Ushindani wa vigogo wawili - Mwandosya 2 Lowasa 0

Ushindani wa vigogo wawili - Mwandosya 2 Lowasa 0

I like this thread and where we are going. Tusiuziwe " mlio wa buzi kwenye gunia". Tuanzie hapa kuuliza maswali haya baadaye wananchi watatuunga mkono. Kama JF ni great thinkers, tuache kuambiwa fulani ni kiongozi mzuri, anafaa, ana mastashahada mengi, sawa lakini amefanya nini kupeleka nchi hii mbele.
 
alidiriki kuwafukuza wale wezi wa city water,
alidiriki kuwakoromea misri kuhusu matumizi ya maji ya ziwa viktoria,
alikuwa na maamuzi ya kijasiri na utayari wa kuyasimamia,
sio mnafiki,ukiharibu anakupa live na ikibidi kusimamisha ajira yako kama unakwaza utekelezaji wa ilani ya chama, hayo ni kwa uchache tu,

pia
- Wakuu wa mikoa walioshindwa kusimamia ujenzi wa shule aliwaita na kuwahoji.
- Alianzisha utaratibu wa kutumia njia tatu ili kujaribu kupunguza foleni ya magari ya asubuhi. Ilishindikana but atleast someone did something.
 
Iliwahi kuandikwa kwenye vyombo vya habari kwa Mwandosya aliwahi kumsomesha mtoto wake au wa ndugu yake nje ya nchi kwa gharama za moja ya mashirika yaliyokuwa chini ya wizara yake ( Mawasiliano na uchukuzi) ikiwa kama ahsante yake kwa msaada haramu aliyowasaidia. Hii kama ilikuwa ni kweli basi hafai kabisaaaaa kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Kumbukeni pia huyu ni miongoni mwa wale waliyofanikisha kununuliwa kwa ndege ya rais isiyotumika kwa kuisifia sana ubora wake.


Kama ni hivyo hafai kabisaaaaaa!
maana pia akiwa Mawasiliano na uchukuzi, ilisikika kwamba alietuletea mkurugenzi mpya wa tume ya mawasiliano baada ya aliyekuwepo kuondolewa kwa visa. Eti alimnyima hawala yake ticket ya kwenda Ulopu
 
Kama ni hivyo hafai kabisaaaaaa!
maana pia akiwa Mawasiliano na uchukuzi, ilisikika kwamba alietuletea mkurugenzi mpya wa tume ya mawasiliano baada ya aliyekuwepo kuondolewa kwa visa. Eti alimnyima hawala yake ticket ya kwenda Ulopu

mwandosya aliiba hela nyingi sana akiwa mkurugenzi wa aicc
mwandosya aliiba viwanja vingi na kuviuza kwa wahindi akiwa wizara ya ardhi
mwandosya ameliingizia taifa hasara sana kutokana na ulafi wake wa tanesco
mwandosya amewatuma wajumbe wa nec wamshambulie sita kwa ajili anamuandama kuwa yeye ni fisadi
 
mwandosya aliiba hela nyingi sana akiwa mkurugenzi wa aicc
mwandosya aliiba viwanja vingi na kuviuza kwa wahindi akiwa wizara ya ardhi
mwandosya ameliingizia taifa hasara sana kutokana na ulafi wake wa tanesco
mwandosya amewatuma wajumbe wa nec wamshambulie sita kwa ajili anamuandama kuwa yeye ni fisadi

hizi ni shutuma za uongo kabisa, tena uongo mkubwa. Ni kweli kwamba Prof. Mwandosya anaudhaifu kama binadamu lakini siyo hizi shutma zako zisizo na msingi.

Kwa mfano Mwandosya hana haja ya kumzonga Sitta, wanaomzonga Sitta ni mafisadi unaowaficha hapa akina RA, EL et al. Ni lini Mwandosya alikuwa Waziri wa Ardhi? Kwa taarifa yako Mwandosya hajapitia uliyoyaandika ktk hiyo CV yako. au unamchanganya na mtu mwingine?

CV ya Mwandosya hii hapa

EDUCATION

University of Birmingham - UK PhD (Electrical& Electronic Eng.) 1974 1977 PHD

Aston University - UK BSc. (Engineering)Hons. 1971 1974 GRADUATE
Dar es Salaam Technical College A-Level Education 1969 1970 HIGH SCHOOL

Malangali Secondary School O-Level Education 1965 1968 SECONDARY
Chunya Middle School Primary Education 1961 1964 PRIMARY

White Fathers Chunya Primary School Primary Education 1959 1960 PRIMARY

Majengo Primary School Primary Education 1957 1958 PRIMARY

EMPLOYMENT HISTORY

Vice-President's Office (Environment) Minister 2006

Ministry of Communication and Transport Minister 2000 2005

University of Dar es Salaam Professor 1994 2000

Ministry of Industries and Trade Principle Secretary 1992 1993

Ministry of Water, Energy and Minerals Principle Secretary 1990 1992

Ministry of Water, Energy and Minerals Commissioner 1985 1990

University of Dar es Salaam Associate Professor 1983 1987

University of Dar es Salaam Senior Lecturer 1980 1983

University of Dar es Salaam Lecturer 1977 1980

POLITICAL EXPERIENCE

Chama Cha Mapinduzi - CCM Member of the National Executive Committee 2002 Todate

Chama Cha Mapinduzi - CCM Member of Parliament of Tanzania 2000 Todate

Chama Cha Mapinduzi - CCM Member - Political Committee(Regional& District) 2000 2005

Chama Cha Mapinduzi - CCM Member 1977 Todate

TANU Member 1971 1977

TANU Youth Leader 1967 1968
 
hizi ni shutuma za uongo kabisa, tena uongo mkubwa. Ni kweli kwamba Prof. Mwandosya anaudhaifu kama binadamu lakini siyo hizi shutma zako zisizo na msingi.

