Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Hitler did not kill in the Name of Jehovah. Hao viongozi wa dini walichofanya kwanza Jehovah doesnt approve, ila walichofanya ni kama kile wanavhofanya viongozi wa dini zote hapa Tanzania, kuwa upande wa Serikali ya Nchi yao. Shekhe wenu hafanyi hayo hapa Tamzamia? Najua hata Maaskofu wanaunga mkono serikali yao
Ona sasa alichofanya muislamu mwenzio

Muislamu mwenzio anachinja mtu barabarani kama tumavyochinja kuku kwa jina la Allah na Kitabu cha Quran

hao viongozi wa kanisa hawajachaguliwa na Hitler, Tanzania Bakwata iliundwa na Nyerere na serikali ndiyo inayowalipa
 

Attachments

  • 24C08087-127F-4195-87FC-EEA6497804C8.png
    24C08087-127F-4195-87FC-EEA6497804C8.png
    362.8 KB · Views: 4
Muislamu mwenzio anamchinja mtu mtaani kama tunavyochinja kuku na anafanya hivyo kwa Jina la Allah na kitabu cha Quran
 
Ni ukatili wenu huo huo ndyo maana Ma Nazi wamaibuka huko Europe, na Serikali pia zinatunga sheria za kuwabana ona hapa chini
 

Attachments

  • CF7A73E6-60EF-41DD-A488-DC2FA0F7A92C.png
    CF7A73E6-60EF-41DD-A488-DC2FA0F7A92C.png
    299 KB · Views: 3
Unavyoandika utadhan hao waislamu are so innocent when they are the majority kw nchi zao. Sawa sitetei any violence lakini by sheria India is still secular and Muslims wana haki zao; nenda nchi za kiislam tupu uone. Saudi tu Mecca na Medina huruhusiwi kugusa km sio Muislamu; iyo c Apartheid??? Imagine Roma wakapiga marufuku wasio wakatoliki wasiguse hapo. In fact Hindu temples all people are allowed in; Jaribu hata kuingia mguu tofauti msikitini au Km mwanamke kw sehemu ya wanaume. Regardless of challenges faced by Muslims in India it's nothing compared to non Muslims in Muslim majority countries; nendeni wenyewe mkagoogle tu

Ndivyo mnavyodanganywa na vyombo vya habari pamoja na wanaouchukia uislamu

Msikilize huyu kiongozi wa chama huko India anavyosema


 
Naanza kusema msimamo wangu, Sisapoti kinachooneka hapo.
Lakini tuseme yaliyopo.

Hao ni innocent Muslims waliopo India huko, ambapo wana nyanyasika, wakipigwa mawe, machupa ya maji hata kuwa ktk hati ya kupoteza uhai wao, just kwa sababu tu ni waislam.

Je ni haki? Ni sawa? Kumdhuru ,kumnyima mtu amani na raha just sababu tu ni dini fulani?. Ubaguzi wa dini.

Turudi kuongea ukweli bila kupepesa macho, nahisi hiii dhambi ya unyanyapaa wa Dini zingine ni miongoni mwa matendo mengi ya hawa wenzetu waislamu, ni wadau ktk hilo. Ingawa wanazuoni na wasomi wanasema Quran inakataza hayo mambo ( Mimi sijui). Lakn imekuwa yanafanyika sanaa.

Tumeona wakristo wakichinjwa, kuuliwa ,kisa tu ni wakristo. Je, hiii ni kuwa dhambi ya ugabuzi inarudi kwao? Au ni wamekutana na wenzao wa piga piga?

