"Ushimen" hivi ndivyo nimeamua kusheherekea siku yangu ya kuzaliwa

@ushimen niwekee hiyo picha iliyokera wengi...
Mkuu, kiimani mimi ni mkristo. Hivyo basi jana niliomba radhi kwa wote nilio wakwaza na leo nimeenda church kufanya maungamo
 
Happy Birthday Mkuu Ushimen Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu yaliyojaa furaha tele, amani na afya njema.
 
Mkuu, kiimani mimi ni mkristo. Hivyo basi jana niliomba radhi kwa wote nilio wakwaza na leo nimeenda church kufanya maungamo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Rafiki ukipewa mautamu ndio furaha yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante muhenga mwenzangu, hapo nishindwe tu mwenyewe kwenye umaliziaji...tehteehh [emoji12]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hyo line ya mwisho nadhan i aujumbe fulan..kuna kipindi kuna id 1 ilikua inamuatack sana huyu jamaa kuhusu hayo mambo...inaitwaga akili unazo
Hahaahaaa....
Umenikumbusha mbali sana mkuu, siku moja nitakusimulia[emoji23] [emoji23]
 
Ushirombo Men,, [emoji3][emoji3].
Hongera sana Mkuu,
Dohh, umepunguza sehemu ya muda bana katika umri wako. Ubarikiwe sana na tena na tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…