Ushindi feki wa HAMAS ulikuwa ni wa masaa 12. Sasa ni miezi 12 wanapukutika na kusababishia Wapalestina kutaabika

Ushindi feki wa HAMAS ulikuwa ni wa masaa 12. Sasa ni miezi 12 wanapukutika na kusababishia Wapalestina kutaabika

Tukiwambia Israel yeye kashinda vita vya genocide sio vya kijeshi muwe mnatusikiliza. Hana alicho fanya Israel kwenye mambo ya jeshi, Hamas wanapiga Israel tena kwa kutumia Missiles na wanapiga Tela Aviv. Afu we muza nguruwe kule njombe unasema ushindi fake. Israel mwaka mzima anapigana na kikundi hawafiki hata wanamgambo 7000 na anatumia mpaa sila zilizo haramishwa duniani kashindwa wamaliza Hamas. Anasaidiwa na USA, UK, France, Canada, Germany, South Korea, Serbia India, Ethopia, Philippines, Italy, Spain, UAE, Saud Arabia, Jordan, Baharain, na Morocco

Kajidai kamua Yahya Sinwar na Mohamed Al Dheify jana Mohamad Al Dheifu katoa speech walijidai wamemua Abu Obaida pia katoa Speech 😄

Kule Lebanon wanasema week nzima tumemuwa Hashem Saif Al Din leo wanasema hatuna uhakika 😄

Oh oh oh Israel inaona kila kitu niliwambia wache wavae Pampers hawana lolote wanalo lijua
 
Kama Israel wanapambana na kikundi kidogo cha panya rodi kwa muda wote huo bila kukimaliza chote basi wana jeshi dhaifu sana wasijaribu vita na Iran
Unazijua kambi za kijeshi za Hamas zilipo? Najua fika unaelewa mantiki ya swali langu. Sasa naomba kunijibu accordingly
 
Tukiwambia Israel yeye kashinda vita vya genocide sio vya kijeshi muwe mnatusikiliza. Hana alicho fanya Israel kwenye mambo ya jeshi, Hamas wanapiga Israel tena kwa kutumia Missiles na wanapiga Tela Aviv. Afu we muza nguruwe kule njombe unasema ushindi fake. Israel mwaka mzima anapigana na kikundi hawafiki hata wanamgambo 7000 na anatumia mpaa sila zilizo haramishwa duniani kashindwa wamaliza Hamas. Anasaidiwa na USA, UK, France, Canada, Germany, South Korea, Serbia India, Ethopia, Philippines, Italy, Spain, UAE, Saud Arabia, Jordan, Baharain, na Morocco

Kajidai kamua Yahya Sinwar na Mohamed Al Dheify jana Mohamad Al Dheifu katoa speech walijidai wamemua Abu Obaida pia katoa Speech 😄

Kule Lebanon wanasema week nzima tumemuwa Hashem Saif Al Din leo wanasema hatuna uhakika 😄

Oh oh oh Israel inaona kila kitu niliwambia wache wavae Pampers hawana lolote wanalo lijua
Waonyeshe Idf kambi za kijeshi za hamas zilipo halafu baada ya nusu saa uje ujampe tena humu. Yako matakoni mwa wanawake tu sasa hivi yametulia tuliiii. Yakilipuliwa pamoja na watoto na wanawake...... Al Jazeera wanakimbilia kutaja idadi ya waliokufa na kwa msisitizo wanataja idadi ya watoto na wanawake. NO ONE CARES ANY MORE MPAKA WAKOME KABSA MANINA
 
Waonyeshe Idf kambi za kijeshi za hamas zilipo halafu baada ya nusu saa uje ujampe tena humu. Yako matakoni mwa wanawake tu sasa hivi yametulia tuliiii. Yakilipuliwa pamoja na watoto na wanawake...... Al Jazeera wanakimbilia kutaja idadi ya waliokufa na kwa msisitizo wanataja idadi ya watoto na wanawake. NO ONE CARES ANY MORE MPAKA WAKOME KABSA MANINA
We hivi una umri hata wa miaka 5 au bado hujafika, hizi ni akili za kitoto kuna nchi inaonyesha adui zake wapi wanaweka silaha? Huyo Israel camp zake huruhusiwi hata kusogelea na kuzipiga picture au kujua zilipo.

Swali la pili kuna Super power akashindwa ona silaha ziko wapi? Sa huyo ni super Pampers. Wambie watuonyeshe hata Mk45 wamekuta kwenye majumba wanayo piga na Gaza wameivunja majumba mengi watoe dalili wamekuta Missiles za Hamas?

Akili zako ni za kitoto sana wewe hata mtoto wa miaka 5 anakuzidi akili
 
We hivi una umri hata wa miaka 5 au bado hujafika, hizi ni akili za kitoto kuna nchi inaonyesha adui zake wapi wanaweka silaha? Huyo Israel camp zake huruhusiwi hata kusogelea na kuzipiga picture au kujua zilipo.

Swali la pili kuna Super power akashindwa ona silaha ziko wapi? Sa huyo ni super Pampers. Wambie watuonyeshe hata Mk45 wamekuta kwenye majumba wanayo piga na Gaza wameivunja majumba mengi watoe dalili wamekuta Missiles za Hamas?

Akili zako ni za kitoto sana wewe hata mtoto wa miaka 5 anakuzidi akili
Unajua maana ya combat war? Je hiyo vita ya Israel na Hamas inaitwaje? Hivi hapa napoandika mda huu hamas wako kwenye kambi zao na wamevaa gwanda au wako kwenye makazi ya watu na na kwenye miundo mbinu ya kiraia na umma? Nini huelewi mwehu wewe!!!! DINI INAKUFANYA UNAKUWA KILAZA KIASI HIKI!!!! UNAZANI ANGEKUWA URUSI AU CHINA RAIA WAKE WACHINJWE VILE TAREHE 7/10 TUNGEKUWA TUNAONGELEA WATU 41 ELFU TU....UNAZANI RUSSIA ANGEKUBALI UJING WA HAMASWA KIJIFICHA KWA WANAWAKE NA WATOTO. Ulitaka Israel apige bomu linalokwepa watoto na wanawake halafu linauwa hamas tu wakati mda wote wako pamoja sehemu moja!!!! STUPID
 
Back
Top Bottom