Lakini nilicho gundua, hao Wahindu, Muslims ni wapole wakiwa ktk nchi za ugenini, hukuti marekani au taifa kubwa wakifanya hayo wazi, ILA UKIENDA KTK HIMAYA ZAO NI KISANGA, ANYWAY TUJITEKEBISHE ,TUWE NA MISULI YA KUSTAHIMILI IMANI YA MWENZIO
 
Muislamu mwenzio anamchinja mtu mtaani kama tunavyochinja kuku na anafanya hivyo kwa Jina la Allah na kitabu cha Quran

Nyinyi mlivyowauwa watu Afghanistan , Iraq kwa jina la Yesu unasahu


 
Ni ukatili wenu huo huo ndyo maana Ma Nazi wamaibuka huko Europe, na Serikali pia zinatunga sheria za kuwabana ona hapa chini


ndivyo mkazivamia nchi za kiislamu na kuuwa watu kwa mamilioni

 
Myanmar wale Waislamu huwa wanabaguliwa (sio jambo zuri) na hivyo wakaanza harakati za kujitetea ndio wakaharibu zaidi. Tofauti na watu kama Kurds ambao utapiga utachoka, hao Uyghurs hawana nguvu zaidi za kupambana walipoanza kujitetea kwa mashambulizi ndio kikaja kisingizio cha kuwapoteza kabisa.
Ndio maana nasema hao Asians hasa majirani kina China, India na nchi zenye raia wanaofanana na Wahindi ni za kwenda nao taratibu. Ukitumia nguvu ndio unaumia zaidi za hapo India unapoona fujo hizo watakaokuja kulipa kisasi watatoka Pakistan au kwingineko wakitoka ndani ya India watalipwa. Waislamu wa India hulazimika kuwa watulivu kiasi fulani
Ila hapa duniani nimeishi na Hindus wa NEPAL na budhaa wa Thailand , Christians na waislam . Jamii ya Hindus waabudu ngo'mbe ni hawana religious tolerance na waislam hawana religious tolerance but Buddha na Christian ni wastaarabu na watulivu they have religious tolerance . Kwa miaka miwili nilioishi as Christian kwenye jamii kubwa ya Hindus about 96% sijaona usumbufu wao. Ila waislam wanajionaga superior na Hindus ni jamii ya wabaguxi balaa na hujiona superior . Kwahiyo hapo India 80% ni Hindus ambayo hawali ngo'mbe na huabudu ngo'mbe pia 20% ni waislam wasiokula nguruwe. Hapo kimeumana . Hindus na Muslims hawana religious tolerance
 
Ila hapa duniani nimeishi na Hindus wa NEPAL na budhaa wa Thailand , Christians na waislam . Jamii ya Hindus waabudu ngo'mbe ni wakorofi pia waislam ni wakorofi Ila Hindus na Christian ni wastaarabu na watulivu
mbona hufahamiki , unasema wahindu na waislamu ni wakorofi halafu ulipowachanganya na wakristo wamekuwa wastaarabu , nakunukuu

Jamii ya Hindus waabudu ngo'mbe ni wakorofi pia waislam ni wakorofi Ila Hindus na Christian ni wastaarabu na watulivu
 
mbona hufahamiki , unasema wahindu na waislamu ni wakorofi halafu ulipowachanganya na wakristo wamekuwa wastaarabu , nakunukuu
Hindus and Muslims have no religious tolerance. Ndio maana India Christian and Muslims suffers discrimination from Hindus in India . But Hindus and Muslims live peacefully in Christians countries because Christian have religious tolerance. But Hindus and Christian suffer discrimination in Muslims countries because Muslims have no religious tolerance. You can't eat pork in my Muslim community or country or you also not allowed to eat food during Ramadhan. You are not allowed to eat beef in Hindus countries. I gave an example I lived in Buddha country (Thailand) there is religious tolerance in Thailand. There's some few church. You will not hear budhaa descriminating Christian or other religious in their countries. Budhaa have religious tolerance. When you combine Hindus and Muslims in same country there must be no peace because both have no religious tolerance. Think you understand me well
 
Hawa jamaa wamekua wakifanya matendo ya kinyama mika na miaka na wanaendelea bila hofu yoyote.
Hii ni hali ilivyokuwa mitaani kipindi cha sikukuu zao za Holi majuzi.
Halafu Watu wakipiga miripiko waitwe magaidi.
View attachment 2545861

View attachment 2545864
Kila nikitazama mwenendo wa warabu wahindi nk nathibitisha kuwa bantu people tupo mbele ya ustaarabu wa kuvumiliana japo kuna vinchi vichache vya Afrika bado hawajastaaribika.
Tazzania hakuna mtu anajali maisha ya mwingine awe mpagani mkristo, muhindu au muislamu.
My dear bantu people, Indian people are vrry primitive people in term of social tolerance.
 
