Ushindi wa Trump ni pigo kubwa kwa CCM

Ushindi wa Trump ni pigo kubwa kwa CCM

Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.Samia
Samia ametunia mabilioni kumfanyia Kamala kampeni kisirisiri huku nyumbani watu hawana maji.
 
Nilitegemea ujadili unafiki wa Wamarekani ktk gender equality n gender and development. Unajua women's suffrage movement ilianza huko miaka ya 1800 kudai haki ya wanawake kupiga kura?

Unajua Susan B. Anthony alifanikisha hilo hadi mabadiliko ya 19 ya Katiba ya Marekani, wakawaruhusu wanawake. Sasa leo miaka mingapi bado wanambagua mwanamke. Somo: usiwaige Wamarekani ni wanafiki wa dunia.

NB: CCM iko busy na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Imejipanga, imesimamisha wagombea kote na itashinda kwa kishindo kama Republican. Lissu kalipua bomu upande wa pili wa upinzani hauna resources hadi wagombea kuwapata shida. Hatuna upinzani wa kuichallenge CCM. Huu ndiyo msiba mkubwa achana na ya Marekani.🙏🙏🙏
Ccm yalikua yanaamin mashoga ya democrats waliyokua wanayaunga mkono yangeshinda yamepigwa knock out.
 
Sasa kwanini trump anashinda wanawake tu?
2016 hilary mwanamke kashinda, 2020 biden mwanamme kamshindwa, 2024 kamalla mwanamke kashinda

Kwanini anaonea wanawake tu?
 
Kuna kichaa mmoja alianzisha thread ambayo inasema ziara ya mama Yao kule marekani eti imewapa hamasa wa marekani kumchagua kamala.Hawa CCM sijui huwa wanawaza Nini kuandika Hivyo vichekesho vyao!

Wamarekani wahamasishwe na Rais wa Tanzania!! Maajabu makubwa! Ni sawa useme kuwa kobe anamhamasha duma kukimbia kwa mwendo mkali!!
 
Wamarekani wahamasishwe na Rais wa Tanzania!! Maajabu makubwa! Ni sawa useme kuwa kobe anamhamasha duma kukimbia kwa mwendo mkali!!
Ccm wanamatatizo sana ya akili.
 
CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala

Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.

Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.

Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana

Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.

Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Sasa CCM inaingiaje kwenye chaguzi za US???
 
CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala

Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.

Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.

Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana

Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.

Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Kwanini imejaa chuki hivyo? Utakufa kabla ya ku enjoy dunia
 
CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala

Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.

Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.

Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana

Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.

Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Lakini tuwe na sababu za msingi
Hebu tuwekee sababu utushawishi ili tusifanye maamuzi kwa kuongoza na hisia na jinsia

Mi nasema ikitokea mgombea ccm au upinzani akaja .na sera ya major political and economic reforms
Kwa kutuletea katiba mpya nitamsupport

Tuache blah blah tuwekeezani mambo ya msingi kulikomboa taifa
 
CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala

Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.

Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.

Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana

Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.

Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Nasi tulikatae hili zimwi alilotengeza na kutuachia Mungu wa Kabundi.
 
CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala

Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.

Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.

Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana

Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.

Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Safi sana
 
CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala

Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.

Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.

Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana

Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.

Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Ni ujinga wa hali ya juu kuufungamanisha uchaguzi wa US na nchi yoyote nyingine duniani.

Hizo ni akili za kitumwa.
 
CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala

Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.

Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.

Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana

Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.

Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Ushindi wa Trump Chadema ndio watanufaika kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu mwakani 😆😆😆👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB_9EhxuBH_/?igsh=MTY4ZnBuaTAzdTE0cQ==
 
Kama Trump ameshinda basi ni message tosha kwa Dunia kwamba bado inawahitaji Mwanaume katika uongozi wa juu kabisa wa mataifa - sisi ni kina nani tupinge, kima mama tunawapemda ila bado sana saana.

Marekani oyeeee, trump oyeeee
 
Kila uchaguzi wa US ukiisha huwa mnasema haya maneno.Mwisho wa siku CCM wanabeba na balozi wa US anapongeza ushindi wa CCM.
 
Back
Top Bottom