Uchaguzi 2020 Ushindi mkubwa wa Rais John Magufuli, utatoka kwa wanyonge na Wananchi wa kawaida kabisa

Acha kuandika PUMBA! Kawafanyia nini wanyonge hadi wampigie kura? Hajiamini huyo na ndiyo sababu hataki kuisikia TUME HURU maana saa nne asubuhi tu atakuwa KISHAGARAGAZWA Nchi nzima.
Pusha kama wewe huwezi uelewa
 
Nyerere hakuwa hovyo namna hii tafadhali tutake radhi.

Wapinzani buanaah....

Haya mchungaji Chakwera,Rais MPYA wa Malawi MLIYEMSHABIKIA ameanza kazi....
Ameteua BARAZA la mawaziri la ajabu na kuamsha hisia....

Amejaza marafiki,ndugu,na baadhi ya wizara ameteua MUME(waziri) MKE(naibu)....

Sasa nawashangaa wamalawi waliotaka MABADILIKO halafu wanaanza kumzodoa😂😂😂😂😂

MAISHA NI ZAIDI YA KUPINGAPINGA.....
 
TAAHIRA mwingine huyu!!! Hata Mkapa baada ya kutosema chochote kile kuhusu TUME HURU sasa kauona ukweli na kwa kuwa hafurahii mwelekeo wa Nchi kaanza kuyasema yale ambayo GENGE lenu la WAHUNI linayahofia. Sauti za kuunga mkono kauli ya Mkapa zitazidi kuongezeka tu ndani ya GENGE LA WAHUNI na ZWAZWA wewe utabaki uking'aa macho.


Pusha kama wewe huwezi uelewa
 
Taka ngumu hizi! Zinahitaji dampo la kisasa kuchakatwa maana zimeanza kuoza
Yaani nataka nikirudi huko Tz Disemba,nikae na wanazuoni wa pale Mlimani niwaulize tatizo hasa la kuwa na wahitimu namna hii ni nini, na kama kuna yeyote anayeweza kufanya tafiti ili tukinge kizazi kijacho na mtindio huu wa mawazo.
 
Miaka 60 bado kuna wanyonge ukiwauliza hawa wanyonge kwanini wanaendelea kuwa wanyonge katika nchi ambayo ina rasilimali nyingi za utajiri na wachache nyinyi mnakuwa mamilionea na wengine mabilionea? Wanakosa jibu! MACCM ni JANGA linalolitafuna Taifa.

Nchi huru alafu kuna wanyonge?hivi kile chuo cha Kigamboni kinawafundisha nini siku hizi
 
Huwezi jua mbinu hizi ukiwa kilaza kama wewe
 
Inaona mingi jpm kawanyoosha kama rula
 
Yaani nataka nikirudi huko Tz Disemba,nikae na wanazuoni wa pale Mlimani niwaulize tatizo hasa la kuwa na wahitimu namna hii ni nini, na kama kuna yeyote anayeweza kufanya tafiti ili tukinge kizazi kijacho na mtindio huu wa mawazo.
Utoke kenya kuuza bar
 
Hahahahahaha eti mbinu. Hebu toa UJUHA wako hapa!!! Hakuna mbinu hapo ZWAZWA bali ni kutaka kuona Chaguzi HURU na za HAKI ili kumuondoa huyo dikteta madarakani. Kwani Mkapa anajua fika kwamba bila TUME HURU dikteta atang'ang'ania madarakani kama M7.

Huwezi jua mbinu hizi ukiwa kilaza kama wewe
 
Yaani nataka nikirudi huko Tz Disemba,nikae na wanazuoni wa pale Mlimani niwaulize tatizo hasa la kuwa na wahitimu namna hii ni nini, na kama kuna yeyote anayeweza kufanya tafiti ili tukinge kizazi kijacho na mtindio huu wa mawazo.
Utoke nje ya wapi hapo mbagala
 
Hawa wananchi wanyonge ni wakina nani?
Tatizo kubwa kwa sasa la vijana ni unafiki na kujipendekeza.
 
Kwakipi alichowafanyia wanyonge,kuwavunjia nyumba zao , kushindwa kuongeza mishahara, kushindwa kuajiri kwa miaka mitano,kupunguza mzunguko wa fedha,kujenga uwanja wa ndege chato kununua ndege,bila idhini ya bunge?
 
Nilipoona mwisho kuna namba za simu nikajua ni moja kati ya wale vijana ambao wapo kimaslahi zaidi
 
Ni akina nani hao wanyonge? Mbona nimekuwa nikisikia sana hii kitu wanyonge? Nchi hii kuna wanyonge na wasio wanyonge? Nani anawanyonga wanyonge hadi wanatambulika hadharani?
Hujiulizi kwanini WB imetuweka kwenye kundi la Lower Middle Income? Duniani sisi ndio wanyonge wenyewe sasa, hii inaleta maana gani? Maana yake ni kwamba hata kitaifa kunawanyonge pia. Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
 
Umejitahidi kuweka number ya cm lkn ungalimshauri huyo boss wako akubali kuweka tume huru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…