropaganda

Mambo yote ya yesu aliyabadili na kutaka na yy yamtokee
Kufufuka
Kufa
Iyo kitabu yao wanayoiita quran ni copy ya biblia imebadilushwa kidg
Kufufuka mwisho wa sku nguruwe akapita na mkono
Kuponya watu wisho wa sku akashindw kuponya akaamia kwa nguvu za majini na mashetani kumsaidia kuponya
 
Nashukuru kwa maelezo yako ndugu yangu Ngoja niwatafute wanazuoni wengineo wanijuze kuhusu hii adithi na huyu ibn Abu Sufyan.Asante sana msomi
 
Basi kama wewe ndiyo mchambuzi utakuwa kidogo akili yako haipo sawa. Nadhani wenzako hata wanaofanya midahalo wanakuja na vitabu kabisa.
We unazungumza kitu hata chanzo umeshindwa kutoa ulipotoa.
Uache uzezeta wa kuleta kitu bila kufanya uchunguzi.
Wewe hunieleweshi na hutaki kuulizwa maswali,basi ingekua vyema ukaacha wanazuoni wengine wa dini ya kiislamu ambao wananielewesha vizuri kuhusu adithi idadi:26,245 ya mu'waiya Ibn Abu Sufyan.
 
Ifike wakati tuweke tofauti za imani zetu pembeni na tuone sura ya Mungu kwa kila binadamu pasipo kuangalia imani zetu.
Hilo ni rahisi kwa Wakristu tu, labda na Wahindu wakiambiwa mara kwa mara. Lakini waisilamu ni washenzi sana, wao kunyanysa na kuua wenzao ni sunna, kwa hiyo ataitafuta tu hiyo sunna kwa nguvu zote
 
Sawa🙏 Nashukuru pia
Nitakurudia msomi nikipata majibu.Unajua hili uielewe dini husika lazima uchambue vitabu vyake,na huoji maswali.Mimi naamini sana katika kuhoji na kuuliza sababu naamini kuuliza na kuhoji ni njia mojawapo ya kujifunza.Asante sana ndugu yangu
 
Wewe hunieleweshi na hutaki kuulizwa maswali,basi ingekua vyema ukaacha wanazuoni wengine wa dini ya kiislamu ambao wananielewesha vizuri kuhusu adithi idadi:26,245 ya mu'waiya Ibn Abu Sufyan.
Nimekwambia hiyo hadith hata kwenye dhaifu haipo ndiyo maana nimekuuliza umeitoa wapi.
HIcho kitabu tu cha hadith kinachoitwa Muwaiya ibn Abu Sufyan hakipo.
Ndiyo maana nimekuuliza umeitoa wapi?
 
Nimekwambia hiyo hadith hata kwenye dhaifu haipo ndiyo maana nimekuuliza umeitoa wapi.
HIcho kitabu tu cha hadith kinachoitwa Muwaiya ibn Abu Sufyan hakipo.
Ndiyo maana nimekuuliza umeitoa wapi?
Ndugu yangu umeniita zezeta mara umesema hivyo vitu nimetoa kanisani kwa lugha za dhiaka zisizo na staha.Nikasema basi wacha wanazuoni wengine wanieleweshe vizuri kwa lugha nzuri na zenye staha.Ucjali ndugu yangu nashukuru kwa maoni yako.
 
Nashukuru kwa maelezo yako ndugu yangu Ngoja niwatafute wanazuoni wengineo wanijuze kuhusu hii adithi na huyu ibn Abu Sufyan.Asante sana msomi
Nelson, hamna Muislam wa kukwambia ukweli kwa sababu Islam is all lies. Sikiliza huyu Bw. Aitwa AlFadi ni Msafiri Arabia aliyekuja kumfuata Yesu, akifichua hizo lies
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…