Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
alidiriki kuwafukuza wale wezi wa city water,
alidiriki kuwakoromea misri kuhusu matumizi ya maji ya ziwa viktoria,
alikuwa na maamuzi ya kijasiri na utayari wa kuyasimamia,
sio mnafiki,ukiharibu anakupa live na ikibidi kusimamisha ajira yako kama unakwaza utekelezaji wa ilani ya chama, hayo ni kwa uchache tu,
Iliwahi kuandikwa kwenye vyombo vya habari kwa Mwandosya aliwahi kumsomesha mtoto wake au wa ndugu yake nje ya nchi kwa gharama za moja ya mashirika yaliyokuwa chini ya wizara yake ( Mawasiliano na uchukuzi) ikiwa kama ahsante yake kwa msaada haramu aliyowasaidia. Hii kama ilikuwa ni kweli basi hafai kabisaaaaa kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Kumbukeni pia huyu ni miongoni mwa wale waliyofanikisha kununuliwa kwa ndege ya rais isiyotumika kwa kuisifia sana ubora wake.
Kama ni hivyo hafai kabisaaaaaa!
maana pia akiwa Mawasiliano na uchukuzi, ilisikika kwamba alietuletea mkurugenzi mpya wa tume ya mawasiliano baada ya aliyekuwepo kuondolewa kwa visa. Eti alimnyima hawala yake ticket ya kwenda Ulopu
mwandosya aliiba hela nyingi sana akiwa mkurugenzi wa aicc
mwandosya aliiba viwanja vingi na kuviuza kwa wahindi akiwa wizara ya ardhi
mwandosya ameliingizia taifa hasara sana kutokana na ulafi wake wa tanesco
mwandosya amewatuma wajumbe wa nec wamshambulie sita kwa ajili anamuandama kuwa yeye ni fisadi
EDUCATION
University of Birmingham - UK PhD (Electrical& Electronic Eng.) 1974 1977 PHD
Aston University - UK BSc. (Engineering)Hons. 1971 1974 GRADUATE
Dar es Salaam Technical College A-Level Education 1969 1970 HIGH SCHOOL
Malangali Secondary School O-Level Education 1965 1968 SECONDARY
Chunya Middle School Primary Education 1961 1964 PRIMARY
White Fathers Chunya Primary School Primary Education 1959 1960 PRIMARY
Majengo Primary School Primary Education 1957 1958 PRIMARY
EMPLOYMENT HISTORY
Vice-President's Office (Environment) Minister 2006
Ministry of Communication and Transport Minister 2000 2005
University of Dar es Salaam Professor 1994 2000
Ministry of Industries and Trade Principle Secretary 1992 1993
Ministry of Water, Energy and Minerals Principle Secretary 1990 1992
Ministry of Water, Energy and Minerals Commissioner 1985 1990
University of Dar es Salaam Associate Professor 1983 1987
University of Dar es Salaam Senior Lecturer 1980 1983
University of Dar es Salaam Lecturer 1977 1980
POLITICAL EXPERIENCE
Chama Cha Mapinduzi - CCM Member of the National Executive Committee 2002 Todate
Chama Cha Mapinduzi - CCM Member of Parliament of Tanzania 2000 Todate
Chama Cha Mapinduzi - CCM Member - Political Committee(Regional& District) 2000 2005
Chama Cha Mapinduzi - CCM Member 1977 Todate
TANU Member 1971 1977
TANU Youth Leader 1967 1968
Kama sikosei CV ya Mwandosya inapaswa kuwa na University of Nairobi alikosomea digirii ya kwanza
sorry if my comments has cause any upsethizi ni shutuma za uongo kabisa, tena uongo mkubwa. Ni kweli kwamba Prof. Mwandosya anaudhaifu kama binadamu lakini siyo hizi shutma zako zisizo na msingi.
Kwa mfano Mwandosya hana haja ya kumzonga Sitta, wanaomzonga Sitta ni mafisadi unaowaficha hapa akina RA, EL et al. Ni lini Mwandosya alikuwa Waziri wa Ardhi? Kwa taarifa yako Mwandosya hajapitia uliyoyaandika ktk hiyo CV yako. au unamchanganya na mtu mwingine?
CV ya Mwandosya hii hapa
sorry if my comments has cause any upset
fikiria kidogo
nani alikuwa mkurugenzi wa aicc, waziri wa ardhi, kaingiza tanesco mkenge na kampuni ya kufufua umeme na anamshambulia sita
mwandosya aliiba hela nyingi sana akiwa mkurugenzi wa aicc
mwandosya aliiba viwanja vingi na kuviuza kwa wahindi akiwa wizara ya ardhi
mwandosya ameliingizia taifa hasara sana kutokana na ulafi wake wa tanesco
mwandosya amewatuma wajumbe wa nec wamshambulie sita kwa ajili anamuandama kuwa yeye ni fisadi
Lowasa = Mtandao
Mwandosya X= Mtandao
hence: Mwandosya can't substitute Lowasa.
Hukunipata ndugu yangu. Mwandosya hajawahi kuwa Mkurugenzi wa AICC, Waziri wa Ardhi n.k. Nafasi hizo alishika Lowassa. Wasifu wa Mwandosya umewekwa kwenye post yangu ya awali, au nenda hapa
mwandosya aliiba hela nyingi sana akiwa mkurugenzi wa aicc
mwandosya aliiba viwanja vingi na kuviuza kwa wahindi akiwa wizara ya ardhi
mwandosya ameliingizia taifa hasara sana kutokana na ulafi wake wa tanesco
mwandosya amewatuma wajumbe wa nec wamshambulie sita kwa ajili anamuandama kuwa yeye ni fisadi
mwandosya aliiba hela nyingi sana akiwa mkurugenzi wa aicc
mwandosya aliiba viwanja vingi na kuviuza kwa wahindi akiwa wizara ya ardhi
mwandosya ameliingizia taifa hasara sana kutokana na ulafi wake wa tanesco
mwandosya amewatuma wajumbe wa nec wamshambulie sita kwa ajili anamuandama kuwa yeye ni fisadi
sawa mkuu lakini maneno kama haya hapa chini yanaleta maana tofauti sana na sanaa mlioitumia (wewe kwa kum-support Semilong) kwamba substitute Mwandosya by Lowasa. Maana inayoelewaka zaidi ni kumchafua Mwandosya. Ona akina Ogah wame-support uongo huo.