Ushindi wa Trump ni pigo kubwa kwa CCM

Ushindi wa Trump ni pigo kubwa kwa CCM

CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala

Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.

Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.

Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana

Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.

Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
mgombea urasi wa CCM ni kipenzi cha wananchi wote Tanzania,

Powerful Dr. Samia Suluhu Hassan hahitaji msaada wa western or eastern countries kushinda uchaguzi wa Tanzania kwa kishindo kikuu. Watanzani wanatosha.

labda huyo muungwana mlalamikaji, ombaomba la kimataifa na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ndiyo anaweza kubabaika na uchaguzi wa marikani 🐒
 
CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala

Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.

Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.

Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana

Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.

Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Wewe ni Kobaz unayejitambua...hongera
 
Halafu wa Wamarekani hawajawasikiliza wasanii kina Beyonce wala nini.Pigo jigine kwa CCM wanatumia wasanii kupumbaza wananchi.2025 wananchi msiwasikilize wasanii.
 
Kuna jamaa alishasema marekani hawana upumbavu huo wa kumpa demu madaraka🤣
USA ni bonge la dude hakuna asiyejua huwezi kumpa mmama,

Pia Madaraka ni kitu kingine unaongoza watu wenye vyeo tofauti kipato tofauti, hatukatai kwamba hawawezi kutuongoza bali kuna nafasi zinahitaji maamuzi ya ubabe, kiumeni zaidi,
mf.
Raslimali zinaibiwa na unawatambua badala uteme cheche unahubiri uadilifu na uzalendo, how
 
CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala

Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.

Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.

Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana

Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.

Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
How Trump wa USA ashinde harafu iwe pigo Kwa CCM? Acheni ujinga basi nyie

Hakuna Cha Makamu Wala nani Samia is there to stay
 
mgombea urasi wa CCM ni kipenzi cha wananchi wote Tanzania,

Powerful Dr. Samia Suluhu Hassan hahitaji msaada wa western or eastern countries kushinda uchaguzi wa Tanzania kwa kishindo kikuu. Watanzani wanatosha.

labda huyo muungwana mlalamikaji, ombaomba la kimataifa na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ndiyo anaweza kubabaika na uchaguzi wa marikani
 
CCM walikuwa wanaomba mno Kamala ashinde .Sababu Kamala ni mwanamke basi CCM wangetumia ushindi wa Kamala ili kumboost mama yao.
Kamala chali =Samia Hoi.
CCM mwakani kama Republican tu mwaka huu tena ushindi unaweza ukaanzia 90% kwenda juu
 
CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala

Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.

Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.

Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana

Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.

Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Tumkatae kwa sababu zipi ?
Na tumkubali yupi kwa sababu zipi ??
 
kwa hapa afrika mama hana mpinzani uliza mtu yoyote ndugu
 
Back
Top Bottom