Ushindi wa Tundu Lissu umempoza mchungaji Peter Msigwa?

Ushindi wa Tundu Lissu umempoza mchungaji Peter Msigwa?

Elitwege

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
5,294
Reaction score
10,970
Kabla ya ushindi wa Tundu Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chadema akimbwaga Freeman Mbowe, mchungaji Peter Msigwa alikuwa na kasi ya kutisha kwenye kuishambulia Chadema.

Alikuwa anazunguka mikoani na kwenye vyombo vya habari akiwashawishi watanzania kuachana na Chadema kwani ni chama kilichopoteza dira na kuendelea kukiamini chama hicho ni kupoteza muda.

Ghafla baada ya uchaguzi wa Chadema kuisha na mzee wa MIGA mtetezi wa Acacia Tundu Lisu kushinda, mchungaji Msigwa amegeuka bubu yani yuko kimyaaa.

Ikumbukwe huko nyuma Peter Msigwa alishapewa taji la mnafiki mkubwa kupita wote nchini, baada ya kumtukana Lowasa kwa muda wa miaka 10 mfululizo alafu baadae akazunguka nchi nzima akimnadi awe rais wa Tanzania, hivyo watanzania wanajiuliza je ni muda wa Peter Msigwa tena kuonyesha unafiki wake kuwa mchana ccm na usiku Chadema akimuunga mkono lisu?

Au anajiandaa kuonyesha unafiki wake kwa kurudi tena Chadema? Ikumbukwe Peter Msigwa alihamia ccm kwa hasira baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa kanda ya nyasa na Joseph Mbilinyi Sugu
 
Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi na tabia yake ya udikteta ndo ilikua sababu ya Msigwa kuongea, msigwa hakua adui wa chadema ila alikataa utawala wa kimabavu wa dikteta mbowe
 
Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi na tabia yake ya udikteta ndo ilikua sababu ya msigwa kuongea, msigwa hakua adui wa chadema ila alikataa utawala wa kimabavu wa dikteta mbowe
Na akahimia CCM? Msigwa tumemtumia kuiodhoofisha chadomo kazi ambayo ameifanya kwa viwango vya juu. Sasa hivi yuko mapumziko baada ya kazi ngumu ya kupiga kichwa cha chatu(mbowe).
 
Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi na tabia yake ya udikteta ndo ilikua sababu ya msigwa kuongea, msigwa hakua adui wa chadema ila alikataa utawala wa kimabavu wa dikteta mbowe
Sasa kama unampenda si ukanywe nae chai..

Mbowe angekuwa kinganganiz unadhan angefanya uchaguzi hadharani.... Your thinking process ina wadudu...

Msigwa ni CCM , na kama sio adui wa chadema good to know...

Wapo wengi sana CCM ambao sio maadui wa CDM....
 
Sasa kama unampenda si ukanywe nae chai..

Mbowe angekuwa kinganganiz unadhan angefanya uchaguzi hadharani.... Your thinking process ina wadudu...

Msigwa ni CCM , na kama sio adui wa chadema good to know...

Wapo wengi sana CCM ambao sio maadui wa CDM....
Mh
 
Kabla ya ushindi wa Tundu Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chadema akimbwaga Freeman Mbowe, mchungaji Peter Msigwa alikuwa na kasi ya kutisha kwenye kuishambulia Chadema.

Alikuwa anazunguka mikoani na kwenye vyombo vya habari akiwashawishi watanzania kuachana na Chadema kwani ni chama kilichopoteza dira na kuendelea kukiamini chama hicho ni kupoteza muda.

Ghafla baada ya uchaguzi wa Chadema kuisha na mzee wa MIGA mtetezi wa Acacia Tundu Lisu kushinda, mchungaji Msigwa amegeuka bubu yani yuko kimyaaa.

Ikumbukwe huko nyuma Peter Msigwa alishapewa taji la mnafiki mkubwa kupita wote nchini, baada ya kumtukana Lowasa kwa muda wa miaka 10 mfululizo alafu baadae akazunguka nchi nzima akimnadi awe rais wa Tanzania, hivyo watanzania wanajiuliza je ni muda wa Peter Msigwa tena kuonyesha unafiki wake kuwa mchana ccm na usiku Chadema akimuunga mkono lisu?