Hindus and Muslims have no religious tolerance. Ndio maana India Christian and Muslims suffers discrimination from Hindus in India . But Hindus and Muslims live peacefully in Christians countries because Christian have religious tolerance. But Hindus and Christian suffer discrimination in Muslims countries because Muslims have no religious tolerance. You can't eat pork in my Muslim community or country or you also not allowed to eat food during Ramadhan. You are not allowed to eat beef in Hindus countries. I gave an example I lived in Buddha country (Thailand) there is religious tolerance in Thailand. There's some few church. You will not hear budhaa descriminating Christian or other religious in their countries. Budhaa have religious tolerance. When you combine Hindus and Muslims in same country there must be no peace because both have no religious tolerance. Think you understand me well

Naona ulivyoandika si kweli , kwani ingalikuwa Hakuna tolerance kati ya waislamuu na wa hindu , wasingalisilimu wahindi kwa maalfu huko India , pia hujafika Dubai ukaona tolerance iliyokuwepo. Pia Zanzibar
mbona wahindu walikuwepo wengi tu , ni mpaka Mkatoliki Nyerere alipovamia akaleta fitina Za udini.

Haya matatizo huletwa na wanasiasa kutumia dini ili kupata watu wa kuwaunga mkono , Marekani Bush aliwatumia watu wa dini , India ndiyo hivyo
 
Kipimo kirahisi tu cha hawa watu.
Angalia Jumuia za wahindi mji wowote, nchi yoyote. Jamaa walivyo wabaguzi, hata wenyewe kwa wenyewe. Jaribu kutaka kuoa /kuolewa kwao. Wapo tayari waue mwenza wako.
Njoo kwa waislam. Kwao ni rahisi saana kubadili wengine dini zao kuja kwao, jaribu wewe kumbadili muislam kupeleka dini nyingine. Wapo tayari kuua, kulaani hata kufukuza kazi.

Lakini dini nyingine tuko poa tuu.

BADILIKENI
 
Naanza kusema msimamo wangu, Sisapoti kinachooneka hapo.
Lakini tuseme yaliyopo.

Hao ni innocent Muslims waliopo India huko, ambapo wana nyanyasika, wakipigwa mawe, machupa ya maji hata kuwa ktk hati ya kupoteza uhai wao, just kwa sababu tu ni waislam.

Je ni haki? Ni sawa? Kumdhuru ,kumnyima mtu amani na raha just sababu tu ni dini fulani?. Ubaguzi wa dini.

Turudi kuongea ukweli bila kupepesa macho, nahisi hiii dhambi ya unyanyapaa wa Dini zingine ni miongoni mwa matendo mengi ya hawa wenzetu waislamu, ni wadau ktk hilo. Ingawa wanazuoni na wasomi wanasema Quran inakataza hayo mambo ( Mimi sijui). Lakn imekuwa yanafanyika sanaa.

Tumeona wakristo wakichinjwa, kuuliwa ,kisa tu ni wakristo. Je, hiii ni kuwa dhambi ya ugabuzi inarudi kwao? Au ni wamekutana na wenzao wa piga piga?

Lakini nilicho gundua, hao Wahindu, Muslims ni wapole wakiwa ktk nchi za ugenini, hukuti marekani au taifa kubwa wakifanya hayo wazi, ILA UKIENDA KTK HIMAYA ZAO NI KISANGA, ANYWAY TUJITEKEBISHE ,TUWE NA MISULI YA KUSTAHIMILI IMANI YA MWENZIOView attachment 2554010

Mshana Duniani huko sasa hivi wamebaini kuwa Quran ndyo source ya all evil waislam wanafanya. Sema huku kwetu Tanzania hatujawa keen kuchunguza yale wanayo discuss. Mfano Hadithi zinawadharau Waafrica. Na inawezekana ndyo maana Prince Mohamed Bin Salmin wa Saudi Arabia akasema hadithi karibu zote ni takataka, Labda tu Sahihi Bukhari. Ona hapo penye video hata hiyo Sahihi Bukhari inavyo zungumza kuhusu watu weusi
 
Naanza kusema msimamo wangu, Sisapoti kinachooneka hapo.
Lakini tuseme yaliyopo.

