Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wafanye mazoezi miaka 10...Simba bado sana Kwa yangaSemeni tu lini mnataka,mtaruhusu tufanye mazoezi
Mkuu...bongo Kila kitu kinawezekana[emoji23]Mpira ni pesa. Watu wawekeze pesa zao then waachie iliwafungwe kwa ajili ya kurudisha morali ya timu pizani mkuu. laban ukosiriazi kweli.
Sasa vipi chura anayeogopa mbuzi na chura siyeogopa simba?Kwamba chura na koo zake ni wa kuogopwa?
Chura hawa hawa wanaoogopa hadi mbuzi?
SImba anayetishiwa na chura,hawezi ruhusiwa na chura,hadi muonyeshe mnachokiita ubwala ubwele.Semeni tu lini mnataka,mtaruhusu tufanye mazoezi
Walikataa referee wa mchongoWale madai yao hayako kikanuni,labda hujui chanzo cha kugomea mechi
Chura anayeogopa Simba keshatangaza nia kwamba hatacheza mechi namba 184..Sasa vipi chura anayeogopa mbuzi na chura siyeogopa simba?
Ndio kanuni zao zinataka referee wa nje?Walikataa referee wa mchongo
Wewe ndio hujui chochote zaidi ya ushabiki, mwisho utasema na ya Kagoma mlishinda pamoja na kutembea na mkataba wake,kila siku huko CAS mnashindwa kesiSema tu hamuijui system .....Ile kesi Yanga alishinda ....but akaamua afunike kombe ....coz Simba wangepokonywa points zote ... Morrison alizocheza
Hence makolo wangekuwa huko championship....
Yanga ni watu wa busara sana
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kama kwenye derby kanjanjq wamejaa kwanini wasitake kanuni zibadilike?Ndio kanuni zao zinataka referee wa nje?
Sasa ndio wagome kabla kanuni hazijabadilishwa?watakuwa kama Utopolo wanaodai point 3 za dezo za mchezo ulioahirishwa.Kama kwenye derby kanjanjq wamejaa kwanini wasitake kanuni zibadilike?
sijui kwao kwa kuwa hainihusu ila kwetu kanuni zii wazi ila ukanjanja wetu,na mazoea ndio shida,hapa tungeshakiwa tumemaliza kelele za nini kilitokea kwenye derby ya k/koo DarSasa ndio wagome kabla kanuni hazijabadilishwa?watakuwa kama Utopolo wanaodai point 3 za dezo za mchezo ulioahirishwa.