Unaipimia timu kwenye mechi za kimataifa kwa kutumia ligi?sidhani kama ni uwezo,maana ni simba hii hii kwenye mechi za ligi ama hu droo au kushinda kwa taabu,sasa huo uwezo huwa uko wapi?
Nimekudharau kwa dharau za kila namnaSijajua ni kitu gani, lakini ukweli ni kuwa kuna kitu sio cha kawaida ndio kimefanya simba kushinda magoli 7.
Unajisahaulisha ya Real Madrid mechi za La Liga na linapokuja swala la UEFA?!sidhani kama ni uwezo,maana ni simba hii hii kwenye mechi za ligi ama hu droo au kushinda kwa taabu,sasa huo uwezo huwa uko wapi?
Yes ndio tufanye wote utafitiWabongo bhana,
Hujajua ni kitu gani ila una amini kuna kitu!!
Hapana tusilinganishe chui na pakaUnajisahaulisha ya Real Madrid mechi za La Liga na linapokuja swala la UEFA?!
Siwapendi makolo ila wametuheshimisha kama nchiSijajua ni kitu gani, lakini ukweli ni kuwa kuna kitu sio cha kawaida ndio kimefanya simba kushinda magoli 7.
Yupo sahihi,Simba Kwa mechi za kimataifa ni untouchableHapana tusilinganishe chui na paka
Ni uamuzi wako na uhuru wako pia kusema hivyoNimekudharau kwa dharau za kila namna
Inauma ila ndo ukweli
Jann mliupiga mwingiInasemekana hakukuwa na kipa
Umecheki game dakika 90?Sijajua ni kitu gani, lakini ukweli ni kuwa kuna kitu sio cha kawaida ndio kimefanya simba kushinda magoli 7.
Lakini wote wanatoka kwenye familia mojaHapana tusilinganishe chui na paka
Hawa warabu hawatamuacha mtu salama hakikaš¤£MIKIMBIO FC kumbukeni MONASTIR US wanawasubiria.
Ndo tusubiri tuone mkuu
Akuna cha uwezo hapo, uwezo wa wachezaji wa simba unajulikana, pamoja na horoya kuwa na timu mbovu bado kuna kitu cha ziada wamekifanya kama kawaida yao, tunawajua kuliko wanavyojijuani uwezo tu.