Hao ni innocent Muslims waliopo India huko, ambapo wana nyanyasika, wakipigwa mawe, machupa ya maji hata kuwa ktk hati ya kupoteza uhai wao, just kwa sababu tu ni waislam.

Je ni haki? Ni sawa? Kumdhuru ,kumnyima mtu amani na raha just sababu tu ni dini fulani?. Ubaguzi wa dini.

Turudi kuongea ukweli bila kupepesa macho, nahisi hiii dhambi ya unyanyapaa wa Dini zingine ni miongoni mwa matendo mengi ya hawa wenzetu waislamu, ni wadau ktk hilo. Ingawa wanazuoni na wasomi wanasema Quran inakataza hayo mambo ( Mimi sijui). Lakn imekuwa yanafanyika sanaa.

Tumeona wakristo wakichinjwa, kuuliwa ,kisa tu ni wakristo. Je, hiii ni kuwa dhambi ya ugabuzi inarudi kwao? Au ni wamekutana na wenzao wa piga piga?

Lakini nilicho gundua, hao Wahindu, Muslims ni wapole wakiwa ktk nchi za ugenini, hukuti marekani au taifa kubwa wakifanya hayo wazi, ILA UKIENDA KTK HIMAYA ZAO NI KISANGA, ANYWAY TUJITEKEBISHE ,TUWE NA MISULI YA KUSTAHIMILI IMANI YA MWENZIOView attachment 2554010
 
Hawa jamaa wamekua wakifanya matendo ya kinyama mika na miaka na wanaendelea bila hofu yoyote.
Hii ni hali ilivyokuwa mitaani kipindi cha sikukuu zao za Holi majuzi.
Halafu Watu wakipiga miripiko waitwe magaidi.
View attachment 2545861

View attachment 2545864

si waende pakistan !! mbona wahindu wa pakistan hawa lalamiki wanazo uliwa!
hizi nchi ziligawana kulingana. na misingi ya dini waislam walichagua pakistan na wahindu walichagua india
 
Hatred ya wahindu dhidi ya waislamu ni effects za partition ya great India baada ya mwingereza kuondoka ,India kugawanyika na kutoa mataifa matatu India , Pakistan na Bangladesh hayo mawili Pakistan na Bangladesh ni Muslim majority countries wakati India ni Hindu majority sasa ukumbuke India na Pakistan ni maadui kama paka na panya ,na ilishapigwa vita kati yao ,sasa kuiongezea na huo ukabila wao ambao basically no Udini ,maana hao wapuuz wote ni jamii moja ,dini tu ndio zinawatofautisha ,chuki za kidini , wapuuz sana
 
Nyinyi mlivyowauwa watu Afghanistan , Iraq kwa jina la Yesu unasahu



Usijitoe ufahamu Govana. Siyo US Army policy to go into forreign country to fight a war to convert its citizens to Christianity. Hao ni baadhi ya Askari ambao evengelical, ambao walitumia fursa hiyo to preach the Christ (Christ is the one you muslims need to be liberated from the mess of the Quran- John 8:32 says the TRUTH WILL SET YOU FREE). na ukisikiliza hiyo clip, uongozi uliwachukulia hatu. Hata the fact to kuwa the matter is openly discussed, its a big plus. Hebu nambie mfano wale raia wa Iran they are so oppressed by the islamic Regime mpka wakaamua liwalo na liwe wakaanza to chant death to the Ayatolahs na wakachoma hijabu. Vitu kama hivyo ndyo vinafanya hao Askari kuwaonea huruma na kuwahubiria the beauty of Bible teachings. Na si kama unavyosema at they killed in the name of Jesus
 
Back
Top Bottom