mwashambwa na tlatlaah nimewakuta korido za lumumba wakigaragara huku wakibubujukwa na majoziNyie hata alivyoingia biden mlisema hivi hivi mbona.
HATUNA CHA KUPOTEZA KUTOKANA NA MATOKEO YA MAREANI MAMA TENA 2025CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala
Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.
Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.
Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana
Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.
Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Unajisumbua roho yako bure kabisa.CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala
Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.
Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.
Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana
Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.
Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Pigo kubwa sana tena balaa. Hahaha sijui itakuwaje, maana na haya yanayoendeleaCCM walikua wakimpigia kampeni Kamala
Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.
Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.
Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana
Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.
Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Nimecheka kijinga sana , kweli kama ndivyo ccm bure kabisaKuna kichaa mmoja alianzisha thread ambayo inasema ziara ya mama Yao kule marekani eti imewapa hamasa wa marekani kumchagua kamala.Hawa CCM sijui huwa wanawaza Nini kuandika Hivyo vichekesho vyao!
BangiKuna kichaa mmoja alianzisha thread ambayo inasema ziara ya mama Yao kule marekani eti imewapa hamasa wa marekani kumchagua kamala.Hawa CCM sijui huwa wanawaza Nini kuandika Hivyo vichekesho vyao!
Nilitegemea ujadili unafiki wa Wamarekani ktk gender equality n gender and development. Unajua women's suffrage movement ilianza huko miaka ya 1800 kudai haki ya wanawake kupiga kura?CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala
Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.
Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.
Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana
Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.
Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Kuna jamaa alishasema marekani hawana upumbavu huo wa kumpa demu madaraka🤣Wamarekani siyo wapuuzi kiasi cha kufanya makosa ya kumweka pisi Kali white house