Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Poleni sana Waislam huko India; lakini ni seme tu kuwa Hata Wakristo huko India the suffer similar attrocities from the Hindu. Wahindu na Waislam wote wamekutana, they don’t have the CHRIST the Prince of Peace. Muslims (Wasuni kuhusu SA) are very smart to cry victims when such incidents happen, Lakini ukweli wao ndyo wanaongoza kwa kutesa Wenzao. Shias in Pakistan, Yazid in Iraq Ahamadia na Christians have had such violences against them
Mbona unakwenda mbali ??

mauwaji ya waislamu hapa Zanzibar kwa maelfu yaliyofanywa na Mkatoliki Nyerere mbona mnayasahau ??

MJADALA unaendelea nchini kote juu ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika na muundo wa Muungano wa Zanzibar na Tanganyika. Inavyoelekea yapo matatizo, dosari na sababu za msingi zilizopelekea wananchi kuhoji muundo wa sasa wa Muungano na kuleta hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ni yenye kuundwa kama si leo kesho.

Lakini wapo pia wanaopinga kabisa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.

Aliyejitokeza kwa nguvu na kwa ukali hadharani kupinga hoja hiyo ni Mwalimu Julius Nyerere, katika kupinga hoja hiyo Mwalimu anatoa hoja zifuatazo:

Hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika imeletwa kwa kuwachoka Wazanzibari na Waislamu. Ufupi wa maneno Mwalimu Nyerere anadai hoja ya kuundwa Serikali ya Tanganyika imetokana na chuki za kidini - Wakristo kuwachukia Waislamu.

Hoja haipo katika sera za CCM na taratibu zimekosewa.

Kuundwa kwa serikali ya Tanganyika kutavunja Muungano na kutavunja Tanganyika pia.

Ukizingatia sifa nyingi ambazo Nyerere alijilimbikizia wakati wa utawala wake na sasa si vigumu kuelewa kwa nini anapinga kuundwa kwa serikali ya Tanganyika. Mambo yake yote aliyoyaanzisha kwa vishindo huku akisifiwa kuwa zidumu fikra zake, yamekuwa yakiporomoka moja baada ya jingine huku mwenyewe akiona. Lililosalia ni Muungano; nao ukiporomoka haitaleta picha nzuri katika historia yake katika siasa.

Lakini lililo gumu kueleweka ni hatua ya Mwalimu Nyerere kutumia Turufu ya udini kuwagawa Wabunge; wana-CCM na Wa-Tanzania kwa ujumla katika suala hili. Kauli hiyo ingesemwa na Muislamu ingepewa mtizamo tofauti na labda isingeeleweka hasa miongoni mwa Waislamu. Lakini kusemwa na Mwalimu Nyerere kunaleta mkanganyiko zaidi. Kwanini; (udini ulikuwa umejengeka). Hali hiyo ilipelekea Masheikh kumlalamikia lakini akawanyamazisha kwa kuwashutumu kuwa wanachanganya dini na siasa. Miongoni mwa Masheikh hao wapo waliofukuzwa nchini; waliowekwa kizuizini, waliofukuzwa katika chama na kadhalika.

Sheikh Hassan bin Amir katika waraka wake kwa Waislamu mwaka 1963 aliutaja udini uliokuwa unajengwa Tanzania kwa kutoa mifano ifuatayo:

Kuingizwa nchini Tanganyika mara tu baada ya uhuru vimedali vidogo vidogo vyenye picha ya bendera ya Tanganyika usoni na katikati ya bendera hiyo amesimama Mama Maria na mtoto mchanga na nyuma yake maandiko 'MARIA MTAKATIFU ULINDE UHURU WA TANGANYIKA'.

Gazeti la KIONGOZI la tarehe 1/8/1963 lilimuonyesha Bwana George Kahama akipewa cheo cha dini na Pope kwa kuwakilisha serikali ya Tanganyika katika mkutano wa Makanisa ya Roma.

Mwaka huo huo wa 1963, mnamo tarehe 24 mwezi wa nane, Baraza Kuu la Makanisa ya Kilutheri Tanganyika lilitoa matangazo kuwa Uhuru wa Tanganyika ulikuwa 'Chini ya Msalaba'.

Tarehe 17/5/1963 Makanisa yalifanyia mkutano wao ndani ya Bunge.

