Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana chief...teh[emoji28]
Daaaah nilivyosoma show ya kibabe nikawa najificha kufungua....
Pole sana chief, skunyingine chunga usije vunjika mkuu kwa mbio kama leo...[emoji28][emoji28]Daah! !!! Sio kwa mbio hizi nilizo Kuja nazo. .mkuu umeniweza. ..
Sasa hiyo Pete uliyo vaa na yule manzi ambaye ni member mwenzetu humu. .uliye mueleza kuwa haujaoa '-Itakuwaje? ?
Au utamuambia kuwa upo location unafanya movie
Kisamvu kiko wapi? Afu naona hapo ni kwa mama ntilie.Mimi show yangu ya kibabe leo ninapiga kisamvu cha nazi, parachichi + nyama iliyokaangwa vizuri ya kushiba jana nilikula hiviView attachment 1152665
Kisamvu kiko wapi? Afu naona hapo ni kwa mama ntilie.