Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Mwafrika asiyependa ugali kweli? [emoji16][emoji16]Hahahahahahaha sikujua kama nawe ni mpenzi wa ugali Mkuu. Hongera sana [emoji1420][emoji1417]
Jirani,kuna majukumu kidogo yamenibana nimekua adimu lakini tupo pamoja!Hahaahaaaa......
Tatuzo umetiweka kwa wingi sana hapa jamvini jirani...teh
Ulivyosema shoo ya kibabe nikajua zero IQ muuza chips mkuuNdio mkuu, Kwani nafanana na mwenye hajaoa..!!??
Sio poa mambo ya majani majani haya yasije mea tumbon buleHahaha na matembele
Kuchafukwa lazima chezea mchaka mchaka wewe!Dahhhh......
Jamani, mbona watu wamechafukwa na mawazo sana humu sikuhizi....!!??
Sifa tele zimuendee Bi mkubwa kwa kitendo chake cha kunilazimusha sikuzile kupika, tena kwa kutumia kuni na juani...
Hii ni nini?View attachment 1152697
[emoji134][emoji134][emoji134].............[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan niliwaza hivyohivyo jamaniUkajua brother katupia biriani mubashara Jf....[emoji23][emoji23]
Acha mawazo mabaya ShunieYaan niliwaza hivyohivyo jamani
Kuna Mwafrika asiyependa ugali kweli? [emoji16][emoji16]
Sio mawazo mabaya bwana mdakachozi ebu niambie ww ulifikiliaje etAcha mawazo mabaya Shunie
Imefanyaje mkuu ? [emoji41]
Mm napenda sana ugali uwe na mboga zake lakini kama hivyo za ushimenWapo wengi sana hasa miaka hii ya karibuni KE na ME.