Uchaguzi 2020 Ushindi wa CCM Oktoba 2020 itakuwa ni fedheha kwa CHADEMA na ACT Wazalendo na upinzani wote

Uchaguzi 2020 Ushindi wa CCM Oktoba 2020 itakuwa ni fedheha kwa CHADEMA na ACT Wazalendo na upinzani wote

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,380
USHINDI WA CCM OKTOBA 2020 ITAKUWA FEDHEHA KWA UPINZANI HASA CHADEMA NA ACT.

Niliwaambia wapinzani waungane waunde Umoja utakaoitwa MUMAFI (MUUNGANO WA MABADILIKO YA FIKIRA) lakini wamekubali kugawana kura kiulani Sana, kwa ubishi huu wa kujifanya mnajua Sana kuliko watazamaji wanaojua Nini kinaendelea, yaani hata Serikali ya Mseto hamtaipata kwa mtindo huu.

Unajua Kiongozi mwenye Busara anasikiliza na kuelewa lakini ndugu zangu na jamà zangu Wapinzani hawaelewi kabisa, wanafanya siasa kwa kukariri.

1.Wagombea wao wameuza majimbo na kata na wanasingizia ni mapingamizi ili Hali najua michezo yote ya Uchaguzi.

2.Membe na ACT watashangaa sapoti inapotea kabisa na hawatajua inatokea wapi.

3.Mbowe na Lisu itawalazimu kutafuta mganga wa Fikra kuwaokoa dakika za mwisho.

4.CCM japo watashinda kwa mbinde lakini kwasababu ya ujinga wa Vyama vya Upinzani.

4.CUF itapata nguvu baada ya huu Uchaguzi wa mwaka 2020 na kitakuwa Chama kizuri Cha kuaminiwa.

Leo DON NALIMISON naishia hapa.
Simu Na: 0682 94 29 01.
Dodoma.

IMG_20200902_075143_422.jpg
 
Ukirogwa hata ukipimwa milembe au hospital kubwa za kimataifa watakuambia wewe ni mzima na hauumwi kitu. Ila ukiwa mtaani wewe ni mgonjwa wa akili 100%. Nenda kanisani kaombewe
 
Sahau hiyo mkuu. Watawala mwisho wao mwaka huu. Itabidi mkubali tu hakuna namna.
 
Ikitokea kweli CCM ikashinda kihalali itakuwa hivyo ulivyosema. Ijitahidi basi kufanya uchaguzi wa haki. Mwaka huu hata mabubu watasema!
 
for five years vyombo vyote vya habari vimeandika habari za CCM na Mgombea JPM tu,ni juzi tumeshuhudia vyombo vikiondoa post zao zote zinamhusu lissu ukiwa uliza wanakwambia wametishwa,CCM imetuaminisha ushindi 80% pia CCM imekua madarakani muda wote hiyo fedheha kwa ACT na CHADEMA inatoka wapi.

Mimi kwa mtazamo wangu JPM akishinda kwa chini ya asilimia 60% fairly ni fedheha kwako kwa kua atakua ameongeza asilimia chache pamoja na kutuaminisha kua watu wote wanampenda.Lakini bila Rafu JPM hawezi shinda zaidi 55%
 
Sema ni vipi wataungana. Je, ni rahisi kulingana maxingira na sheria?
 
Ili tuwalaumu kwa haki inabidi kwanza kuwe na FREE AND FAIR election.
 
Bado siku zipo za kutafakari act bora waachie wajikite kule visiwani
 
Kipindi uko gerezani sheria ya uchaguzi ilibadilishwa, ni marufuku kuungana bila baraka za msajili wa vyama.

Kinachofanywa na upinzani kwa sasa ni muungano usio rasmi, kuna maeneo ACT watatia nguvu zaidi na kuna maeneo CDM watatia nguvu zaidi.
 
Nikiangalia kwa jicho la tofauti hali halisi inaonesha ccm na act watagawana kura huku Tundu Lissu na chadema wakiibuka kidedea..........

Hata ukiamua Kuweka poll leo utaona tungu Lissu akiwaacha mbali sn wapinzani wake
 

Attachments

  • IMG-20200901-WA0075.jpg
    IMG-20200901-WA0075.jpg
    30.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom