Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwelkwa hapa afrika mama hana mpinzani uliza mtu yoyote ndugu
Yeye mwenyewe kashindwa kujiongoza anaongozwa kwa nguvu ya waganga wa kienyeji atamuongoza nani???kwa hapa afrika mama hana mpinzani uliza mtu yoyote ndugu
Samia ametunia mabilioni kumfanyia Kamala kampeni kisirisiri huku nyumbani watu hawana maji.Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.Samia
Ccm wanaunga mkono mashoga ya democrats.Nyie hata alivyoingia biden mlisema hivi hivi mbona.
Ccm yalikua yanaamin mashoga ya democrats waliyokua wanayaunga mkono yangeshinda yamepigwa knock out.Nilitegemea ujadili unafiki wa Wamarekani ktk gender equality n gender and development. Unajua women's suffrage movement ilianza huko miaka ya 1800 kudai haki ya wanawake kupiga kura?
Unajua Susan B. Anthony alifanikisha hilo hadi mabadiliko ya 19 ya Katiba ya Marekani, wakawaruhusu wanawake. Sasa leo miaka mingapi bado wanambagua mwanamke. Somo: usiwaige Wamarekani ni wanafiki wa dunia.
NB: CCM iko busy na uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Imejipanga, imesimamisha wagombea kote na itashinda kwa kishindo kama Republican. Lissu kalipua bomu upande wa pili wa upinzani hauna resources hadi wagombea kuwapata shida. Hatuna upinzani wa kuichallenge CCM. Huu ndiyo msiba mkubwa achana na ya Marekani.🙏🙏🙏
Kuna kichaa mmoja alianzisha thread ambayo inasema ziara ya mama Yao kule marekani eti imewapa hamasa wa marekani kumchagua kamala.Hawa CCM sijui huwa wanawaza Nini kuandika Hivyo vichekesho vyao!
Ccm wanamatatizo sana ya akili.Wamarekani wahamasishwe na Rais wa Tanzania!! Maajabu makubwa! Ni sawa useme kuwa kobe anamhamasha duma kukimbia kwa mwendo mkali!!
Sasa CCM inaingiaje kwenye chaguzi za US???CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala
Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.
Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.
Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana
Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.
Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Kwanini imejaa chuki hivyo? Utakufa kabla ya ku enjoy duniaCCM walikua wakimpigia kampeni Kamala
Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.
Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.
Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana
Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.
Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Lakini tuwe na sababu za msingiCCM walikua wakimpigia kampeni Kamala
Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.
Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.
Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana
Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.
Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Nasi tulikatae hili zimwi alilotengeza na kutuachia Mungu wa Kabundi.CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala
Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.
Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.
Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana
Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.
Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Safi sanaCCM walikua wakimpigia kampeni Kamala
Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.
Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.
Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana
Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.
Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Ni ujinga wa hali ya juu kuufungamanisha uchaguzi wa US na nchi yoyote nyingine duniani.CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala
Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.
Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.
Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana
Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.
Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.
Ushindi wa Trump Chadema ndio watanufaika kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu mwakani 😆😆😆👇👇CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala
Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025.
Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao.
Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana
Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi kwa nguvu zote 2025 ni vyema kutumia hata turufu ya utanganyika ikiwezekana kumkataa, hafai kabisa narudia tena kuwa hafai hata kuongoza kitongoji.
Tunapaswa kuunganisha nguvu zetu zote kumkataa huyu mtu iwe jua au mvua haijalishi upo mrengo gani tumkatae huyu mtu kwa nguvu zote.