Ushindi wa Simba dhidi ya Dodoma jiji utawapa confidence ya kucheza na Yanga

Ushindi wa Simba dhidi ya Dodoma jiji utawapa confidence ya kucheza na Yanga

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Uchambuzi
Sisi kama wachambuzi tumefurahishwa na ushindi mkubwa wa timu ya Simba dhidi ya Dodoma jiji Kwani ushindi huu utaleta balance kubwa kwenye ligi sababu confidence ya Makolo itakuwa restored Kwani hapo kabla

Kwa zandaan kabsa inasemekana Wanasimba walikuwa wanatetemeka Kila siku ya derby ikikaribia.... But baada ya hiyo siku kufika makolo wakatafuta sababu ya uongo wakakimbia[emoji23][emoji23]

NB Simba watapata confidence kubwa ya kucheza na Yanga Baada ya kushinda heavily Kwa Dodoma jiji....lakin hawataamini
1741629535039.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Uchambuzi
Sisi kama wachambuzi tumefurahishwa na ushindi mkubwa wa timu ya Simba dhidi ya Dodoma jiji Kwani ushindi huu utaleta balance kubwa kwenye ligi sababu confidence ya Makolo itakuwa restored Kwani hapo kabla

Kwa zandaan kabsa inasemekana Wanasimba walikuwa wanatetemeka Kila siku ya derby ikikaribia.... But baada ya hiyo siku kufika makolo wakatafuta sababu ya uongo wakakimbia[emoji23][emoji23]

NB Simba watapata confidence kubwa ya kucheza na Yanga Baada ya kushinda heavily Kwa Dodoma jiji....lakin hawataamini View attachment 3270853

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Tunataka point zetu tatu na goli zetu tatu,hata kama mtakuja na fisi ni nyie tu.Siku ya kucheza mechi tulifika uwanjani ila nyie mlituma mbuzi wa wachungaji wao wazee.
 
Ushindi wa bahasha na kutegemea waamuzi, ni tofauti sana na ushindi wa kupambana uwanjani.
Dodoma na Singida ni matawi ya Utopolo,usitegemee wamiliki wa Yanga Mavunde na Mwigulu wakapokea bahasha ya Simba,ndio maana kwenye mechi dhidi yenu waliwapangia vikosi vya pili na mkafunga magoli ya mkono pia
 
fadlu jana kawasema sna wachezaji,unawafungaje dodoma jiji goli 6.hzo zilikuwa zina wenyewe
 
Back
Top Bottom