Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, nilisikia tuu kuwa ma VEO na ma WEO waliitwa Ikulu na mkutano ulikuwa live, lakini mimi sikuwepo nchini ns wala sikuwahi kufuatilia waliutiwa nini, ila just by ordinary common sense, na VEO na ma WEO ndio shina la The Executive, hivyo yeye kama Mkuu wa Mhimili huu has all the rights kuwaita kukaa nao, kuzungumza nao, kusemezana nao, kuwasikiliza changamoto zao na kuwapa maelekezo yoyote halali kwa mujibu wa majukumu yao. Kama kuna maelekezo yoyote specific kuhusu hili la uchaguzi wa serikali za mitaa aliyatoa, na ndio yamesababisha hali hii, please share maana mkutano ulikuwa live.
P
 
Nikikumbuka ule ushiondi wa 99% serikali za mitaa nacheka sana hahaha
Wewe cheka tuu, wakati wenzenu wanasherehekea ushindi huo wa kishindo, uliopatikana katika uchaguzi huru na wa haki, ombi langu, endelea kucheka ila usije humu kutulilia baada ya uchaguzi mkuu wa 2020.
P
 
Simba wanawakilisha wapinzani na Yanga wanawakilisha chama pendwa CCM. Angalia Simba siyo wamoja mwone Manara na hasa wakifungwa. Can not collect themself and come to terms with results. Hongereni sana Yanga Shishimbi et al; Hongereni CCM.
 
Wewe cheka tuu, wakati wenzenu wanasherehekea ushindi huo wa kishindo, uliopatikana katika uchaguzi huru na wa haki, ombi langu, endelea kucheka ila usije humu kutulilia baada ya uchaguzi mkuu wa 2020.
P
Hakuna la kufanya.Mwizi kawazidi nguvu.

Sana sana ni kujipa moyo kuwa siku za mwizi ni 40 tu.
 

Pascal ng'wanamayalla,
Hivi unajua kile kikao Cha Magufuli pamoja na VEOs na WEOs Kuna maelekezo MAALUMU WALIYOPEWA NA MAGUFULI ILI KUHAKIKISHA CCM INASHINDA KWENYE UCHAGUZI WA SM?
Ushahidi:
1. Pesa waliyolipwa ilikuwa ni "TAKRIMA" tosha ya kuwafanya walainike kutekeleza maelekezo ya Mkuu...! TAKRIMA ni lugha inayotumika ndani ya CCM badala ya RUSHWA.
2. Wakti wa kikao kuna kipindi Magufuli aliongea na Hawa jamaa akiwa OFF LINE/AIR.....! Hapo ndipo maelekezo ya kibabe yalipotolewa....!
 
Mkuu mayalla, wewe siyo mtu mdogo kwenye hii Tanzania, Hakuna siku umeona dosari za utendaji wa magufuli, na kama ulijaribu kumkosoa ni kijisafisha mbele za watu.
Duh...!.
Karibu mitaa hii ushuhudie jinsi ninavyosifu na kupongeza!.
P
 
Bwana Paskali nataka kukuhakikishia kuwa
kwa mwandishi kama wewe unapaswa kutumia kalamu yako kuelemisha jamii,badala ya kutia jamii hofu.
Mkuu Nanyaro, karibu mitaa hii, au na hapa ni kuwatia watu hofu?.
P.
 
Japo kampeni zimeanza, its not too late ushauri wa bandiko hili ukifuatwa na haki ikatendeka hata kwa wasio stahili.
P
 
Pasckal kiaina bado unalilia teuzi.

na kiufupi ukishakuwa fisiemu haupaswi kuwa na hurumahuruma

ndio maana ulikatwa:hawakuelewi uko upande gani

Mayalla a.k.a Njaa yuko Kama Bundi!
Wakija ndege anadai naye Ni Ndege!
Wakija Wanyama naye anadai ni Mnyama.....🤣🤣
 
Hahaha ccm washindane?! Wote walishazoea kuteuliwa kushindana hawawezi.

mi nashangaa wewe ulipata kura moja ukaachwa kawe, Katambi anagombea, Gwajima anagombea, au nawe unasubiria kuteuliwa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…