mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Hawezi kukubali marudiano,hili lenyewe kasumbua sana.
Sijui alikua hataki/anaogopa/anadharau? Hata cjui?
Mwisho wa siku chai imeungwa chumvi,na watu wamekubali kuinywa.watafanyaje sasa!
Wajanja washapiga pesa! Hapo hakuna cha pambano la karne wala nini! Kama kweli Hilo lilikuwa pambano la karne, basi mchezo wa ngumi utakuwa umefilisika sana! Kwa kifupi dunia imepigwa changa la macho! huu ni utapeli! Pambano halikustahili gharama na sifa hizo! Dunia imeshuhudia wavulana wa kilo 66 wakiruka ruka na kudonoana na hakuna kukalishana chini halafu tukubali kuwa ni pambano la karne! Hili lilikuwa ni dili la karne! Nimependa ulivyoiweka, chai imeungwa chumvi! Ni kweli mabondia ni wazuri lakini si Kivile!