Kwa mfano Mwandosya hana haja ya kumzonga Sitta, wanaomzonga Sitta ni mafisadi unaowaficha hapa akina RA, EL et al. Ni lini Mwandosya alikuwa Waziri wa Ardhi? Kwa taarifa yako Mwandosya hajapitia uliyoyaandika ktk hiyo CV yako. au unamchanganya na mtu mwingine?

CV ya Mwandosya hii hapa
sorry if my comments has cause any upset
fikiria kidogo
nani alikuwa mkurugenzi wa aicc, waziri wa ardhi, kaingiza tanesco mkenge na kampuni ya kufufua umeme na anamshambulia sita
 
sorry if my comments has cause any upset
fikiria kidogo
nani alikuwa mkurugenzi wa aicc, waziri wa ardhi, kaingiza tanesco mkenge na kampuni ya kufufua umeme na anamshambulia sita

True dude, your comments are bad lies. CV ya Mwandosya nimeiweka hapo juu.
 
HINT:
Mwandosya ni rafiki mkubwa wa Lowassa

Mwandosya ni rafiki mkubwa wa Mkapa

.......what does that tell you
 
mwandosya aliiba hela nyingi sana akiwa mkurugenzi wa aicc
mwandosya aliiba viwanja vingi na kuviuza kwa wahindi akiwa wizara ya ardhi
mwandosya ameliingizia taifa hasara sana kutokana na ulafi wake wa tanesco
mwandosya amewatuma wajumbe wa nec wamshambulie sita kwa ajili anamuandama kuwa yeye ni fisadi

hehehe ... kwa wale ambao hawakupata sarcasm hii, you just substitute Mwandosya with LOWASSA.
 
Lowasa = Mtandao
Mwandosya X= Mtandao

hence: Mwandosya can't substitute Lowasa.
 
Lowasa = Mtandao
Mwandosya X= Mtandao

hence: Mwandosya can't substitute Lowasa.

Hukunipata ndugu yangu. Mwandosya hajawahi kuwa Mkurugenzi wa AICC, Waziri wa Ardhi n.k. Nafasi hizo alishika Lowassa. Wasifu wa Mwandosya umewekwa kwenye post yangu ya awali, au nenda hapa
 
Hukunipata ndugu yangu. Mwandosya hajawahi kuwa Mkurugenzi wa AICC, Waziri wa Ardhi n.k. Nafasi hizo alishika Lowassa. Wasifu wa Mwandosya umewekwa kwenye post yangu ya awali, au nenda hapa

sawa mkuu lakini maneno kama haya hapa chini yanaleta maana tofauti sana na sanaa mlioitumia (wewe kwa kum-support Semilong) kwamba substitute Mwandosya by Lowasa. Maana inayoelewaka zaidi ni kumchafua Mwandosya. Ona akina Ogah wame-support uongo huo.

mwandosya aliiba hela nyingi sana akiwa mkurugenzi wa aicc
mwandosya aliiba viwanja vingi na kuviuza kwa wahindi akiwa wizara ya ardhi
mwandosya ameliingizia taifa hasara sana kutokana na ulafi wake wa tanesco
mwandosya amewatuma wajumbe wa nec wamshambulie sita kwa ajili anamuandama kuwa yeye ni fisadi
 
Mwandosya is a good academic but not a good politician!! He has failed to build and consolidate his base unilike fisadi Lowassa who has people who can die for him!!
 
mwandosya aliiba hela nyingi sana akiwa mkurugenzi wa aicc
mwandosya aliiba viwanja vingi na kuviuza kwa wahindi akiwa wizara ya ardhi
mwandosya ameliingizia taifa hasara sana kutokana na ulafi wake wa tanesco
mwandosya amewatuma wajumbe wa nec wamshambulie sita kwa ajili anamuandama kuwa yeye ni fisadi

Hah ha ha ha replace Mwandosya with Lowassa and add:

Lowassa sold church plot at Mbezi Lutheran church to Imalaseko Mbezi etc
 
sawa mkuu lakini maneno kama haya hapa chini yanaleta maana tofauti sana na sanaa mlioitumia (wewe kwa kum-support Semilong) kwamba substitute Mwandosya by Lowasa. Maana inayoelewaka zaidi ni kumchafua Mwandosya. Ona akina Ogah wame-support uongo huo.

Niliandika kitu ninachokifahamu, na si kusimuliwa au kusikia.....sijui ni wapi nime-support uongo mkuu
 
Back
Top Bottom