Alipokufa Pope Yohana wa 23 bendera ya taifa ilipepea nusu mlingoti nchi nzima!

Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa kwenye gazeti la Tanganyika Standard.

Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele: "KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC". Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.
 
SIWAPONDI WAISLAMU WALA KUTETEA WAHINDI.

HAKUNA BINADAMU WAKATILI, WABAYA, WABAGUZI, WATU WASIOFAA KAMA WAISLAMU.

Ni kweli kabisa kwani umesahau huku Congo mauwaji yanayofanywa toka miaka ya Mbelgiji anaingia mpaka leo yalifanywa na wabelgiji waislamu au vipi ??
 
Uarabuni (Middle east) jamii za dini nyingine nje ya waislamu kama wakikrsto,yazid,budha and ect... zinanyanyaswa na kutengwa indirect or directly in every social aspects and ranks.Tatizo Baba mwajuma hujasafiri duniani.
We ni muongo mkubwa.....nchi middle east wamejaa wahindi hapa Tena wahindu ndo ndo owners wa makampuni mengi

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 


Hivi uliwahi kwenda nchi za ulaya ukaona waislamu wanavyofanyanyaswa??

Marekani, Norway ,Sweden , Denmark mpaka kitabu cha Quran kimechomwa moto .

Denmark walimchora na kumtukana mtume .

Hivi kuna nchi yoyote ya kiislamu ilichomwa biblia na kutukanwa yesu ??
 
SIWAPONDI WAISLAMU WALA KUTETEA WAHINDI.

HAKUNA BINADAMU WAKATILI, WABAYA, WABAGUZI, WATU WASIOFAA KAMA WAISLAMU.

Ni kweli kwani wakristo ni watu wanaoonyesha upendo


Ameolewa na mchungaji wa kizungu, London

rev_coward_egbele.jpg
 
Nelson, hamna Muislam wa kukwambia ukweli kwa sababu Islam is all lies. Sikiliza huyu Bw. Aitwa AlFadi ni Msafiri Arabia aliyekuja kumfuata Yesu, akifichua hizo lies

Ebu ngoja nimsikilize maana mimi nimeuliza kuhusu adithi idadi:16,245 ya mu'waiya Ibn Abu Sufyan na hakuna alienipa jibu la kuridhisha niwe muwazi tu.Kuuliza sio ujinga bali ni kutaka kujua
 
Ebu ngoja nimsikilize maana mimi nimeuliza kuhusu adithi idadi:16,245 ya mu'waiya Ibn Abu Sufyan na hakuna alienipa jibu la kuridhisha niwe muwazi tu.Kuuliza sio ujinga bali ni kutaka kujua
Huyo Bw. anaitwa Al Fadi, su search CIRA kwenye youtube kuna video zake nyingi amefichua uongo kwenye Quran
 
Vitu vya matandaoni vya kupikwa nenda uarabuni utapata uhalisia wewe si Mr Msafiri ?ni kitu simple sana.
Kwahiyo huyu Muwa'iya Ibn Abu Sufyan sio mkweli ni muongo na anachoadithia kuhusu Muhamad na Ali ni uongo kwenye adithi idadi:16,245 au kuna ukweli unafichwa hapa.Ucjali ndugu nitawatafuta wanazuoni wa Riyadh wanijuze zaidi kuhusu uislamu na hii adithi idadi:16,245 ya Ibn Abu Sufyan na kwanini baadhi ya adithi katika uislamu zinaitwa afifu hasa pale zinaposimulia mambo yaliyotendeka katika jamii.##Kuuliza sio ujinga ni kutaka kujua.
 
Anaruka ruka tu, mpe na Ile ya mtoto wa miaka 8
Kuna pia Surah Al-An'am:Ayah 7 nayo inanichanganya sana kuhusu imani na shiriki (Uchawi) katika muongozo wa mapokeo ya imani ya kiislamu.###Kuuliza sio ujinga bali ni kutaka kujua
 
Nelson, hamna Muislam wa kukwambia ukweli kwa sababu Islam is all lies. Sikiliza huyu Bw. Aitwa AlFadi ni Msafiri Arabia aliyekuja kumfuata Yesu, akifichua hizo lies


 
Back
Top Bottom