Takriban saa 24 zikiwa zimepita tangu Eliud Kipchoge kuvunja rekodi ya kukimbia Marathon kwa muda wa chini ya saa mbili, Brigid Kosgei avunja rekodi ya muda wa kukimbia Marathon kwa Wanawake
Kosgei (25) ameweka rekodi ya kumaliza mbio za Marathon kwa kutumia saa 2, dakika 14 na sekunde 04 akivunja rekodi iliyokuwepo kwa dakika moja na sekunde 21, iliyokuwa ikishikiliwa na raia wa Uingereza, Paula Radcliffe (16)
Kosgei aliyevunja rekodi hiyo kwenye Chicago Marathon, mapema mwaka huu, aliweka rekodi ya kuwa Mwanariadha mdogo kushinda London Marathon akitumia muda wa 2:18:20
********
Hardly 24 hours after World record holder Eliud Kipchoge broke the sub-two hour barrier in Vienna, another Kenyan, Brigid Kosgei followed suit after smashing the women's marathon record.
Kosgei clocked 2:14:04 to break the 16-year old record held by British Paula Radcliffe by a massive minute and 21 seconds.
Kosgei, 25, etched her name in history books for becoming the youngest marathoner to win the London Marathon early this year where she clocked 2:18:20.
Ethiopa's Ababel Yeshaneh was second in Chicago, six minutes 47 seconds behind.
Meanwhile, another Kenyan and reigning Boston Marathon champion Lawrence Cherono claimed the men's race, clocking 2:05:42.
Cherono, who was making his second appearance in a senior marathon, said the pacesetters withdrew barely 30 kilometres into the race but managed to soldier on.
Kosgei (25) ameweka rekodi ya kumaliza mbio za Marathon kwa kutumia saa 2, dakika 14 na sekunde 04 akivunja rekodi iliyokuwepo kwa dakika moja na sekunde 21, iliyokuwa ikishikiliwa na raia wa Uingereza, Paula Radcliffe (16)
Kosgei aliyevunja rekodi hiyo kwenye Chicago Marathon, mapema mwaka huu, aliweka rekodi ya kuwa Mwanariadha mdogo kushinda London Marathon akitumia muda wa 2:18:20
********
Hardly 24 hours after World record holder Eliud Kipchoge broke the sub-two hour barrier in Vienna, another Kenyan, Brigid Kosgei followed suit after smashing the women's marathon record.
Kosgei clocked 2:14:04 to break the 16-year old record held by British Paula Radcliffe by a massive minute and 21 seconds.
Kosgei, 25, etched her name in history books for becoming the youngest marathoner to win the London Marathon early this year where she clocked 2:18:20.
Ethiopa's Ababel Yeshaneh was second in Chicago, six minutes 47 seconds behind.
Meanwhile, another Kenyan and reigning Boston Marathon champion Lawrence Cherono claimed the men's race, clocking 2:05:42.
Cherono, who was making his second appearance in a senior marathon, said the pacesetters withdrew barely 30 kilometres into the race but managed to soldier on.