Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
I like this thread and where we are going. Tusiuziwe " mlio wa buzi kwenye gunia". Tuanzie hapa kuuliza maswali haya baadaye wananchi watatuunga mkono. Kama JF ni great thinkers, tuache kuambiwa fulani ni kiongozi mzuri, anafaa, ana mastashahada mengi, sawa lakini amefanya nini kupeleka nchi hii mbele.