Ushindi wa Ethiopia jimbo la Tigray uko wazi

Ushindi wa Ethiopia jimbo la Tigray uko wazi

Hao vijana huko Sudan wataenda kupata mafunzo nadhimu ya kijeshi na watapata ufadhiri wa silaha kutoka nchi za magharibi, watakaporudi for revenge ndo utaelewa.... Kiufupi ushindi wa kijeshi ni kama adui anajisalimisha kwako, sio akimbie nchi nyingine ambayo huwezi kumfata.
Hawaonekani kuwa na moyo huo.Wale fikra zao zote ni kukimbia na wakipata fursa huko Sudan wanaweza kufika mpaka Tanzania.Ingekuwa wamepigana kidogo wakapata misukosuko tungedhani kuwa wakipata mafunzo watarudi,kumbe wamekimbia kwa kusikia ndege za kijeshi zikiruka juu.Viongozi wa Tigray hawana wanamgambo kabisa kusogeza mbele vita. Mamluki wa kirusi na kifaransa hawana sababu ya kwenda Tigray.
 
Abiy ni akili kubwa,aliposhika madaraka alijua kwamba hasimu wake mkubwa ni Tigray kwa hiyo akawahi kwa adui wa nje wa Tigray ambaye ni Eritrea ambao walikuwa wanateswa sana na Viongozi wa Tigray walipokuwa ofisini Addis.Baada ya kuyajenga na Eritrea akaanza kuwaengua taratibu maofisa wa Tigray kwenye vyeo vya juu ndio hapo wakaanza chokochoko kwa hiyo aliwatega.
Wakaingia kingi sasa ndio anawamaliza rasmi ili wawe wa kawaida kama wengine maana walijiona sana hawa na bahati mbaya hakuna wa kuwasemea hawana rafiki wala jirani mwema ndani na nje ya nchi.Bado wajuaji wenzio watusi wa Rwanda wakiongozwa na dikteta PK
 
Leo watigray wamekomboa mji mmoja ulitekwa na ethiopia juzi
1605976167465.png


Mji gani uliokombolewa huo.Wanaoweza kuwa wapiganaji wa Tigray ndio hawa wapo kwenye foleni ya chakula nchini Sudan. Hao makamanda wa Tigray itakuwa hawaungwi mkono na watu wao itakuwa wana ajenda za kibinafsi sana na hawana uchumi wala fedha za kuwashawishi vijana wajiunge nao.
 
View attachment 1631651

Mji gani uliokombolewa huo.Wanaoweza kuwa wapiganaji wa Tigray ndio hawa wapo kwenye foleni ya chakula nchini Sudan. Hao makamanda wa Tigray itakuwa hawaungwi mkono na watu wao itakuwa wana ajenda za kibinafsi sana na hawana uchumi wala fedha za kuwashawishi vijana wajiunge nao.
Huku sera ni ubwabwa tu akupiganie nani.....
Rungwe akachukue jimbo
 
Back
Top Bottom