Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Hawa jamaa wamekua wakifanya matendo ya kinyama mika na miaka na wanaendelea bila hofu yoyote.
Hii ni hali ilivyokuwa mitaani kipindi cha sikukuu zao za Holi majuzi.
Halafu Watu wakipiga miripiko waitwe magaidi.
View attachment 2545861

View attachment 2545864
Kasome history jinsi Hao waislam walivyofanya Hao WA HINDU kipindi kile mnasambaza UISLAM...... Usilaumu sana watu Wana machungu na visasi
 
Kasome history jinsi Hao waislam walivyofanya Hao WA HINDU kipindi kile mnasambaza UISLAM...... Usilaumu sana watu Wana machungu na visasi

kwa hiyo ni sahihi na wao kufanya zama hizi? Ikiwi babu wa babu yako alinyanyasa watu 1700's Je ni sahihi na wewe unyanyaswe leo 2023?
 
Hata Jiji la Mecca kuwa lilikuwepo ni Uongo na ndyo maana hujawahi kusikia hata siku Moja wanahistoria kuchimbua mabaki ya zamani katika Jiji hilo.


Mbona mnapenda kutuletea mashoga hawa ??

Msikilize anavyo discuss homosexuality na hivyo anavyotikisa viungo

 

Yaani nyinyi Waislam, mtapata shida sana na hicho kitabu chenu kilichojaa uongo; yaani unalazimishia kabisa kwamba ilikuwepo sehemu inaitwa bakka na waisrael walienda hapo kuabudu. Jamani hilo ni bonde tu, ambapo waisrael walipita walipokuwa wakienda Zion ambayo ndyo ilikuwa centre of their worship. Wewe umeishia tu Zaburi 84:6 nenda mpaka Zab 84:7
 
Yaani nyinyi Waislam, mtapata shida sana na hicho kitabu chenu kilichojaa uongo; yaani unalazimishia kabisa kwamba ilikuwepo sehemu inaitwa bakka na waisrael walienda hapo kuabudu. Jamani hilo ni bonde tu, ambapo waisrael walipita walipokuwa wakienda Zion ambayo ndyo ilikuwa centre of their worship. Wewe umeishia tu Zaburi 84:6 nenda mpaka Zab 84:7

Hilo ni bonde tu ?? Wayahudi hawa wasikilize

 
kwa hiyo ni sahihi na wao kufanya zama hizi? Ikiwi babu wa babu yako alinyanyasa watu 1700's Je ni sahihi na wewe unyanyaswe leo 2023?
Usimfundishe mtu jinsi ya kulipiza kisasi. Unachotakiwa wewe usianzishe.
 
Mbona unakwenda mbali ??

mauwaji ya waislamu hapa Zanzibar kwa maelfu yaliyofanywa na Mkatoliki Nyerere mbona mnayasahau ??

MJADALA unaendelea nchini kote juu ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika na muundo wa Muungano wa Zanzibar na Tanganyika. Inavyoelekea yapo matatizo, dosari na sababu za msingi zilizopelekea wananchi kuhoji muundo wa sasa wa Muungano na kuleta hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ni yenye kuundwa kama si leo kesho.

Lakini wapo pia wanaopinga kabisa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.

Aliyejitokeza kwa nguvu na kwa ukali hadharani kupinga hoja hiyo ni Mwalimu Julius Nyerere, katika kupinga hoja hiyo Mwalimu anatoa hoja zifuatazo:

Hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika imeletwa kwa kuwachoka Wazanzibari na Waislamu. Ufupi wa maneno Mwalimu Nyerere anadai hoja ya kuundwa Serikali ya Tanganyika imetokana na chuki za kidini - Wakristo kuwachukia Waislamu.

Hoja haipo katika sera za CCM na taratibu zimekosewa.

Kuundwa kwa serikali ya Tanganyika kutavunja Muungano na kutavunja Tanganyika pia.

Ukizingatia sifa nyingi ambazo Nyerere alijilimbikizia wakati wa utawala wake na sasa si vigumu kuelewa kwa nini anapinga kuundwa kwa serikali ya Tanganyika. Mambo yake yote aliyoyaanzisha kwa vishindo huku akisifiwa kuwa zidumu fikra zake, yamekuwa yakiporomoka moja baada ya jingine huku mwenyewe akiona. Lililosalia ni Muungano; nao ukiporomoka haitaleta picha nzuri katika historia yake katika siasa.

Lakini lililo gumu kueleweka ni hatua ya Mwalimu Nyerere kutumia Turufu ya udini kuwagawa Wabunge; wana-CCM na Wa-Tanzania kwa ujumla katika suala hili. Kauli hiyo ingesemwa na Muislamu ingepewa mtizamo tofauti na labda isingeeleweka hasa miongoni mwa Waislamu. Lakini kusemwa na Mwalimu Nyerere kunaleta mkanganyiko zaidi. Kwanini; (udini ulikuwa umejengeka). Hali hiyo ilipelekea Masheikh kumlalamikia lakini akawanyamazisha kwa kuwashutumu kuwa wanachanganya dini na siasa. Miongoni mwa Masheikh hao wapo waliofukuzwa nchini; waliowekwa kizuizini, waliofukuzwa katika chama na kadhalika.

Sheikh Hassan bin Amir katika waraka wake kwa Waislamu mwaka 1963 aliutaja udini uliokuwa unajengwa Tanzania kwa kutoa mifano ifuatayo:

Kuingizwa nchini Tanganyika mara tu baada ya uhuru vimedali vidogo vidogo vyenye picha ya bendera ya Tanganyika usoni na katikati ya bendera hiyo amesimama Mama Maria na mtoto mchanga na nyuma yake maandiko 'MARIA MTAKATIFU ULINDE UHURU WA TANGANYIKA'.

Gazeti la KIONGOZI la tarehe 1/8/1963 lilimuonyesha Bwana George Kahama akipewa cheo cha dini na Pope kwa kuwakilisha serikali ya Tanganyika katika mkutano wa Makanisa ya Roma.

Mwaka huo huo wa 1963, mnamo tarehe 24 mwezi wa nane, Baraza Kuu la Makanisa ya Kilutheri Tanganyika lilitoa matangazo kuwa Uhuru wa Tanganyika ulikuwa 'Chini ya Msalaba'.

Tarehe 17/5/1963 Makanisa yalifanyia mkutano wao ndani ya Bunge.

Alipokufa Pope Yohana wa 23 bendera ya taifa ilipepea nusu mlingoti nchi nzima!

Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa kwenye gazeti la Tanganyika Standard.

Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele: "KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC". Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.

Vatican ni dola na iliyochini ya papa,hoja zako ni nyepesi sana tena za kitoto.
 
Hapa mashoga yakipewa haki yao
 
Back
Top Bottom