Au anajiandaa kuonyesha unafiki wake kwa kurudi tena Chadema? Ikumbukwe Peter Msigwa alihamia ccm kwa hasira baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa kanda ya nyasa na Joseph Mbilinyi Sugu
Huyo ni mnafiki wa kiwango cha juu zaidi alilipiwa pesa za faini na Marehemu Magu kwenye kamera akaikataa off kamera akaizungukia si wa kumuani!
 
Kabla ya ushindi wa Tundu Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chadema akimbwaga Freeman Mbowe, mchungaji Peter Msigwa alikuwa na kasi ya kutisha kwenye kuishambulia Chadema.

Alikuwa anazunguka mikoani na kwenye vyombo vya habari akiwashawishi watanzania kuachana na Chadema kwani ni chama kilichopoteza dira na kuendelea kukiamini chama hicho ni kupoteza muda.

Ghafla baada ya uchaguzi wa Chadema kuisha na mzee wa MIGA mtetezi wa Acacia Tundu Lisu kushinda, mchungaji Msigwa amegeuka bubu yani yuko kimyaaa.

Ikumbukwe huko nyuma Peter Msigwa alishapewa taji la mnafiki mkubwa kupita wote nchini, baada ya kumtukana Lowasa kwa muda wa miaka 10 mfululizo alafu baadae akazunguka nchi nzima akimnadi awe rais wa Tanzania, hivyo watanzania wanajiuliza je ni muda wa Peter Msigwa tena kuonyesha unafiki wake kuwa mchana ccm na usiku Chadema akimuunga mkono lisu?

Au anajiandaa kuonyesha unafiki wake kwa kurudi tena Chadema? Ikumbukwe Peter Msigwa alihamia ccm kwa hasira baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa kanda ya nyasa na Joseph Mbilinyi Sugu
Mambo ya siasa hayatabiriki. Nature itaongea.
 
Kabla ya ushindi wa Tundu Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chadema akimbwaga Freeman Mbowe, mchungaji Peter Msigwa alikuwa na kasi ya kutisha kwenye kuishambulia Chadema.

Alikuwa anazunguka mikoani na kwenye vyombo vya habari akiwashawishi watanzania kuachana na Chadema kwani ni chama kilichopoteza dira na kuendelea kukiamini chama hicho ni kupoteza muda.

Ghafla baada ya uchaguzi wa Chadema kuisha na mzee wa MIGA mtetezi wa Acacia Tundu Lisu kushinda, mchungaji Msigwa amegeuka bubu yani yuko kimyaaa.

Ikumbukwe huko nyuma Peter Msigwa alishapewa taji la mnafiki mkubwa kupita wote nchini, baada ya kumtukana Lowasa kwa muda wa miaka 10 mfululizo alafu baadae akazunguka nchi nzima akimnadi awe rais wa Tanzania, hivyo watanzania wanajiuliza je ni muda wa Peter Msigwa tena kuonyesha unafiki wake kuwa mchana ccm na usiku Chadema akimuunga mkono lisu?

Au anajiandaa kuonyesha unafiki wake kwa kurudi tena Chadema? Ikumbukwe Peter Msigwa alihamia ccm kwa hasira baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa kanda ya nyasa na Joseph Mbilinyi Sugu
Msigwa ni.mjinga ,siyo strategist wala nini.Alishindwa kuanticipate kwamba mtu wake anaenda kushinda ? Sasa having angekuwa mjumbe wa kamati kuu.
 
Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi na tabia yake ya udikteta ndo ilikua sababu ya msigwa kuongea, msigwa hakua adui wa chadema ila alikataa utawala wa kimabavu wa dikteta mbowe
Kwa hivyo atarudi chadema na kuanza kuishambulia ccm?
 
Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi na tabia yake ya udikteta ndo ilikua sababu ya msigwa kuongea, msigwa hakua adui wa chadema ila alikataa utawala wa kimabavu wa dikteta mbowe
Mkuu, kwa mantiki hiyo, sasa anaweza kurudi CHADEMA?
 
Back
Top Bottom