Ushindi wa Raila una sura ya kitaifa kuliko wa Kenyatta

Ushindi wa Raila una sura ya kitaifa kuliko wa Kenyatta

Sibishi ila Kenyatta kachaguliwa kwa simple majority Ya ethinic group chache kuliko raila odinga kenya kuna makabila zaidi Ya 40 odinga kapata kura kwenye asilimia kubwa Ya hayo makabila tofauti na Kenyatta .Kura za odinga zina sura Ya kitaifa kuliko za Kenyatta
That is immaterial.

Ndiyo habari za "kufungwa tumefungwa lakini chenga tumewala".

Huko kwenye sura ya kitaifa angalia senators na givernors. Usiangalie nani kampigia kura rais wapi. Kura moja ya Mkenya ina uzito sawa na kura nyingine ya Mkenya bila kujali imetoka wapi.

Hayo mambo ya kuangalia kura zimetokea wapi yamewatokea puani Wamarekani kwa kufanya wakazi wa states zenye watu wachache kura moja yao iwe na uzito mkubwa kuliko states zenye watu wengi. Matokeo yake states hizo ndizo zina uzito mkubwa kuchagua rais. That is not fair.

Sent from my Kimulimuli
 
Sibishi ila Kenyatta kachaguliwa kwa simple majority Ya ethinic group chache kuliko raila odinga kenya kuna makabila zaidi Ya 40 odinga kapata kura kwenye asilimia kubwa Ya hayo makabila tofauti na Kenyatta .Kura za odinga zina sura Ya kitaifa kuliko za Kenyatta
Mkuu tulio kuelewa tumeelewa huyo hata hajui unachokisema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raila odinga naweza sema alijipanga kikenya zaidi kuwa mgombea wa wakenya wote wakati Kenyatta alijikita tu kwenye numbers kuwa wapi atapata Kura nyingi alilenga kushinda kura tu bila kujali kuwa kura zinatoka ethinic group moja au la? Kwa National voting strategy raila odinga was better than Kenyatta
Kwamba Uhuru kapata kura nyingibsehemu fulani haimaanishi alilenga huko tu. Inabidi uwe na ushahidi zaidi ya matokeo ya kura tu ili ukisema hivyo iweze kuaminika.

Mimi nilijua Uhuru atashinda.

Raila Odinga hata kuongea tu hawezi.

Anaongea kama anasinzia. Ndiyo mtu wa kupewa nchi huyo?

Halafu Raila mdingi kweli. Kamzidi Uhuru miaka 18. Bado kidogo angeweza kuwa baba yake.

Sent from my Kimulimuli
 
Raila aliponzwa kwa kauli zake kuiga sera za jpm. Watumishi wa uma Kenya wasingekubaliana wakati wanaona wenzao wa tz wanakaangwa na kupoteza haki zao hivi hivi. Wameona heri Uhuru wanaemjua vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamaanisha ushindi wa Raila wa kutoa kafara mioyo wa wafuasi wake au? Kwa hilo pekee ndo Raila huwa anashinda bila upinzani!
 
Shukrani mkuu.mimi naongelea kura Za uraisi

Tatizo ni elimu au nini?

Kenya ni lazima upate at least 25% kwa kaunti 24 ili uwe Rais:

Uhuru Kenyatta - Counties with 25% - 35
Raila Odinga - Counties with 25% - 29

Kenyatta alishinda Kaunti 26
Raila alishinda kaunti 21

Picha umeonyeshwa hapa:
uk1-jpg.563983
 
Acha uvivu ingia website ya tume unataka kutafuniwa kila kitu? Jamii forums hapakufai nenda majukwaa Ya udaku
Mkuu hapa sio mahali pa Ndiooo kama wale wabunge wapenda kushangilia, habari inatakiwa iwe na facts.
Sasa ulikuwa na maana gani kuleta habari nusu, si bora usingeileta kabisa maana unalazimisha tufanye jambo ambalo unalitaka mwenyewe.
 
Nimepitia matokeo yote Ya uchaguzi kenya. Ukiyatazama Raila karibu maeneo yote ya Kenya kapata kura za kutosha kasoro machache sana. Kenyatta kura zake zimerundikana maeneo machache ya nchi hazijasambaa Kama Za odinga. kitaifa naweza sema odinga Ana watu wanaomkubali wengi kila upande wa Kenya kasoro maeneo machache. Ushahidi matokeo ya tume ya uchaguzi. Odinga kajitwalia kura za kutosha karibu kenya nzima
Itawezekana vipi anukubalika zaidi alafu akashindwa mara nne ,amepoteza maGavana zaidi na akashindwa kwa 10% zaidi ya alivyoshindwa 2013? Nyie watu mnatafuta tu vijisababu za kufutia machozi.
 
Sibishi ila Kenyatta kachaguliwa kwa simple majority Ya ethinic group chache kuliko raila odinga kenya kuna makabila zaidi Ya 40 odinga kapata kura kwenye asilimia kubwa Ya hayo makabila tofauti na Kenyatta .Kura za odinga zina sura Ya kitaifa kuliko za Kenyatta
Unaweza sema pia kura za Odinga zina sura potovu ya umaskini na watu wenye hisia za "serikali saidia" I can tell you for a fact watu kama wale hawawezi kujenga inchi with that mindset.There are times when you have to disagree with watu wapotovu hata kama ndio wao majority.
 
Back
Top Bottom