Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zero IQ nahisi atakua mwanafunzi wa darasa la sita hua anaiba simu ya beki 3 wao then anaingia jf mara moja moja mana mada zake zimejaa mirungi, tumbaku na bangi kwa wingiNilivyosoma "nilivyopiga show ya kibabe" nikashtuka nikajua mambo ya Zero IQ.
Hongera mkuu umejitahidi sana ila nina mashaka kama hilo tembere umeweza kulichambua. Itakuwa umepika na kamba zake[emoji23][emoji23][emoji23]
Sema wanaume ni wasafi sana kwenye kupika japo sio wote.
Mdakachozi jamani kwahiyo ukapita kimyakimya hata nisijue uwepo wakoHahahahaha
Huwa napita pita sana tu kule,kama hiyo iliyoisha ya Scaila nimeisoma yote!
Bado nipo babe, halafu huu uzi naona hauko sawa ulichoandika kwenye content na kilichopo kichwani ni tofauti...si wajua mimi mtaalamu wa kuunganisha dots[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Babe.....
Mbona uliniaga kwamba unalala...!!??
Kupika kuna chosha. Bora Nile kwa mama ntilie TU nikirudi nalala
Naona watu wameamua kujichumia dhambi kwa mawazo yao tu babe....[emoji28]Bado nipo babe, halafu huu uzi naona hauko sawa ulichoandika kwenye content na kilichopo kichwani ni tofauti...si wajua mimi mtaalamu wa kuunganisha dots[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Jirani nilishtuka kidogo,ikabidi nijiridhishe kwanza!Jirani jirani jirani.......[emoji28][emoji28][emoji28]
Mimi kama mshabiki wako ujue tu ulipo nipo!Mdakachozi jamani kwahiyo ukapita kimyakimya hata nisijue uwepo wako
KhaaaMie nikija kwako sili chakula kilichosontwa!
Yaani unapika huku dudu limesimama kama tochi ya mmasai huku linasonta chakula[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Worry out mkuu, kila jambo na wakati wake ujuwe...